Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Majanga yazidi kumwandama Trump, Kongresi kuchunguza uhalifu wa makampuni yake

    Majanga yazidi kumwandama Trump, Kongresi kuchunguza uhalifu wa makampuni yake

    Jan 05, 2019 11:57

    Mbunge wa chama cha Democratic katika Kongresi ya Marekani amesema kuwa ataanzisha uchunguzi kuhusu tuhuma za kuhusika taasisi na makampuni ya Rais wa nchi hiyo Donald Trump katika uhalifu wa utakatishaji wa fedha chafu na kuhusu uhusiano wake na Saudi Arabia.

  • Kushadidi mzozo baina ya Wademocrat na Trump na uwezekano wa kuitwa bungeni ajieleze

    Kushadidi mzozo baina ya Wademocrat na Trump na uwezekano wa kuitwa bungeni ajieleze

    Jan 05, 2019 03:06

    Tangu alipoingia madarakani nchini Marekani hadi hivi sasa, rais wa nchi hiyo Donald Trump, amekuwa akifanya kila njia kulishinikiza Baraza la Congress libadilishe sheria za nchi kwa manufaa yake.

  • Trump apatwa na wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuuzuliwa

    Trump apatwa na wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuuzuliwa

    Jan 04, 2019 13:03

    Rais wa Marekani ameonyesha radiamali yake kufuatia kuenea habari kuhusu uamuzi wa Wademocrats katika kongresi ya nchi hiyo wa kutaka kumsaili kwa lengo la kumuuzulu.

  • Kulegeza msimamo Trump kuhusiana na Syria

    Kulegeza msimamo Trump kuhusiana na Syria

    Jan 03, 2019 22:55

    Baada ya kupita miaka saba tangu Syria ikumbwe na mgogoro uliosababishwa na uingiliaji wa Marekani pamoja na waitifaki wake wa Ulaya wa Kiarabu katika masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuyaunga mkono makundi ya kigaidi ili kuipindua serikali halali ya nchi hiyo; hivi sasa mlingano wa nguvu umebadilika kikamilifu kwa maslahi ya serikali ya Syria na waitifaki wake.

  • Trump akiri wameshindwa Syria, asema, Iran ina satua ya kufanya chochote nchini humo

    Trump akiri wameshindwa Syria, asema, Iran ina satua ya kufanya chochote nchini humo

    Jan 03, 2019 04:19

    Rais wa Marekani, Donald Trump amekiri kushindwa njama za Marekani na vibaraka wake nchini Syria na kusema kuwa, Iran ina ushawishi wa kufanya wanalopenda katika nchi hiyo.

  • Trump ailaumu Democrats kwa vifo vya watoto wahajiri waliokuwa kizuizini

    Trump ailaumu Democrats kwa vifo vya watoto wahajiri waliokuwa kizuizini

    Dec 30, 2018 23:11

    Rais Donald Trump wa Marekani amekilaumu chama cha upinzani cha Democrats kwa vifo vya watoto wawili wahajiri walipoteza maisha hivi karibuni wakiwa kizuizini ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani wanataka Trump auzuliwe

    Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani wanataka Trump auzuliwe

    Dec 29, 2018 04:42

    Utafiti wa maoni uliofanywa na shirika la Harvard CAPS kwa ushirikiano na taasisi ya utafiti ya Harris umeonesha kuwa akthari ya Wamarekani wanataka Rais Donald Trump wa nchi hiyo auziliwe au avuliwe madaraka.

  • Iran: Safari ya kinyemela ya Trump Iraq ni kuwakosea heshima Wairaq

    Iran: Safari ya kinyemela ya Trump Iraq ni kuwakosea heshima Wairaq

    Dec 28, 2018 21:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema safari ya siri na ya kushtukiza ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Iraq imekiuka misingi yote ya udiplomasia na ni kutoheshimu uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ayatullah Khatami: Safari ya siri ya Trump nchini Iraq ni ithibati ya kudhalilika Marekani katika eneo

    Ayatullah Khatami: Safari ya siri ya Trump nchini Iraq ni ithibati ya kudhalilika Marekani katika eneo

    Dec 28, 2018 12:39

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran, ameashiria safari ya kificho na ya kushtukiza ya Rais Donald Trump wa Marekani, akifuatana na mkewe Melania nchini Iraq na kusema kuwa, licha ya Marekani kutumia matrilioni ya dola katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini rais wake amelazimika kufanya safari ya siri katika nchi moja ya eneo.

  • Mahmoud Abbas: Trump anapaswa aheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa

    Mahmoud Abbas: Trump anapaswa aheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa

    Dec 25, 2018 11:18

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameitaka serikali ya Marekani iheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS