Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO
https://parstoday.ir/sw/news/iran-i103396-jinsi_sheikh_zakzaky_alivyopokewa_iran_video
Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano na kulakiwa umati mkubwa wa wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Oct 12, 2023 13:35 UTC

Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano na kulakiwa umati mkubwa wa wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)