Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ulimwengu wa Michezo, Machi 13

    Ulimwengu wa Michezo, Machi 13

    Mar 13, 2017 03:37

    Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti ndani ya siku saba zilizopita.......

  • Zarif: Taifa la Iran limewaokoa Mayahudi mara tatu katika kipindi cha historia

    Zarif: Taifa la Iran limewaokoa Mayahudi mara tatu katika kipindi cha historia

    Mar 12, 2017 23:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu madai na tuhuma za kihistoria zilizotolewa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Iran.

  • Iran yazindua kifaru cha kisasa kilichotengenezwa nchini

    Iran yazindua kifaru cha kisasa kilichotengenezwa nchini

    Mar 12, 2017 10:31

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kifaru cha kisasa cha kivita ambacho pia kina uwezo kutumika katika eneo lenye maji mengi.

  • Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus

    Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus

    Mar 12, 2017 03:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika jana Jumamosi katika mji wa Damascus nchini Syria, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Iran na Ivory Coast kuimarisha uhusiano wao wa pande mbili

    Iran na Ivory Coast kuimarisha uhusiano wao wa pande mbili

    Mar 11, 2017 02:55

    Mansour Shakib-Mehr, Balozi wa Iran nchini Ivory Coast amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa nchi mbili hizi katika nyuga za uchumi, diplomasia na siasa.

  • "Kiongozi Muadhamu katu hatoruhusu vitisho kutoka kwa maadui"

    Mar 10, 2017 12:21

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, katu hatokubali vitisho na chokochoko za maadui.

  • Brigedia Dahqan: Misaada ya Iran, sababu ya kusindwa maadui

    Brigedia Dahqan: Misaada ya Iran, sababu ya kusindwa maadui

    Mar 08, 2017 04:26

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran ya Kiislamui daima inayaunga mkono na kuyasaidia makundi ya mapambano na kwamba uungaji mkono huo umewalazimisha maadui kurudi nyuma na kushindwa.

  • Iran yakanusha madai ya kutuma silaha nchini Yemen

    Iran yakanusha madai ya kutuma silaha nchini Yemen

    Mar 08, 2017 03:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha madai kwamba inatuma silaha nchini Yemen na kusisitiza kuwa madai hayo hayana msingi wowote.

  • Ayatullah Jannati: Kuna haja ya kuwa macho mbele ya hatua za Marekani

    Ayatullah Jannati: Kuna haja ya kuwa macho mbele ya hatua za Marekani

    Mar 07, 2017 23:50

    Mkuu wa Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesisitiza kuwa, kuna haja ya kuwa macho mbele ya uadui wa Marekani.

  • Rais Rouhani: Chaguzi nchini Iran hufanyika kwa uhuru, salama, ushindani na demokrasia

    Rais Rouhani: Chaguzi nchini Iran hufanyika kwa uhuru, salama, ushindani na demokrasia

    Mar 07, 2017 12:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguzi nchini Iran hufanyika katika mazingira huru, salama, ya ushindani na kidemokrasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS