Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • 85% ya matokeo ya kura Zambia, Rais Lungu aongoza

    85% ya matokeo ya kura Zambia, Rais Lungu aongoza

    Aug 15, 2016 03:33

    Rais Edgar Lungu wa Zambia angali anaongoza kwa kura chache dhidi ya mpinzani wake wa karibu, baada ya asilimia 85 ya kura za uchaguzi wa rais kuhesabiwa.

  • Matokeo ya awali, mchuano mkali katika uchaguzi wa rais Zambia

    Matokeo ya awali, mchuano mkali katika uchaguzi wa rais Zambia

    Aug 13, 2016 02:52

    Mchuano mkali umeshuhudiwa katika uchaguzi wa rais nchini Zambia, huku Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo na mshindani wake wa karibu Hakainde Hichilema wakipishana kwa mwanya mwembamba.

  • Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais

    Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais

    Aug 08, 2016 10:09

    Kamisheni ya Uchaguzi ya Somalia imetangaza kuwa, uchaguzi wa Rais nchini humo utafanyika tarehe 30 Oktoba mwaka huu.

  • Rais asusia duru ya pili ya uchaguzi visiwani Sao Tome

    Rais asusia duru ya pili ya uchaguzi visiwani Sao Tome

    Aug 08, 2016 03:28

    Rais Manuel Pinto da Costa wa visiwa vya Sao Tome and Principe amesusia duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyofanyika jana Jumapili na hivyo mpinzani wake wa karibu anatazamiwa kushinda kiti hicho kiwepesi.

  • Upinzani Zambia: Uchaguzi mkuu hautakuwa huru na wa haki

    Upinzani Zambia: Uchaguzi mkuu hautakuwa huru na wa haki

    Aug 07, 2016 22:31

    Kinara wa upinzani nchini Zambia ameituhumu serikali ya nchi hiyo kuwa inatumia sheria kandamizi ili kuwawekea mbinyo wapinzani na kuzuia kampeni zao, na kusisitiza kuwa uchaguzi mkuu wa Alkhamisi ijayo hautakuwa huru na wa haki.

  • Raia wa mashariki mwa Kongo watakiwa kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi

    Raia wa mashariki mwa Kongo watakiwa kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi

    Aug 06, 2016 23:11

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amewatolea wito raia wa mashariki mwa nchi hiyo kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi ujao.

  • Kukataa Mahakama ya Katiba ya Gabon takwa la kuzuiwa Rais Ali Bongo kugombea uchaguzi ujao

    Kukataa Mahakama ya Katiba ya Gabon takwa la kuzuiwa Rais Ali Bongo kugombea uchaguzi ujao

    Jul 31, 2016 03:20

    Mahakama ya Katiba ya Gabon jana Ijumaa ilitangaza rasmi kukataa takwa la kuzuiwa Rais Ali Bongo kutetea kiti chake cha urais katika uchaguzi ujao.

  • 25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jul 28, 2016 11:00

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Jul 22, 2016 10:15

    Mgombea wa kiti cha rais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amesema aghalabu ya changamoto za kiusalama zinaoikabili dunia kwa sasa zilisababishwa na hasimu wake wa kisiasa Hillary Clinton, anayetaka kuwa rais kupitia chama cha Democrats.

  • Bunge la Ghana lakataa kubadilsha tarehe ya uchaguzi mkuu

    Bunge la Ghana lakataa kubadilsha tarehe ya uchaguzi mkuu

    Jul 22, 2016 10:11

    Bunge la Ghana limekataa kupasisha hoja ya kubadilisha tarehe ya uchaguzi mkuu nchini humo unaotazamiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS