Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Oparesheni ya jeshi la Somalia na kikosi cha AU dhidi ya al Shabab

    Oparesheni ya jeshi la Somalia na kikosi cha AU dhidi ya al Shabab

    Nov 19, 2016 08:29

    Wanamgambo kadhaa wa kundi la al Shabab lenye makao yake huko Somalia wameuawa kusini mwa nchi hiyo kufuatia oparesheni iliyofanywa na wanajeshi wa Somalia na askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika katika eneo moja kaskazini mashariki mwa bandari ya Kismayo, kusini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab

    Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab

    Nov 16, 2016 04:22

    Jeshi la Somalia limefanikiwa kukomboa eneo jengine katikati mwa nchi hiyo kutoka mikononi mwa kundi la wakufurishaji la ash Shabab.

  • Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika

    Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika

    Nov 08, 2016 03:48

    Gazeti la Washington Post la Marekani limeandika makala kuhusu kuenea Uwahhabi nchini Nigeria na kuongeza kuwa, utawala wa Saudi Arabia unaaunga mkono viongozi wa Mawahhabi ili waweze kueneza Uwahhabi nchini humo na kote barani Afrika.

  • Al Shabab wadai kuripua bomu karibu na bunge la Somalia

    Al Shabab wadai kuripua bomu karibu na bunge la Somalia

    Nov 06, 2016 12:02

    Kundi la kigaidi la al Shabab limedai kuhusika na hujuma ya bomu la kutegwa garini karibu na bunge la Somalia mjini Mogadishu ambapo wanajeshi wawili wa Kisomali waliuawa na wengine watano kujeruhiwa.

  • UN: Al Shabab ingali tishio kubwa kwa Somalia, Afrika Mashariki

    UN: Al Shabab ingali tishio kubwa kwa Somalia, Afrika Mashariki

    Nov 05, 2016 01:04

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab wametajwa kuwa tishio kubwa sana kwa nchi ya Somalia na eneo zima la mashariki mwa Afrika.

  • Jeshi la Kenya laua magaidi 140 wa Al Shabab nchini Somalia

    Jeshi la Kenya laua magaidi 140 wa Al Shabab nchini Somalia

    Oct 31, 2016 23:13

    Jeshi la Ulinzi la Kenya, KDF, limetangaza kuwaua magaidi 140 wa kundi la kitakfiri la Al Shabab katika jimbo la Lower Jubba, mjini Afamadow nchini Somalia.

  • Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera

    Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera

    Oct 25, 2016 04:10

    Watu 12 wameuawa na wengine wengi kuachwa na majeraha ya risasi baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi, usiku wa jana.

  • Mripuko wa Bomu wautikisa mji wa Mogadishu

    Mripuko wa Bomu wautikisa mji wa Mogadishu

    Oct 24, 2016 04:19

    Mtu moja ameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wakati bomu lilipolipuka jana Jumapili, karibu na kambi ya wakimbizi.

  • AU yafanya uchunguzi kuhusu vitendo vya wanajeshi wake Somalia

    AU yafanya uchunguzi kuhusu vitendo vya wanajeshi wake Somalia

    Oct 22, 2016 03:44

    Umoja wa Afrika AU umesema, umeanzisha uchunguzi wa kubaini ni katika mazingira gani, askari wa kikosi cha AMISOM nchini Somalia walifanya mauaji dhidi ya raia.

  • Watu sita wauliwa na al Shabab nchini  Kenya

    Watu sita wauliwa na al Shabab nchini Kenya

    Oct 06, 2016 04:24

    Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la kigaidi la al Shabab wamewaua watu sita katika shambulio lililofanywa na kundi hilo leo asubuhi huko Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS