Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya Makanisa Misri

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya Makanisa Misri

    Apr 10, 2017 03:06

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya makanisa mawili nchini Misri hapo jana, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Rouhani na Putin walaani vikali mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria

    Rouhani na Putin walaani vikali mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria

    Apr 09, 2017 23:29

    Rais Hassan Rouhani wa Iran na mwenzake wa Russia Vladimir Putin wamelaani vikali hatua ya Marekani ya kukishambulia kituo cha kijeshi cha Syria kwa makombora na kusema kuwa kitendo hicho kilifanyika ili kuyapa motisha na kuyaunga mkono magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Marekani imefeli katika njama za chuki dhidi ya Iran

    Marekani imefeli katika njama za chuki dhidi ya Iran

    Apr 09, 2017 23:09

    Njama za kila namna za Marekani katika kueneza chuki dhidi ya Iran zimefeli na hazijaweza kubadilisha fikra za waliowengi nchini humo.

  • Mazungumzo ya Simu ya Marais Rouhani wa Iran na Assad wa Syria

    Mazungumzo ya Simu ya Marais Rouhani wa Iran na Assad wa Syria

    Apr 09, 2017 09:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine amelani uvamizi wa Marekani katika nchi huru ya Syria na kuitaja hatua hiyo kuwa ukiukwaji wa sheria na mikataba ya Umoja wa Mataifa.

  • Wasomi wengi duniani wanaamini Iran ina uwezo mkubwa wa kijeshi, kisiasa

    Wasomi wengi duniani wanaamini Iran ina uwezo mkubwa wa kijeshi, kisiasa

    Apr 09, 2017 09:42

    Aghalabu ya wasomi wa nchi mbali mbali duniani wanaamini kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa wa kijeshi na ina taathira katika uga wa kimataifa.

  • Rouhani: Teknolojia ya Nyuklia ni dharura kwa Iran

    Rouhani: Teknolojia ya Nyuklia ni dharura kwa Iran

    Apr 09, 2017 09:21

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Teknolojia ya nyuklia ni dharura kwa taifa la Iran na sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelelezwa hii teknolojia ni sisitizo sahihi."

  • Mafanikio mapya ya nyuklia ya Iran yazinduliwa na Rais Rouhani

    Mafanikio mapya ya nyuklia ya Iran yazinduliwa na Rais Rouhani

    Apr 09, 2017 02:57

    Mafanikio ya karibuni ya nyuklia ya Iran yamezinduliwa na Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Siku ya Taifa ya Teknolojia ya Nyuklia.

  • Zarif: Shambulizi la Marekani dhidi ya Syria ni uzushi hatari sana

    Zarif: Shambulizi la Marekani dhidi ya Syria ni uzushi hatari sana

    Apr 08, 2017 22:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa shambulizi la makombora lililofanywa na Marekani dhidi ya Syria ni kinyume na sheria za kimataifa na uzushi hatari sana.

  • Jumapili, Aprili 9, 2017

    Jumapili, Aprili 9, 2017

    Apr 08, 2017 22:07

    Leo ni Jumapili tarehe 11 Rajab 1438 Hijria sawa na tarehe 9 Aprili 2017 Miladia.

  • Rouhani: Marekani inajifanya polisi na jaji wa dunia

    Rouhani: Marekani inajifanya polisi na jaji wa dunia

    Apr 08, 2017 03:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani shambulio la Marekani katika kambi ya jeshi la anga nchini Syria na kusema kuwa, Washington inajifanya polisi na jaji wa dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS