-
Kushadidi anga ya ukandamizaji nchini Bahrain na njama za utawala wa Aal Khalifa
Feb 09, 2017 00:35Duru za haki za binadamu zimetangaza kuwa, Mahakama ya Rufaa ya Bahrain imetupilia mbali ombi la kuangalia upya hukumu ya kukivunja Chama cha al-Wifaq na kuzuia mali zake zote.
-
Amnesty yaitaka Bahrain iache kuwanyonga wafungwa wa kisiasa
Jan 20, 2017 04:06Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema Bahrain inaelekea kutumbukia katika mgogoro wa haki za binaadamu na inapaswa kusitisha mara moja hukumu ya kunyongwa wafungwa wengine wawili wa kisiasa nchini huo.
-
UN: Kunyongwa vijana wa Bahrain ni dhulma
Jan 18, 2017 23:24Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kitendo cha watawala wa Bahrain cha kuwanyonga vijana watatu wa nchi hiyo si cha kiuadilifu.
-
Utawala wa Bahrain wazidi kukosolewa kwa kuwanyonga wanaharakati
Jan 17, 2017 04:06Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amelaani hatua ya Bahrain ya kuwanyonga vijana watatu wanaharakati wa nchi hiyo kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la mwaka 2014, huku akikosoa kimya cha jamii ya kimataifa juu ya ukatili huo.
-
Kunyongwa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain
Jan 16, 2017 04:19Utawala wa Ukoo wa Aal Khalifa jana Jumapili asubuhi uliwanyonga vijana watatu wapinzani pamoja na kuwa mashirika ya kutetea haki za binadmau yalikuwa yamemuandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa yakitaka vijana walionyongwa kuachiliwa huru mara moja.
-
Iran yalaani mauaji ya wanaharakati Bahrain, upinzani waitisha maandamano nchi nzima
Jan 16, 2017 00:22Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu wa nchi hiyo kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.
-
Umoja wa Mataifa walaani hatua ya Bahrain kuwanyonga wanaharakati
Jan 15, 2017 10:57Umoja wa Mataifa umelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.
-
Polisi Bahrain washambulia shule na kufyatulia wanafunzi mabomu
Jan 12, 2017 00:16Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa vikali hatua ya maafisa usalama wa Aal-Khalifa nchini Bahrain kushambulia shule moja na kuwafyatulia wanafunzi mabomu ya kutoa machozi.
-
Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Isa Qassim
Jan 06, 2017 04:44Maelfu ya wananchi wa Bahrain wameandamana kote katika ufalme huo kwa siku ya pili mfululizo wakipinga kukandamizwa mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim.
-
Wanazuoni wa Bahrain walaani mzingiro katika kijiji cha Diraz
Jan 04, 2017 04:18Wanazuoni nchini Bahrain wamekosoa vikali na kutoa wito wa kuondolewa mzingiro dhidi ya kijiji cha Diraz, anakoishi msomi na mwanaharakati wa Kiislamu nchini humo Sheikh Isa Qassim.