Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi

    Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi

    Jul 14, 2016 03:22

    Maafisa wasiopungua sita wa polisi wanaripotiwa kuuawa nchini Kenya baada ya gaidi kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi inayopakana na Uganda.

  • Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Jul 11, 2016 03:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeshambulia kwa bomu kambi moja ya jeshi kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua wanajeshi 10 wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Sita wauawa baada ya mabasi kufyatuliwa risasi Mandera Kenya

    Sita wauawa baada ya mabasi kufyatuliwa risasi Mandera Kenya

    Jul 01, 2016 10:50

    Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya watu wenye silaha kuyamiminia risasi mabasi mawili hii leo katika kaunti ya Mandera nchini Kenya kwenye mpaka wa nchi hiyo na Somalia.

  • Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu

    Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu

    Jun 29, 2016 23:04

    Askari wa Kenya wamewaangamiza wanamgambo wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu.

  • AMISOM yaangamiza wanachama 110 wa al-Shabaab Somalia

    AMISOM yaangamiza wanachama 110 wa al-Shabaab Somalia

    Jun 09, 2016 09:40

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimesema askari wake wamefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab walipojaribu kushambulia moja ya kambi zao.

  • 'Al-Shabaab' yaua mwanahabari wa kike mjini Mogadishu

    'Al-Shabaab' yaua mwanahabari wa kike mjini Mogadishu

    Jun 06, 2016 03:02

    Watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamemuua kwa kumfyatulia risasi mwandishi wa habari wa kike katika mji mkuu Mogadishu.

  • Mkuu wa intelijenisia wa kundi la al Shabaab auawa Somalia

    Mkuu wa intelijenisia wa kundi la al Shabaab auawa Somalia

    Jun 01, 2016 11:29

    Vikosi vya usalama vya Somalia vimemuuwa mkuu wa kitengo cha intelijinsia cha kundi la wanamgambo wa al Shabaab. Hayo yamesemwa leo na afisa wa serikali ya Somalia.

  • Wakenya wengine watatu wauliwa na ash Shabab

    Wakenya wengine watatu wauliwa na ash Shabab

    May 30, 2016 00:05

    Mkuu wa Jeshi la Polisi la eneo la Pwani nchini Kenya ametangaza habari ya kuuawa raia kadhaa wa nchi hiyo, jana asubuhi.

  • Jeshi la Kenya laangamiza al-Shabaab 21 nchini Somalia

    Jeshi la Kenya laangamiza al-Shabaab 21 nchini Somalia

    May 25, 2016 10:03

    Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF limetangaza habari ya kuangamizwa wanachama 21 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Hawina nchini Somalia.

  • Francis Wanjohi: Ash Shabab yafanya njama za kuzidi kuwadanganya vijana wa Kenya

    Francis Wanjohi: Ash Shabab yafanya njama za kuzidi kuwadanganya vijana wa Kenya

    May 21, 2016 11:28

    Kamanda wa eneo la Pwani nchini Kenya amesema kuwa, kundi la ash Shabab la Somalia linaendelea na njama zake za kuwadanganya vijana wa Kenya ili wajiunga na kundi hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS