Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais Raisi: Kukata uhusiano wa kiuchumi na kisiasa ndiyo silaha bora ya kuipigisha magoti Israel

    Rais Raisi: Kukata uhusiano wa kiuchumi na kisiasa ndiyo silaha bora ya kuipigisha magoti Israel

    Apr 10, 2024 23:09

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kukatwa uhusiano wa kiuchumi na kisiasa wa nchi za Waislamu na utawala wa Kizayuni ndiyo silaha bora ya kukomesha jinai za Wazayuni huko Palestina.

  • Kiongozi Muadhamu: Ghaza ndiyo kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa

    Kiongozi Muadhamu: Ghaza ndiyo kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa

    Apr 10, 2024 10:45

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Ghaza ni suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho kwani ndiyo kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, hivyo kila mmoja wetu anapaswa kutekeleza vizuri majukumu yake kuhusu Ukanda wa Ghaza.

  • Kiongozi Muadhamu: Israel ilifanya makosa, 'itaadhibiwa' kwa kushambulia ubalozi mdogo wa Iran

    Kiongozi Muadhamu: Israel ilifanya makosa, 'itaadhibiwa' kwa kushambulia ubalozi mdogo wa Iran

    Apr 10, 2024 04:22

    Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.

  • Abdollahian: Marekani inapasa kuwajibishwa kwa shambulio dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran

    Abdollahian: Marekani inapasa kuwajibishwa kwa shambulio dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran

    Apr 09, 2024 04:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa serikali ya Marekani ina jukumu na inapasa kubeba dhima kwa shambulio la kigaidi katika ubalozi mdogo wa Iran mjini Damascus lililofanywa na utawala wa Israel unaotekeleza mauaji ya kimbari huko Gaza.

  • Iran yasajili mafanikio 15 ya nyuklia katika sekta ya tiba

    Iran yasajili mafanikio 15 ya nyuklia katika sekta ya tiba

    Apr 09, 2024 04:14

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa nchi hii imesajili mafanikio mapya 15 katika uwanja wa matibabu na dawa aina za Radiopharmaceutical.

  • Iran kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki

    Iran kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki

    Apr 08, 2024 22:50

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, nchi yake itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki utakaofanyika mwezi ujao wa Mei.

  • Wapiganaji wa HAMAS waangamiza askari na maafisa 14 wa jeshi la Israel katika muda wa saa chache

    Wapiganaji wa HAMAS waangamiza askari na maafisa 14 wa jeshi la Israel katika muda wa saa chache

    Apr 07, 2024 03:34

    Wapiganaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS wamewaangamiza askari na maafisa 14 wa jeshi la Israel katika muda wa saa chache, baada ya kuwashambulia wanajeshi walioko kusini mwa Ukanda wa Ghaza unaohimili vita vya kinyama vya mauaji ya kimbari yanayoendelezwa na jeshi hilo la Kizayuni katika eneo hilo.

  •  Kiwewe cha Wazayuni wakisubiri jibu la kijeshi la Iran kutokana na jinai zao

    Kiwewe cha Wazayuni wakisubiri jibu la kijeshi la Iran kutokana na jinai zao

    Apr 06, 2024 22:56

    Utawala wa Kizayuni umesema una wasiwasi na jibu liltakalotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia jinai za karibuni iliyofanywa na utawala huo ya kuishambulia sehemu ya jengo la ubalozi dogo wa Iran huko Syria. Kwa kuhofia jibu la kijeshi la Iran, utawala wa Kizayuni umetoa amri ya kufungwa balozi zake katika maeneo mbalimbali duniani.

  • Aliyeongoza mashambulizi ya kigaidi kusini mashariki mwa Iran, atiwa mbaroni

    Aliyeongoza mashambulizi ya kigaidi kusini mashariki mwa Iran, atiwa mbaroni

    Apr 06, 2024 07:05

    Msemaji wa Komandi Kuu ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kutiwa mbaroni gaidi aliyeongoza mashambulizi ya kigaidi huko kusini mashariki mwa Iran. Gaidi huyo ametiwa mbaroni kwenye mji wa Karaj wa mkoa wa Alborz wa magharibi mwa Tehran.

  • Rais wa Iran: Walimwengu watajionea kuangamia kwa utawala wa Kizayuni

    Rais wa Iran: Walimwengu watajionea kuangamia kwa utawala wa Kizayuni

    Apr 06, 2024 03:27

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu maalumu za kuwashukuru wananchi walio macho na wenye kujali thamani ya mambo wa Iran kwa ushiriki wao mkubwa katika matembezi ya Siku ya Quds Duniani na kusema: Walimwengu watajionea kuangamia kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS