Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Magaidi wa Boko Haram waua watu 27 Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram waua watu 27 Nigeria

    Oct 06, 2019 12:00

    Watu 27 wamepoteza maisha kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulizi la kigaidi ambalo limetekelezwa na kundi la Boko Haram linalofungamna na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).

  • Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram

    Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram

    Oct 05, 2019 15:05

    Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.

  • Makamanda 7 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wauawa nchini Nigeria

    Makamanda 7 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wauawa nchini Nigeria

    Sep 22, 2019 02:31

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, kwa akali limewaua makamanda saba wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni dhidi ya wanamgambo hao iliyoendeshwa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na majeshi mengine ya nchi kadhaa katika Ukanda wa Ziwa Chad.

  • Boko Haram yaua watu 9 kwa mishale, mikuki na mapanga Nigeria

    Boko Haram yaua watu 9 kwa mishale, mikuki na mapanga Nigeria

    Sep 19, 2019 14:28

    Watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameshambulia kijiji kimoja huko kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua watu tisa.

  • Magaidi wa Boko Haram waua wanajeshi 9 wa Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram waua wanajeshi 9 wa Nigeria

    Sep 12, 2019 11:52

    Magaidi wa kundi la Boko Haram wameshambulia kituo cha kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuwaua wanajeshi tisa.

  • Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauawa kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauawa kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 02, 2019 07:41

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limeshambulia kwa ndege maficho ya magaidi wa Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na kuangamiza magaidi kadhaa.

  • Boko Haram yaua watu 12 nchini Niger

    Boko Haram yaua watu 12 nchini Niger

    Aug 25, 2019 07:55

    Wanamgambo wa genge la kigaidi la Boko Haram wameua kwa umati watu 12 wa kijiji kimoja cha kusini mashariki mwa Niger.

  • Watu 11 watekwa nyara kaskazini mwa Cameroon

    Watu 11 watekwa nyara kaskazini mwa Cameroon

    Aug 23, 2019 06:57

    Wanamgambo wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko haram wamewateka nyara watu 11 katika eneo moja la kaskazini mwa Cameroon.

  • Niger yawatahadharisha raia wake na uharamia wa utekaji nyara wa Boko Haram

    Niger yawatahadharisha raia wake na uharamia wa utekaji nyara wa Boko Haram

    Aug 04, 2019 13:45

    Viongozi wa serikali ya Niger wametoa indhari kwa raia wa nchi hiyo kujihadhari na uharamia unaofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram wa kuteka watu nyara na kudai kikomboleo cha fedha.

  • Idadi ya raia waliouawa na Boko Haram huko Maiduguri yaongezeka na kufikia 65

    Idadi ya raia waliouawa na Boko Haram huko Maiduguri yaongezeka na kufikia 65

    Jul 29, 2019 04:38

    Idadi ya watu waliuawa kaskazini mwa Nigeria baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuwashambulia watu waliokuwa wakitoka msibani imeongezeka na kufikia 65.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS