Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Amir Abdollahian: Walimwengu wanashuhudia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Amir Abdollahian: Walimwengu wanashuhudia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Oct 22, 2023 11:30

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mkutano wake na waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini kwamba: Hii leo dunia inashuhudia jinai zinazofanywa na utawala wa kibaguzi na muuaji wa watoto wachanga dhidi ya watu wa Gaza.

  • Iran na Tunisia zafanya mazungumzo ya namna ya kuwasaidia wananchi wa Ghaza

    Iran na Tunisia zafanya mazungumzo ya namna ya kuwasaidia wananchi wa Ghaza

    Oct 19, 2023 02:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Tunisia mjini Jeddah, Saudi Arabia na pande mbili zimejadiliana njia za kuwasaidia wananchi wa Ghaza na kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Kiongozi Muadhamu aonana na Sheikh Zakzaky, asema Palestina ni dhihirisho la nguvu za Uislamu

    Kiongozi Muadhamu aonana na Sheikh Zakzaky, asema Palestina ni dhihirisho la nguvu za Uislamu

    Oct 14, 2023 10:30

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kusisitiza kuwa, Palestina na Ghaza ni dhihirisho la nguvu za Uislamu.

  • Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO

    Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO

    Oct 12, 2023 10:08

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alivyolakiwa na umati mkubwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)

  • Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO

    Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO

    Oct 12, 2023 10:05

    Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano na kulakiwa umati mkubwa wa wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)

  • Iran na Sudan kufungua tena balozi zao baada ya kukamilisha mchakato wa kuhuisha uhusiano

    Iran na Sudan kufungua tena balozi zao baada ya kukamilisha mchakato wa kuhuisha uhusiano

    Oct 10, 2023 03:34

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, karibuni hivi Iran na Sudan zitafungua tena balozi zao baada ya nchi hizo mbili kukamilisha mchakato wa kurejesha uhusiano wa kidipolmasia.

  • Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania

    Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania

    Sep 30, 2023 04:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuimarisha uhusiano na maelewano ya pande mbili kati yake na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • Ghalibaf: Nchi za Afrika kwa Iran ni muhimu sana kama ilivyo kundi la BRICS

    Ghalibaf: Nchi za Afrika kwa Iran ni muhimu sana kama ilivyo kundi la BRICS

    Sep 28, 2023 11:54

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema katika mazungumzo na wanaharakati na wabunge wa Afrika Kusini kwamba, Tehran inaamini kuwa, umuhimu wa nchi za Afrika hususan Afrika Kusini ni mkuubwa na ni sawa na umuhimu wa kundi la BRICS, kwa Iran. 

  • Iran na Djibouti zakubaliana kufufua uhusiano wa kidiplomasia

    Iran na Djibouti zakubaliana kufufua uhusiano wa kidiplomasia

    Sep 23, 2023 00:38

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Djibouti wameafikiana juu ya kuhuisha uhusiano wa kidiplomasia wa Tehran na Asmara, kwa maslahi ya mataifa haya mawili.

  • Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya

    Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya

    Sep 17, 2023 01:09

    Mkuu wa Shirika la Hlilali Nyekundu la Iran (IRCS) amesema jumuiya hiyo imetuma tani 40 za misaada ya dharura nchini Libya, kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS