-
Wizara ya Afya: Ugonjwa wa Ebola umeibuka tena katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Nov 11, 2018 01:06Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, watu wasiopungua 319 wamethibitishwa kuambukizwa maradhi ya Ebola ikiwa ni wimbi jipya la maradhi hayo katika nchi hiyo.
-
UN:Hatua mpya zinafanikisha vita dhidi ya Ebola DRC
Nov 09, 2018 04:28Hatua mpya za kukabiliana na changamoto za vita dhidi ya mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC zinazaa matunda ingawa mlipuko huo bado unasalia kuwa hatari.
-
Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya
Nov 02, 2018 23:26Uganda imetangaza kuwa Jumatatu ijayo itaanza kutoa chanjo kwa baadhi ya wafanyakazi wake wa huduma ya afya dhidi ya maradhi ya Ebola. Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi Uganda homa hiyo ya kuvuja damu inayosababishwa na virusi kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa Ebola.
-
Wasiwasi wa WHO kuhusu ongezeko la maambukizi mapya ya Ebola DRC
Nov 02, 2018 02:32Shirika la Afya Duniani WHO limeeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa maambukizi ya Ebola yaliyothibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC katika wiki nne zilizopita.
-
Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Oct 31, 2018 04:47Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja azimio la kupambana na ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Uchunguzi: Mlipuko wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha hasara ya dola bilioni 53
Oct 24, 2018 23:04Virusi vya Ebola vilivyozikumba nchi za magharibi mwa Afrika hususan Sierra Leone, Guinea and Liberia mwaka 2014 vilisababisha hasara inayokadiriwa kufikia dola bilioni 53.
-
WHO kuunda kamati ya kujadili mlipuko wa Ebola Congo DR
Oct 16, 2018 04:39Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa litaitisha kikao cha kamati ya dharura ya kuamua iwapo mlipuko wa sasa wa maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni mgogoro wa umma unaoitia wasiwasi jamii ya kimataifa au la.
-
Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Kongo DR
Oct 07, 2018 04:15Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha habari ya kugunduliwa kwa kesi tano mpya za maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola katika mji wa Beni, mashariki mwa nchi.
-
UNICEF yaimarisha mikakati ya kukabiliana na Ebola DRC
Sep 15, 2018 09:22Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetangaza azma mpya ya kukabiliana na ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC ili kuwasaidia maelfu ya watu, wakiwemo watoto, kufuatia kuibuka upya kwa ugonjwa huo.
-
Wahanga wa Ebola waongezeka DRC
Sep 13, 2018 22:50Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana ilitoa taarifa mpya na kusema kuwa, wahanga wa ugonjwa hatari wa Ebola wameongezeka tangu mwanzoni mwa mwezi Agosti hadi hivi sasa kiasi kwamba kati ya kesi 133 zilizosajiliwa, 102 zimethibitika kuwa ni za homa ya Ebola.