Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Waafrika wataka uwekezaji zaidi katika sekta ya maji

    Waafrika wataka uwekezaji zaidi katika sekta ya maji

    Feb 26, 2016 00:11

    Viongozi wa nchi za Kiafrika wametoa wito wa kuwekeza zaidi katika sekta ya maji ili kurahisisha upatikanaji wa maji barani humo.

  • Wasiwasi kuhusu kuenea umasikini Afrika

    Wasiwasi kuhusu kuenea umasikini Afrika

    Feb 25, 2016 08:16

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema umasikini ni adui mkubwa wa watu wa eneo la Maziwa Makuu barani Afrika.

  • Kabila: Umaskini ni adui mkubwa wa Afrika

    Kabila: Umaskini ni adui mkubwa wa Afrika

    Feb 24, 2016 22:45

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa umaskini ndio adui mkubwa wa watu wa eneo la Maziwa Makuu ya Afrika.

  • Jacob Zuma kutembelea Iran karibuni hivi

    Jacob Zuma kutembelea Iran karibuni hivi

    Feb 22, 2016 04:22

    Mtandao mmoja wa habari wa Afrika Kusini umesema kuwa, Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo anatarajiwa kutembelea Iran mwishoni mwa mwezi huu wa Februari.

  • Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania

    Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania

    Feb 18, 2016 21:57

    Karibu wakimbizi 130,000 kutoka Burundi wameingia Tanzania kufuatia mgogoro unaoendelea ndani ya nchi yao.

  • Nigeria yatahadharisha kuhusu kuzidi kupenya kundi la Boko Haram barani Afrika

    Nigeria yatahadharisha kuhusu kuzidi kupenya kundi la Boko Haram barani Afrika

    Feb 15, 2016 21:37

    Mkuu wa Kituo cha Upashaji Habari cha Taifa cha Nigeria ametahadharisha kuhusu hatari ya kuzidi kujitanua kundi la Boko Haram barani Afrika.

  • Rais wa Ghana awasili Iran

    Rais wa Ghana awasili Iran

    Feb 13, 2016 22:21

    Rais John Dramani Mahama wa Ghana amewasili Tehran kwa ziara rasmi ambapo anatazamiwa kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu nchini.

  • Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa migogoro ya Afrika

    Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa migogoro ya Afrika

    Feb 13, 2016 11:52

    Wanawake na watoto wametajwa kuwa ndiyo wahanga wakuu wa migogoro inayozikumba nchi kadhaa za Afrika.

  • Taathira ya Mapinduzi ya Kiislamu imeenea Afrika

    Taathira ya Mapinduzi ya Kiislamu imeenea Afrika

    Feb 10, 2016 11:53

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamepelekea kuwepo mwamko wa Kiislamu miongoni mwa watu wengi Afrika na hivyo kuwawezesha kuondoka katika mkwamo.

  • Unicef yatahadharidha kuhusu kuendelea kwa vita barani Afrika

    Unicef yatahadharidha kuhusu kuendelea kwa vita barani Afrika

    Feb 09, 2016 11:29

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limetahadharisha kuhusu wimbi jipya la kutumiwa watoto wadogo na kuendelea vita katika nchi kadhaa za Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS