Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Tehran yalaani taarifa ya chuki dhidi ya Iran iliyotolewa na marais wa Marekani na Ufaransa

    Tehran yalaani taarifa ya chuki dhidi ya Iran iliyotolewa na marais wa Marekani na Ufaransa

    Jun 11, 2024 03:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, amesema kuwa, yaliyomo katika taarifa ya chuki dhidi ya Iran iliyotolewa na marais wa Marekani na Ufaransa hayana msingi wowote bali yana malengo na misukumo ya kisiasa na ni mwendelezo wa siasa zilizoshindwa tangu zamani.

  • Iran yatangaza orodha ya waliodhinishwa kugombea urais Juni 28

    Iran yatangaza orodha ya waliodhinishwa kugombea urais Juni 28

    Jun 09, 2024 23:53

    Makao Makuu ya Uchaguzi katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran yametangaza orodha ya mwisho ya viongozi waliodhinishwa kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kamanda: Nchi za kigeni zina hamu ya kununua droni za Iran

    Kamanda: Nchi za kigeni zina hamu ya kununua droni za Iran

    Jun 09, 2024 23:52

    Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni moja ya madola yenye nguvu kubwa za ndege zisizo na rubani (droni) duniani.

  • Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza

    Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza

    Jun 09, 2024 06:33

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni mojawapo ya nchi ambazo zimepaza "sauti kubwa zaidi" dhidi ya jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Bahrain imetuma salamu kupitia Russia za kutaka kurejesha uhusiano wa kidiplomasia na Iran

    Bahrain imetuma salamu kupitia Russia za kutaka kurejesha uhusiano wa kidiplomasia na Iran

    Jun 08, 2024 07:18

    Afisa mwandamizi wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Bahrain imetuma salamu kwa Tehran kupitia Russia za kutaka kurejesha uhusiano wa kawaida baada ya kusimamishwa kwa zaidi ya miaka minane.

  • Iran: Maafa ya Palestina hayataisha mpaka Marekani na Ulaya zitapoacha kuiunga mkono Israel

    Iran: Maafa ya Palestina hayataisha mpaka Marekani na Ulaya zitapoacha kuiunga mkono Israel

    Jun 08, 2024 00:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Kusimamishwa kikamilifu na kivitendo uungaji mkono wa Marekani na Ulaya kwa utawala wa kibaguzi wa Kizayuni katika mashambulizi yake dhidi ya Ukanda wa Ghaza ndiko kunakoweza kukomesha maafa machungu na ukatili wa kinyama na unaofanywa bila kujali dhidi ya watu huko Palestina.

  • Iran yazitaka nchi za Waislamu kuunganisha nguvu zao kukabiliana na Israel

    Iran yazitaka nchi za Waislamu kuunganisha nguvu zao kukabiliana na Israel

    Jun 07, 2024 02:50

    Katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitizia ulazima wa kuunganishwa nguvu za nchi za Waislamu katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni.

  • Kituo kikubwa zaidi cha anga za mbali Asia Magharibi kuanza kazi 2025 Iran

    Kituo kikubwa zaidi cha anga za mbali Asia Magharibi kuanza kazi 2025 Iran

    Jun 06, 2024 23:42

    Ujenzi wa kituo kikubwa zaidi cha anga za mbali katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) unaendelea vizuri hapa nchini Iran, na kinatazimwa kuanza kazi zake mwaka ujao.

  • Iran yajibu ripoti mpya ya IAEA; Tehran italinda haki zake kwa nguvu zote

    Iran yajibu ripoti mpya ya IAEA; Tehran italinda haki zake kwa nguvu zote

    Jun 06, 2024 06:25

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitofumbia macho haki zake za nyuklia na itasimama imara kulinda na kutetea haki zake hizo.

  • Iran, China na Russia zazitaka nchi za Magharibi zianze tena kutekeleza makubaliano ya nyuklia

    Iran, China na Russia zazitaka nchi za Magharibi zianze tena kutekeleza makubaliano ya nyuklia

    Jun 05, 2024 03:58

    Iran, China na Russia zimesisitiza kuwa, vifungu vya mkataba wa nyuklia wa JCPOA vingali vina itibari na kuzishauri nchi za Magharibi ambazo zimekwamisha utekelezaji wa mapatano hayo kwa kutochukua hatua na kukhalifu kutekeleza ahadi na majukumu yao, zionyeshe utashi wa kisiasa na kuchukua hatua zinazohitajika ili kuanza kutekeleza tena makubaliano hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS