Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Mjumbe wa UN alaani mauaji ya mwandishi habari Somalia

    Mjumbe wa UN alaani mauaji ya mwandishi habari Somalia

    Sep 29, 2016 01:08

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Michael Keating amelaani vikali mauaji ya mwandishi wa habari wa Radio Shabelle Abdiaziz Mohamed Ali yaliyotekelezwa Jumanne na watu wasiojulikana mjini Mogadishu Somalia.

  • Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab

    Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab

    Sep 27, 2016 11:38

    Afisa wa ngazi za juu katika polisi ya Kenya amesema vikosi vyote vya usalama nchini humo vina azma imara ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab.

  • Al Shabaab washambulia Kenya, askari polisi wawili hawajulikani waliko

    Al Shabaab washambulia Kenya, askari polisi wawili hawajulikani waliko

    Sep 22, 2016 11:09

    Askari polisi wawili wa Kenya hawajulikani waliko kufuatia shambulio la kundi la kigaidi na kitakfiri la Al-Shabaab katika kituo cha polisi cha Kaunti ya Garissa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Hayo yameelezwa na msemaji wa Polisi ya Kenya George Kinoti. 

  • Watuhumiwa saba wa ugaidi watiwa nguvuni Isiolo, Kenya

    Watuhumiwa saba wa ugaidi watiwa nguvuni Isiolo, Kenya

    Sep 06, 2016 23:46

    Jeshi la Polisi mjini Isiolo nchini Kenya linaendelea kuwasaili watu saba wanaoshikiliwa na jeshi hilo tangu wiki mbili zilizopita kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la ash Shabab.

  • Idadi ya wahanga wa shambulio la ash-Shabab mjini Mogadishu yaongezeka

    Idadi ya wahanga wa shambulio la ash-Shabab mjini Mogadishu yaongezeka

    Aug 26, 2016 11:57

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab katika moja ya maeneo ya pwani mjini Mogadishu huko Somalia imeongezeka na kufikia 10.

  • Operesheni za jeshi la Somalia na AMISOM dhidi ya ash-Shabab

    Operesheni za jeshi la Somalia na AMISOM dhidi ya ash-Shabab

    Aug 25, 2016 02:39

    Jeshi la serikali ya Somalia kwa kushirikiana na askari wa Umoja wa Afrika AMISOM, limetekeleza operesheni kubwa dhidi ya kundi la ash-Shabab kusini mwa nchi hiyo.

  • Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab

    Kenyatta: Vikosi vya AMISOM vimepiga hatua katika mapambano dhidi ya Al-Shabab

    Aug 23, 2016 00:20

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema jeshi la Somalia na vikosi vya Umoja wa Afrika vilivyotumwa nchini humo (AMISOM) vimepiga hatua ya kuridhisha katika vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la Al-AShabab nchini Somalia.

  • Jeshi la Somalia na Amisom zimebuni stratejia mpya dhidi ya al Shabab

    Jeshi la Somalia na Amisom zimebuni stratejia mpya dhidi ya al Shabab

    Aug 07, 2016 08:51

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) na jeshi la nchi hiyo wamebuni stratejia mpya ya kupambana na kundi la wanamgambo wa al Shabab.

  • Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab

    Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab

    Aug 04, 2016 23:45

    Askari usalama wa Somalia wamefanya oparesheni dhidi ya wanamgambo wa kundi la al Shabab na kuuwa wanamgambo kadhaa.

  • KDF: Al-Shabaab inawasajili kwa nguvu vijana nchini Kenya

    KDF: Al-Shabaab inawasajili kwa nguvu vijana nchini Kenya

    Aug 03, 2016 03:31

    Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF limesema kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab sasa linawalazimisha vijana kujiunga nalo, haswa katika maeneo ya Pwani ya nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS