Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ulimwengu wa Michezo, Machi 27

    Ulimwengu wa Michezo, Machi 27

    Mar 27, 2017 06:36

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi...........

  • Iran: Jamii ya kimataifa ikomeshe mauaji ya raia nchini Yemen

    Iran: Jamii ya kimataifa ikomeshe mauaji ya raia nchini Yemen

    Mar 27, 2017 03:28

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka jamii ya kimataifa iingilie kati na kukomesha mara moja mauaji dhidi ya raia wasio na hatia Yemen yanayofanywa na utawala wa Saudi Arabia.

  • Balozi: Kiongozi Muadhamu, Rouhani wanaupa umuhimu uhusiano wa Iran na Russia

    Balozi: Kiongozi Muadhamu, Rouhani wanaupa umuhimu uhusiano wa Iran na Russia

    Mar 26, 2017 03:44

    Balozi wa Iran mjini Moscow amesema Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Rais Hassan Rouhani wanaupa umuhimu mkubwa na wa kipekee uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia na wanataka kuuona ukiimarika.

  • Ombi la UN kwa Iran, Russia, na Uturuki kuhusu Syria

    Ombi la UN kwa Iran, Russia, na Uturuki kuhusu Syria

    Mar 26, 2017 03:43

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria kwa mara nyingine tena amezitaka Iran, Russia na Uturuki kufanya juhudi za kulinda usitishaji vita huko Syria.

  • Iran: Marekani ichunge mienendo yake katika Ghuba ya Uajemi

    Iran: Marekani ichunge mienendo yake katika Ghuba ya Uajemi

    Mar 25, 2017 23:10

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu limeionya vikali Marekani na kuitaka iwe makini katika harakati zinazofanywa na vikosi vyake vya majini katika Ghuba ya Uajemi.

  • Jumapili, Machi 26, 2017

    Jumapili, Machi 26, 2017

    Mar 25, 2017 22:03

    Leo ni Jumapili tarehe 27 Jamadu th-Thani mwaka 1438 Hijria sawa na tarehe 26 Machi 2017 Miladia.

  • Nowruz Katika Utamaduni na Mafundisho ya Kiislamu

    Nowruz Katika Utamaduni na Mafundisho ya Kiislamu

    Mar 25, 2017 07:11

    Tuko katika siku za awali za mwaka mpya wa Kiirani wa 1396 Hijria Shamsia ambao ulianza Machi 21. Siku za kuanza mwaka mpya wa Kiirani hujulikana kama Nowruz au Nairuzi na huadhimishwa kwa furaha na shangwe kote Iran na nchi zinazozungumza Kifarsi pamoja na mataifa yote ambayo kwa njia moja au nyingine yana uhusiano na ustaarabu na utamaduni wa Iran.

  • Kongresi ya Marekani yajiandaa kuibana zaidi Iran kwa vikwazo vipya

    Kongresi ya Marekani yajiandaa kuibana zaidi Iran kwa vikwazo vipya

    Mar 24, 2017 02:50

    Maseneta wa Bunge la Kongresi la Marekani wameandaa muswada wa sheria inayopania kuiongezea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran eti kwa kufanyia majaribio makombora yake ya balistiki.

  • Iran kuanza kuziuzia nchi za Ulaya mapipa laki 8 ya mafuta kwa siku

    Iran kuanza kuziuzia nchi za Ulaya mapipa laki 8 ya mafuta kwa siku

    Mar 20, 2017 04:32

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatazamiwa kuongeza kiwango cha mauzo yake ya mafuta kwa nchi za Umoja wa Ulaya EU.

  • Afrika Kusini yapania kuiuzia Iran mfumo wa makombora

    Afrika Kusini yapania kuiuzia Iran mfumo wa makombora

    Mar 20, 2017 03:58

    Mtandao wa habari wa mybroadband umeripoti kuwa Afrika Kusini inataka kuiuzia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mfumo wa makombora ya ardhini hadi angani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS