-
Iran yataka suala la haki za binadamu lisitumiwe kisiasa
Mar 01, 2017 03:48Sayyid Abbas Araqchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya sheria na ya kimataifa alisema jana kwenye kikao cha Baraza la Haki za binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi kwamba, ni jambo la dharura kwa suala la haki za binadamu kuepushwa kikamilifu na masuala ya kisiasa.
-
Jeshi la Majini la Iran lafanyia majaribio kombora la topedo
Feb 28, 2017 12:43Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limefanyia majaribio yaliyofana kombora aina ya topedo katika siku ya mwisho ya mazoezi makubwa ya kijeshi katika maji ya kitaifa na kimataifa.
-
Rouhani: Iran inakaribisha kuimarisha uhusiano wake na Indonesia
Feb 28, 2017 03:46Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inaunga mkono kikamilifu suala la kuimarisha ushirikiano wake na Indonesia katika nyuga mbalimbali kama vile uchumi, siasa na masuala ya sayansi.
-
Kunufaika Magharibi kwa kujitolea mhanga Iran katika vita dhidi ya madawa ya kulevya
Feb 28, 2017 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Magharibi inapaswa ikubali kuwajibika na kugharamika zaidi kutokana na usalama inaopata kutokana na vita vinavyoendeshwa na Iran dhidi ya magendo ya madawa ya kulevya.
-
Rahmani Fazli: Vita dhidi ya mihadarati vinahitajia ushirikiano wa kieneo na kimataifa
Feb 27, 2017 11:06Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa mapambano dhidi ya madawa ya kulevya yanahitajia ushirikiano wa kieneo na kimataifa.
-
Iran yarusha kwa mafanikio kombora jipya zaidi la baharini la Cruz
Feb 27, 2017 10:45Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa kombora jipya zaidi la baharini la Iran kwa jina la "Nassir" limefanyiwa majaribio kwa mafanikio katika maneva ya jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mkutano wa kimataifa wa kupambana na madawa ya kulevya waanza mjini Tehran
Feb 27, 2017 04:16Mkutano wa kimataifa wa kupambana na madawa ya kulevya umeanza kufanyika hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na shakhsia mbalimbali wa ndani na wa kimataifa.
-
Ayatullah Javadi Amoli: Marekani itasambaratika kama ulivyosambaratika Umoja wa Kisovieti
Feb 27, 2017 04:13Ayatullah Abdullah Javadi Amoli, mwanazuoni mkubwa na Marjaa Taqlidi wa mjini Qum Iran amesema kuwa, Marekani itasambaratika kama ulivyosambaratika Umoja wa Kisovieti.
-
Ulimwengu wa Spoti, Februari 27
Feb 27, 2017 03:53Tutakupasha kuhusu fainali ya Kombe la Roll Ball; Kisa cha Simba kummeza Yanga; Na Man U yatwaa Kombe la EPL na kuwa klabu yenye ufanisi zaidi Uingereza, mahala pale Liverpool.......
-
Filamu ya Forushande yashinda tuzo ya Oscar
Feb 27, 2017 01:19Filamu ya Forushande (The Salesman) iliyotengenezwa na Asghar Farhadi imeshinda tuzo ya Oscar katika kitengo cha filamu za kigeni kwenye Academia ya Filamu ya Marekani.