-
Alkhamisi, Agosti 13, mwaka 2026
Aug 13, 2026 02:53Leo ni Alkhamisi tarehe 29 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria sawa na tarehe 13 Agosti 2026.
-
Mwezi 28 Safar, Siku aliyotawafu Bwana Mtume Muhammad SAW
Aug 12, 2026 13:24Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh wapenzi wasikilizaji. Mwezi 28 Safar, unasadifiana na kumbukumbu ya kut'awafu, yaani kuaga dunia Mtume wa Mwenyezi Mungu, Nabii Muhammad Al-Mustafa, rehma za Allah na amani Yake ziwe juu yake na Aali zake. Na kwa mujibu wa baadhi ya Hadithi, siku hiyo pia inasadifiana na kumbukumbu ya kufa shahidi mjukuu wake mpenzi, Imam Hassan al-Mujtaba AS.
-
Jumatano, Agosti 12, 2026
Aug 12, 2026 03:44Leo ni Jumatano tarehe 28 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Agosti 2026.
-
Alipoaga Dunia
Aug 11, 2026 11:23Tunafungua kipindi chetu kwa Hadithi maarufu ya Bwana Mtume (saw) ambayo madhumuni yake yamepokewa katika Hadithi nyingi zilizoandikwa na wanazuoni wa madhehebu mbalimbali za Kiislamu.
-
Jumatano, Julai 22, 2026
Jul 22, 2026 02:47Leo ni Jumatano tarehe 7 Safar 1448 Hijria sawa na Julai 22, 2026.
-
Ijumaa, Julai 10, 2026
Jul 11, 2026 02:55Leo ni Ijumaa tarehe 25 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria sawa na tarehe 10 Julai 2026.
-
EID Gadir na Kumbukumbu ya Kuaga Dunia Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu)
Jun 17, 2026 07:32Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamdu zote ni za Mwenyezi Mungu aliyetujaalia kuwa miongoni mwa wanaoshikamana na Wilaya ya Amirul Muuminin, Ali bin Abi Talib AS.
-
Jumatano, tarehe 17 Juni, 2026
Jun 17, 2026 02:49Leo ni Jumatano tarehe 02 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria sawa na Juni 17 mwaka 2026.
-
Jumapili, 14 Juni 2026
Jun 14, 2026 02:59Leo ni Jumapili 28 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria sawa na 14 Juni 2026.
-
Jumatano, tarehe 10 Juni, 2026
Jun 11, 2026 07:48Leo ni Jumatano tarehe 24 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe 10 Juni 2026.