Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Utawala wa Bahrain wazidi kukosolewa kwa kuwanyonga wanaharakati

    Utawala wa Bahrain wazidi kukosolewa kwa kuwanyonga wanaharakati

    Jan 17, 2017 07:36

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amelaani hatua ya Bahrain ya kuwanyonga vijana watatu wanaharakati wa nchi hiyo kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la mwaka 2014, huku akikosoa kimya cha jamii ya kimataifa juu ya ukatili huo.

  • Kunyongwa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain

    Kunyongwa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain

    Jan 16, 2017 07:49

    Utawala wa Ukoo wa Aal Khalifa jana Jumapili asubuhi uliwanyonga vijana watatu wapinzani pamoja na kuwa mashirika ya kutetea haki za binadmau yalikuwa yamemuandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa yakitaka vijana walionyongwa kuachiliwa huru mara moja.

  • Iran yalaani mauaji ya wanaharakati Bahrain, upinzani waitisha maandamano nchi nzima

    Iran yalaani mauaji ya wanaharakati Bahrain, upinzani waitisha maandamano nchi nzima

    Jan 16, 2017 03:52

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu wa nchi hiyo kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.

  • Umoja wa Mataifa walaani hatua ya Bahrain kuwanyonga wanaharakati

    Umoja wa Mataifa walaani hatua ya Bahrain kuwanyonga wanaharakati

    Jan 15, 2017 14:27

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.

  • Polisi Bahrain washambulia shule na kufyatulia wanafunzi mabomu

    Polisi Bahrain washambulia shule na kufyatulia wanafunzi mabomu

    Jan 12, 2017 03:46

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa vikali hatua ya maafisa usalama wa Aal-Khalifa nchini Bahrain kushambulia shule moja na kuwafyatulia wanafunzi mabomu ya kutoa machozi.

  • Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Isa Qassim

    Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Isa Qassim

    Jan 06, 2017 08:14

    Maelfu ya wananchi wa Bahrain wameandamana kote katika ufalme huo kwa siku ya pili mfululizo wakipinga kukandamizwa mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim.

  • Wanazuoni wa Bahrain walaani mzingiro katika kijiji cha Diraz

    Wanazuoni wa Bahrain walaani mzingiro katika kijiji cha Diraz

    Jan 04, 2017 07:48

    Wanazuoni nchini Bahrain wamekosoa vikali na kutoa wito wa kuondolewa mzingiro dhidi ya kijiji cha Diraz, anakoishi msomi na mwanaharakati wa Kiislamu nchini humo Sheikh Isa Qassim.

  • Al-Wefaq: Jamii ya kimataifa imefumbia macho mzingiro wa Diraz, Bahrain

    Al-Wefaq: Jamii ya kimataifa imefumbia macho mzingiro wa Diraz, Bahrain

    Jan 04, 2017 03:57

    Chama kikuu cha upinzani nchini Bahrain kimekosoa kimya cha jamii ya kimataifa juu ya mzingiro dhidi ya eneo la Diraz na ukandamizaji wanaofanyiwa wakazi wa eneo hilo kwa zaidi ya nusu mwaka sasa.

  • Jela yavamiwa na watu wenye silaha Bahrain, wafungwa waachiwa huru

    Jela yavamiwa na watu wenye silaha Bahrain, wafungwa waachiwa huru

    Jan 01, 2017 16:36

    Watu waliokuwa na silaha wameivamia jela ya Jau nchini Bahrain na kumuua polisi mmoja na kuwatorosha wafungwa wa jela hiyo. Hayo yameelezwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain.

  • Bahrain yalaaniwa kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Bahrain yalaaniwa kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Dec 29, 2016 07:23

    Utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain umelaaniwa vikali kwa hatua yake ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS