-
Ulimwengu wa Michezo, Machi 13
Mar 13, 2017 03:37Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti ndani ya siku saba zilizopita.......
-
Zarif: Taifa la Iran limewaokoa Mayahudi mara tatu katika kipindi cha historia
Mar 12, 2017 23:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu madai na tuhuma za kihistoria zilizotolewa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Iran.
-
Iran yazindua kifaru cha kisasa kilichotengenezwa nchini
Mar 12, 2017 10:31Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kifaru cha kisasa cha kivita ambacho pia kina uwezo kutumika katika eneo lenye maji mengi.
-
Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus
Mar 12, 2017 03:57Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika jana Jumamosi katika mji wa Damascus nchini Syria, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.
-
Iran na Ivory Coast kuimarisha uhusiano wao wa pande mbili
Mar 11, 2017 02:55Mansour Shakib-Mehr, Balozi wa Iran nchini Ivory Coast amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa nchi mbili hizi katika nyuga za uchumi, diplomasia na siasa.
-
"Kiongozi Muadhamu katu hatoruhusu vitisho kutoka kwa maadui"
Mar 10, 2017 12:21Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, katu hatokubali vitisho na chokochoko za maadui.
-
Brigedia Dahqan: Misaada ya Iran, sababu ya kusindwa maadui
Mar 08, 2017 04:26Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran ya Kiislamui daima inayaunga mkono na kuyasaidia makundi ya mapambano na kwamba uungaji mkono huo umewalazimisha maadui kurudi nyuma na kushindwa.
-
Iran yakanusha madai ya kutuma silaha nchini Yemen
Mar 08, 2017 03:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha madai kwamba inatuma silaha nchini Yemen na kusisitiza kuwa madai hayo hayana msingi wowote.
-
Ayatullah Jannati: Kuna haja ya kuwa macho mbele ya hatua za Marekani
Mar 07, 2017 23:50Mkuu wa Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesisitiza kuwa, kuna haja ya kuwa macho mbele ya uadui wa Marekani.
-
Rais Rouhani: Chaguzi nchini Iran hufanyika kwa uhuru, salama, ushindani na demokrasia
Mar 07, 2017 12:10Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguzi nchini Iran hufanyika katika mazingira huru, salama, ya ushindani na kidemokrasia.