Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ijumaa Oktoba 7, 2016.

    Ijumaa Oktoba 7, 2016.

    Oct 07, 2016 00:50

    Leo ni Ijumaa tarehe 5 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 7, 2016.

  • Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran

    Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran

    Oct 06, 2016 04:15

    Mmoja wa viongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa harakati hiyo ina hamu ya kuimarisha uhusiano kati yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran na Vietnam zimesaini hati mbili za ushirikiano

    Iran na Vietnam zimesaini hati mbili za ushirikiano

    Oct 06, 2016 04:12

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Vietnam zimesaini hati mbili za ushirikiano ili kurahisisha mawasiliano kati ya nchi mbili hizi.

  • Jeshi la Iran lazionya meli za Saudia zisikaribie maji yake

    Jeshi la Iran lazionya meli za Saudia zisikaribie maji yake

    Oct 06, 2016 01:11

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC limetoa onyo kali kwa manowari za Saudi Arabia zinazofanya mazoezi ya kijeshi katika Ghuba ya Uajemi, Ghuba ya Oman na Lango Bahari la Hormuz, dhidi ya kukaribia maji ya nchi hii.

  • Rais Rouhani awasili ziarani Vietnam

    Rais Rouhani awasili ziarani Vietnam

    Oct 05, 2016 11:35

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Hanoi mji mkuu wa Vietnam kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo.

  • Iran yazitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kujinufaisha

    Iran yazitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kujinufaisha

    Oct 05, 2016 11:21

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kufikia malengo na maslahi yao ya kibinafsi.

  • Dakta Zarif: Iran inakaribisha kustawisha ushirikiano na nchi za Kiafrika

    Dakta Zarif: Iran inakaribisha kustawisha ushirikiano na nchi za Kiafrika

    Oct 05, 2016 04:31

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha kustawisha zaidi ushirikiano wake na nchi za Kiafrika ikiwemo Sierra Leone.

  • Kiongozi Muadhamu: Usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu: Usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu

    Oct 04, 2016 11:37

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu.

  • Iran: Ugaidi umezuia kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu

    Iran: Ugaidi umezuia kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu

    Oct 04, 2016 04:43

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema ugaidi na misimamo mikali ya kufurutu ada vimekuwa kizingiti kikuu katika kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs.

  • Iran yawapongeza wanamapambano wa Palestina

    Iran yawapongeza wanamapambano wa Palestina

    Oct 03, 2016 04:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza wanamapambano wa Palestina, wananchi na makundi yote ya taifa hilo kwa muqawama na kusimama kwao kidete kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS