-
Ijumaa Oktoba 7, 2016.
Oct 07, 2016 00:50Leo ni Ijumaa tarehe 5 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 7, 2016.
-
Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran
Oct 06, 2016 04:15Mmoja wa viongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa harakati hiyo ina hamu ya kuimarisha uhusiano kati yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran na Vietnam zimesaini hati mbili za ushirikiano
Oct 06, 2016 04:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Vietnam zimesaini hati mbili za ushirikiano ili kurahisisha mawasiliano kati ya nchi mbili hizi.
-
Jeshi la Iran lazionya meli za Saudia zisikaribie maji yake
Oct 06, 2016 01:11Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC limetoa onyo kali kwa manowari za Saudi Arabia zinazofanya mazoezi ya kijeshi katika Ghuba ya Uajemi, Ghuba ya Oman na Lango Bahari la Hormuz, dhidi ya kukaribia maji ya nchi hii.
-
Rais Rouhani awasili ziarani Vietnam
Oct 05, 2016 11:35Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Hanoi mji mkuu wa Vietnam kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo.
-
Iran yazitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kujinufaisha
Oct 05, 2016 11:21Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kufikia malengo na maslahi yao ya kibinafsi.
-
Dakta Zarif: Iran inakaribisha kustawisha ushirikiano na nchi za Kiafrika
Oct 05, 2016 04:31Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha kustawisha zaidi ushirikiano wake na nchi za Kiafrika ikiwemo Sierra Leone.
-
Kiongozi Muadhamu: Usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu
Oct 04, 2016 11:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu.
-
Iran: Ugaidi umezuia kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu
Oct 04, 2016 04:43Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema ugaidi na misimamo mikali ya kufurutu ada vimekuwa kizingiti kikuu katika kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs.
-
Iran yawapongeza wanamapambano wa Palestina
Oct 03, 2016 04:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza wanamapambano wa Palestina, wananchi na makundi yote ya taifa hilo kwa muqawama na kusimama kwao kidete kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.