-
Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari
May 02, 2024 07:51Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran ametangaza utayari wa taifa hili wa kushirikiana na Uganda katika miradi ya mawasiliano na teknolojia habari na uhamishaji wa taaluma hiyo kwa taifa hilo la Afrika Mashariki.
-
Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo
Apr 29, 2024 23:19Wizara ya Jihadi ya Kilimo ya Iran imetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika zimekubaliana kuunda kamati ya ushirikiano wa pamoja katika sekta ya kilimo.
-
Viongozi wa Afrika watilia mkazo kuzidisha ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi
Apr 22, 2024 23:38Viongozi wa Afrika wametoa wito wa ushirikiano zaidi wa kikanda katika kupambana na ugaidi , ikiwa ni pamoja na kuunda jeshi la kikanda. Wito huu umetolewa jana katika mkutano wa kilele wa kutafuta suluhu kwa changamoto za kiusalama zinazolikabili bara hilo mjini Abuja Nigeria.
-
Wagonjwa wa malaria nchini Zambia waliongezeka kwa asilimia 37 mwaka jana
Apr 22, 2024 23:37Alhamisi wiki hii Zambia itaungana na nchi nyingine kuadhimisha "Siku ya Malaria Duniani" chini ya kaulimbiu ya kimataifa "Jinsia, Afya, Usawa na Haki za Binadamu."
-
Ukame uliokithiri kusini mwa Afrika umewasababishia njaa mamilioni ya watu
Mar 31, 2024 08:11Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetangaza kuwa ukame ulioziathiri Zimbabwe na majirani zake Zambia na Malawi umefikia viwango vya hatari. Zambia na Malawi tayari zimetangaza kuwa zinakabiliwa na majanga ya kitaifa. Ukame pia umeiathiri Msumbiji na Madagascar kwa upande wa mashariki.
-
Benin yasema iko tayari kutuma maelfu ya askari nchini Haiti
Feb 27, 2024 03:57Nchi nyingine ya Kiafrika ya Benin imetangaza utayarifu wake wa kutuma maelfu ya askari wataoungana na Kikosi cha Kimataifa cha kulisaidia jeshi la Haiti kupambana na magenge ya uhalifu.
-
Zaidi ya nusu ya nchi 20 zenye uchumi unaostawi kwa kasi zaidi duniani 2024 ni za Kiafrika
Feb 20, 2024 22:50Afrika itachangia nchi 11 kati ya 20 zinazokua kwa kasi kiuchumi duniani mwaka 2024. Hayo ni kulingana na ripoti ya hivi punde ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB).
-
Watawala wa kijeshi Guinea watangaza kuvunja serikali ya mpito
Feb 20, 2024 09:22Utawala wa kijeshi wa Guinea Conakry ambao ulitwaa madaraka kupitia mapinduzi zaidi ya miaka miwili iliyopita, umetangaza kuvunja serikali ya mpito ya nch hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita
Feb 17, 2024 23:30Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unawajibika kwa kushindwa kupiga hatua mazungumzo na kufikia makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani
Feb 12, 2024 01:07Wananchi wa Ghana wanaendelea kusherehekea hatua ya kurejeshwa nchini humo turathi za thamani zilizokuwa zimeibiwa zaidi ya karne moja na nusu iliyopita na askari wa mkoloni Muingereza na kuhifadhiwa Marekani.