Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO
https://parstoday.ir/sw/news/iran-i103398-mapokezi_makubwa_ya_sheikh_ibrahim_zakzaky_nchini_iran_video
Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alivyolakiwa na umati mkubwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Oct 12, 2023 13:38 UTC

Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alivyolakiwa na umati mkubwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)