-
Majanga yazidi kumwandama Trump, Kongresi kuchunguza uhalifu wa makampuni yake
Jan 05, 2019 11:57Mbunge wa chama cha Democratic katika Kongresi ya Marekani amesema kuwa ataanzisha uchunguzi kuhusu tuhuma za kuhusika taasisi na makampuni ya Rais wa nchi hiyo Donald Trump katika uhalifu wa utakatishaji wa fedha chafu na kuhusu uhusiano wake na Saudi Arabia.
-
Kushadidi mzozo baina ya Wademocrat na Trump na uwezekano wa kuitwa bungeni ajieleze
Jan 05, 2019 03:06Tangu alipoingia madarakani nchini Marekani hadi hivi sasa, rais wa nchi hiyo Donald Trump, amekuwa akifanya kila njia kulishinikiza Baraza la Congress libadilishe sheria za nchi kwa manufaa yake.
-
Trump apatwa na wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuuzuliwa
Jan 04, 2019 13:03Rais wa Marekani ameonyesha radiamali yake kufuatia kuenea habari kuhusu uamuzi wa Wademocrats katika kongresi ya nchi hiyo wa kutaka kumsaili kwa lengo la kumuuzulu.
-
Kulegeza msimamo Trump kuhusiana na Syria
Jan 03, 2019 22:55Baada ya kupita miaka saba tangu Syria ikumbwe na mgogoro uliosababishwa na uingiliaji wa Marekani pamoja na waitifaki wake wa Ulaya wa Kiarabu katika masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuyaunga mkono makundi ya kigaidi ili kuipindua serikali halali ya nchi hiyo; hivi sasa mlingano wa nguvu umebadilika kikamilifu kwa maslahi ya serikali ya Syria na waitifaki wake.
-
Trump akiri wameshindwa Syria, asema, Iran ina satua ya kufanya chochote nchini humo
Jan 03, 2019 04:19Rais wa Marekani, Donald Trump amekiri kushindwa njama za Marekani na vibaraka wake nchini Syria na kusema kuwa, Iran ina ushawishi wa kufanya wanalopenda katika nchi hiyo.
-
Trump ailaumu Democrats kwa vifo vya watoto wahajiri waliokuwa kizuizini
Dec 30, 2018 23:11Rais Donald Trump wa Marekani amekilaumu chama cha upinzani cha Democrats kwa vifo vya watoto wawili wahajiri walipoteza maisha hivi karibuni wakiwa kizuizini ndani ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani wanataka Trump auzuliwe
Dec 29, 2018 04:42Utafiti wa maoni uliofanywa na shirika la Harvard CAPS kwa ushirikiano na taasisi ya utafiti ya Harris umeonesha kuwa akthari ya Wamarekani wanataka Rais Donald Trump wa nchi hiyo auziliwe au avuliwe madaraka.
-
Iran: Safari ya kinyemela ya Trump Iraq ni kuwakosea heshima Wairaq
Dec 28, 2018 21:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema safari ya siri na ya kushtukiza ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Iraq imekiuka misingi yote ya udiplomasia na ni kutoheshimu uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Ayatullah Khatami: Safari ya siri ya Trump nchini Iraq ni ithibati ya kudhalilika Marekani katika eneo
Dec 28, 2018 12:39Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran, ameashiria safari ya kificho na ya kushtukiza ya Rais Donald Trump wa Marekani, akifuatana na mkewe Melania nchini Iraq na kusema kuwa, licha ya Marekani kutumia matrilioni ya dola katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini rais wake amelazimika kufanya safari ya siri katika nchi moja ya eneo.
-
Mahmoud Abbas: Trump anapaswa aheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa
Dec 25, 2018 11:18Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameitaka serikali ya Marekani iheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina.