Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO
(last modified Thu, 12 Oct 2023 13:38:38 GMT )
Oct 12, 2023 13:38 UTC

Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alivyolakiwa na umati mkubwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)