Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Wagombea kiti cha urais Gabon waungana

    Wagombea kiti cha urais Gabon waungana

    Aug 17, 2016 02:45

    Wagombea wa kiti cha urais nchini Gabon wanaoipinga serikali ya nchi hiyo wameamua kuungana ili kuibuka na ushindi katika uchaguzi ujao wa rais.

  • 133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu

    133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu

    Aug 16, 2016 10:51

    Polisi nchini Zambia imewatia mbaroni makumi ya wafuasi wa upinzani wanaopinga ushindi wa Rais Edgar Lungu katika uchaguzi wa rais uliofanyika Alkhamisi iliyopita.

  • Malalamiko ya wapinzani nchini Zambia kwa matokeo ya uchaguzi

    Malalamiko ya wapinzani nchini Zambia kwa matokeo ya uchaguzi

    Aug 16, 2016 08:21

    Viongozi wa chama cha upinzani nchini Zambia cha Muungano kwa Ajili ya Maendeleo ya Taifa (UPND) wamepinga matokeo ya uchaguzi wa Rais na wanasema kuwa, watawasilisha mashtaka katika Mahakama ya Katiba kupinga matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika Alkhamisi iliyopita.

  • Rais wa Zambia atangazwa mshindi katika uchaguzi wenye ulalamishi

    Rais wa Zambia atangazwa mshindi katika uchaguzi wenye ulalamishi

    Aug 15, 2016 11:49

    Rais Edgar Lungu wa Zambia leo ametangazwa mshindi rasmi wa uchaguzi wa rais wa nchi hiyo kwa ushindi mdogo dhidi ya mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema, huku chama cha mgombea huyo wa upinzani kikikataa kuyatambua matokeo hayo na kiutuhumu tume ya uchaguzi kuwa imezitia mkono kura.

  • 85% ya matokeo ya kura Zambia, Rais Lungu aongoza

    85% ya matokeo ya kura Zambia, Rais Lungu aongoza

    Aug 15, 2016 03:33

    Rais Edgar Lungu wa Zambia angali anaongoza kwa kura chache dhidi ya mpinzani wake wa karibu, baada ya asilimia 85 ya kura za uchaguzi wa rais kuhesabiwa.

  • Matokeo ya awali, mchuano mkali katika uchaguzi wa rais Zambia

    Matokeo ya awali, mchuano mkali katika uchaguzi wa rais Zambia

    Aug 13, 2016 02:52

    Mchuano mkali umeshuhudiwa katika uchaguzi wa rais nchini Zambia, huku Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo na mshindani wake wa karibu Hakainde Hichilema wakipishana kwa mwanya mwembamba.

  • Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais

    Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais

    Aug 08, 2016 10:09

    Kamisheni ya Uchaguzi ya Somalia imetangaza kuwa, uchaguzi wa Rais nchini humo utafanyika tarehe 30 Oktoba mwaka huu.

  • Rais asusia duru ya pili ya uchaguzi visiwani Sao Tome

    Rais asusia duru ya pili ya uchaguzi visiwani Sao Tome

    Aug 08, 2016 03:28

    Rais Manuel Pinto da Costa wa visiwa vya Sao Tome and Principe amesusia duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyofanyika jana Jumapili na hivyo mpinzani wake wa karibu anatazamiwa kushinda kiti hicho kiwepesi.

  • Upinzani Zambia: Uchaguzi mkuu hautakuwa huru na wa haki

    Upinzani Zambia: Uchaguzi mkuu hautakuwa huru na wa haki

    Aug 07, 2016 22:31

    Kinara wa upinzani nchini Zambia ameituhumu serikali ya nchi hiyo kuwa inatumia sheria kandamizi ili kuwawekea mbinyo wapinzani na kuzuia kampeni zao, na kusisitiza kuwa uchaguzi mkuu wa Alkhamisi ijayo hautakuwa huru na wa haki.

  • Raia wa mashariki mwa Kongo watakiwa kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi

    Raia wa mashariki mwa Kongo watakiwa kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi

    Aug 06, 2016 23:11

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amewatolea wito raia wa mashariki mwa nchi hiyo kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS