Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari

    Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari

    May 02, 2024 07:51

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran ametangaza utayari wa taifa hili wa kushirikiana na Uganda katika miradi ya mawasiliano na teknolojia habari na uhamishaji wa taaluma hiyo kwa taifa hilo la Afrika Mashariki.

  • Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo

    Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo

    Apr 29, 2024 23:19

    Wizara ya Jihadi ya Kilimo ya Iran imetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika zimekubaliana kuunda kamati ya ushirikiano wa pamoja katika sekta ya kilimo.

  • Viongozi wa Afrika watilia mkazo kuzidisha ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi

    Viongozi wa Afrika watilia mkazo kuzidisha ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi

    Apr 22, 2024 23:38

    Viongozi wa Afrika wametoa wito wa ushirikiano zaidi wa kikanda katika kupambana na ugaidi , ikiwa ni pamoja na kuunda jeshi la kikanda. Wito huu umetolewa jana katika mkutano wa kilele wa kutafuta suluhu kwa changamoto za kiusalama zinazolikabili bara hilo mjini Abuja Nigeria.

  • Wagonjwa wa malaria nchini Zambia waliongezeka kwa asilimia 37 mwaka jana

    Wagonjwa wa malaria nchini Zambia waliongezeka kwa asilimia 37 mwaka jana

    Apr 22, 2024 23:37

    Alhamisi wiki hii Zambia itaungana na nchi nyingine kuadhimisha "Siku ya Malaria Duniani" chini ya kaulimbiu ya kimataifa "Jinsia, Afya, Usawa na Haki za Binadamu."

  • Ukame uliokithiri kusini mwa Afrika umewasababishia njaa mamilioni ya watu

    Ukame uliokithiri kusini mwa Afrika umewasababishia njaa mamilioni ya watu

    Mar 31, 2024 08:11

    Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetangaza kuwa ukame ulioziathiri Zimbabwe na majirani zake Zambia na Malawi umefikia viwango vya hatari. Zambia na Malawi tayari zimetangaza kuwa zinakabiliwa na majanga ya kitaifa. Ukame pia umeiathiri Msumbiji na Madagascar kwa upande wa mashariki.

  • Benin yasema iko tayari kutuma maelfu ya askari nchini Haiti

    Benin yasema iko tayari kutuma maelfu ya askari nchini Haiti

    Feb 27, 2024 03:57

    Nchi nyingine ya Kiafrika ya Benin imetangaza utayarifu wake wa kutuma maelfu ya askari wataoungana na Kikosi cha Kimataifa cha kulisaidia jeshi la Haiti kupambana na magenge ya uhalifu.

  • Zaidi ya nusu ya nchi 20 zenye uchumi unaostawi kwa kasi zaidi duniani 2024 ni za Kiafrika

    Zaidi ya nusu ya nchi 20 zenye uchumi unaostawi kwa kasi zaidi duniani 2024 ni za Kiafrika

    Feb 20, 2024 22:50

    Afrika itachangia nchi 11 kati ya 20 zinazokua kwa kasi kiuchumi duniani mwaka 2024. Hayo ni kulingana na ripoti ya hivi punde ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB).

  • Watawala wa kijeshi Guinea watangaza kuvunja serikali ya mpito

    Watawala wa kijeshi Guinea watangaza kuvunja serikali ya mpito

    Feb 20, 2024 09:22

    Utawala wa kijeshi wa Guinea Conakry ambao ulitwaa madaraka kupitia mapinduzi zaidi ya miaka miwili iliyopita, umetangaza kuvunja serikali ya mpito ya nch hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita

    Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita

    Feb 17, 2024 23:30

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unawajibika kwa kushindwa kupiga hatua mazungumzo na kufikia makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani

    Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani

    Feb 12, 2024 01:07

    Wananchi wa Ghana wanaendelea kusherehekea hatua ya kurejeshwa nchini humo turathi za thamani zilizokuwa zimeibiwa zaidi ya karne moja na nusu iliyopita na askari wa mkoloni Muingereza na kuhifadhiwa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS