-
Magaidi wa Boko Haram waua watu 27 Nigeria
Oct 06, 2019 12:00Watu 27 wamepoteza maisha kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulizi la kigaidi ambalo limetekelezwa na kundi la Boko Haram linalofungamna na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).
-
Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram
Oct 05, 2019 15:05Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.
-
Makamanda 7 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wauawa nchini Nigeria
Sep 22, 2019 02:31Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, kwa akali limewaua makamanda saba wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni dhidi ya wanamgambo hao iliyoendeshwa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na majeshi mengine ya nchi kadhaa katika Ukanda wa Ziwa Chad.
-
Boko Haram yaua watu 9 kwa mishale, mikuki na mapanga Nigeria
Sep 19, 2019 14:28Watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameshambulia kijiji kimoja huko kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua watu tisa.
-
Magaidi wa Boko Haram waua wanajeshi 9 wa Nigeria
Sep 12, 2019 11:52Magaidi wa kundi la Boko Haram wameshambulia kituo cha kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuwaua wanajeshi tisa.
-
Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauawa kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 02, 2019 07:41Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limeshambulia kwa ndege maficho ya magaidi wa Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na kuangamiza magaidi kadhaa.
-
Boko Haram yaua watu 12 nchini Niger
Aug 25, 2019 07:55Wanamgambo wa genge la kigaidi la Boko Haram wameua kwa umati watu 12 wa kijiji kimoja cha kusini mashariki mwa Niger.
-
Watu 11 watekwa nyara kaskazini mwa Cameroon
Aug 23, 2019 06:57Wanamgambo wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko haram wamewateka nyara watu 11 katika eneo moja la kaskazini mwa Cameroon.
-
Niger yawatahadharisha raia wake na uharamia wa utekaji nyara wa Boko Haram
Aug 04, 2019 13:45Viongozi wa serikali ya Niger wametoa indhari kwa raia wa nchi hiyo kujihadhari na uharamia unaofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram wa kuteka watu nyara na kudai kikomboleo cha fedha.
-
Idadi ya raia waliouawa na Boko Haram huko Maiduguri yaongezeka na kufikia 65
Jul 29, 2019 04:38Idadi ya watu waliuawa kaskazini mwa Nigeria baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuwashambulia watu waliokuwa wakitoka msibani imeongezeka na kufikia 65.