Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ayatullah Khamenei

  • Kiongozi Muadhamu: Saudia ikubali uchunguzi kuhusu maafa ya Mina

    Kiongozi Muadhamu: Saudia ikubali uchunguzi kuhusu maafa ya Mina

    Sep 07, 2016 13:20

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: "Iwapo utawala wa Saudia haupaswi kulaumiwa kuhusu maafa ya Mina, basi ukubali jopo la Kiislamu-Kimataifa lichunguze kwa karibu maafa hayo na kuweka kila kitu wazi."

  • Alkhamisi, 14 Julai, 2016

    Alkhamisi, 14 Julai, 2016

    Jul 14, 2016 06:33

    Leo ni Alkhamisi tarehe 9 Mfunguo Mosi Shawwal 1437 Hijria sawa na tarehe 14 Julai 2016.

  • Kiongozi: Umma ufahamishwe kuhusu hiana ya Marekani katika mapatano ya nyuklia

    Kiongozi: Umma ufahamishwe kuhusu hiana ya Marekani katika mapatano ya nyuklia

    Jun 21, 2016 07:26

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa umma unapaswa kufahamishwa kuhusu hiana inayofanywa na Marekani katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Kiongozi Muadhamu aonya kuhusu njama za maadui wa Iran

    Kiongozi Muadhamu aonya kuhusu njama za maadui wa Iran

    Jun 15, 2016 08:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametahadharisha juu ya njama za maadui wanaoazimia kukwamisha maendeleo ya Iran.

  • Kiongozi: Mazungumzo ya nyuklia yamethibitisha Marekani haina mwamana

    Kiongozi: Mazungumzo ya nyuklia yamethibitisha Marekani haina mwamana

    Jun 03, 2016 14:48

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tunapaswa kutumia uzoefu wa mazungumzo ya nyuklia yaliyothibitisha kuwa Marekani haina mwamana na hivyo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ichukue mkondo wake wa ustawi.

  • Kiongozi Muadhamu: Malengo ya Mapinduzi yatafikiwa kwa kutekeleza 'Jihadi Kubwa' ya kutomtii adui

    Kiongozi Muadhamu: Malengo ya Mapinduzi yatafikiwa kwa kutekeleza 'Jihadi Kubwa' ya kutomtii adui

    May 26, 2016 16:37

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njia pekee ya kuufanya Mfumo wa Kiislamu udumu na kupiga hatua mbele na kufikiwa malengo ya Mapinduzi ni 'nchi kuwa na uwezo halisi' na kutekelezwa 'jihadi kubwa', yaani kutomtii adui.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Nguvu kwa Msingi wa Uislamu

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Nguvu kwa Msingi wa Uislamu

    May 19, 2016 07:08

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Jumatano alikutana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran na kusema, 'Qur'ani Tukufu ni mhimili wa Umoja wa Umma wa Kiislamu.

  • Marekani inachochea chuki dhidi ya Uislamu

    Marekani inachochea chuki dhidi ya Uislamu

    May 05, 2016 08:36

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani inachochea chuki dhidi ya Uislamu, Iran na Ushia.

  • Kiongozi: Wamagharibi wanataka kudhibiti eneo kupitia vita dhidi ya Uislamu

    Kiongozi: Wamagharibi wanataka kudhibiti eneo kupitia vita dhidi ya Uislamu

    May 01, 2016 18:11

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema madola ya Magharibi yakiongozwa na Marekani yanataka kulidhibiti eneo la Magharibi mwa Asia kupitia vita vikubwa na vipana dhidi ya mrengo wa Uislamu.

  • Matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na Rais wa Afrika Kusini

    Matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na Rais wa Afrika Kusini

    Apr 25, 2016 13:23

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ambaye Jumapili aliwasili Tehran akiongoza ujumbe wa ngazi za juu alikutana na kufanya mazungumzo na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS