-
Jamii iliyojawa na hofu ya Israeli; Mivutano ya ndani na vitisho kutoka nje
Aug 28, 2024 08:14Jamii ya utawala wa Kizayuni wa Israel iko katika hali mbaya zaidi siku hizi.
-
Sisitizo la Pentagon la uungaji mkono kamili wa Marekani kwa Israel; ruhusa kwa ajili ya jinai zaidi
Aug 28, 2024 01:04Katika muendelezo wa uungaji mkono wa maafisa wa Ikulu ya White House kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesisitiza azma ya Washington ya kuendelea kuuunga mkono utawala huo.
-
Pezeshkian: Waislamu lazima waungane kukomesha jinai za Israel
Aug 26, 2024 23:05Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuna haja kwa mataifa ya Waislamu pamoja na nchi nyingine duniani kuungana na kuwa na sauti moja katika kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake kukomesha mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
-
CAIR: Israel imetangaza vita dhidi ya Uislamu kwa kuchoma moto Qur'ani
Aug 25, 2024 23:00Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limelaani vikali kitendo cha wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuchoma moto nakali za Qur'ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza.
-
Wanaharakati waitaka Afrika Kusini iiwekee Israel vikwazo vya biashara
Aug 25, 2024 22:59Wanaharakati wameitaka Afrika Kusini iuwekee utawala wa Kizayuni wa Israel vikwazo vya kibiashara na kusimamisha mara moja mauzo ya nje ya bidhaa zake kwa utawala huo pandikizi.
-
Hizbullah yakitwanga makombora kituo cha anga cha Israel, yateketeza mitambo ya ujasusi
Aug 23, 2024 23:05Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekishambulia kwa makombora kadhaa kituo cha uongozaji wa shughuli za anga cha Meron cha utawala wa Kizayuni wa Israel na kubomoa mitambo ya ujasusi ya kituo hicho.
-
Ombi la Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Mediterranean la kuwekewa vikwazo Israel
Aug 22, 2024 07:16Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Ulaya na Mediterania (The Euro-Mediterranean Human Rights Monitor-Euro-Med-) limeonya katika taarifa yake siku ya Jumatano kuhusu amri za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuwataka Wapalestina wahame katika maeneo tofauti ya Gaza na kuzitaka nchi za dunia ziuwekee vikwazo utawala huo ghasibu na zisiuunge mkono.
-
Iran: Mbinu na muda wa jibu letu vitaishangaza mno Israel
Aug 21, 2024 04:23Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imesema Jamhuri ya Kiislamu inapanga kwa makini muda na mbinu ya kulipiza kisasi cha mauaji ya kigaidi ya aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Wapalestina (HAMAS), Ismail Haniyah akiwa hapa Tehran.
-
Mchambuzi: Nasrullah amedhoofisha uwezo wa kujihami wa Israel
Aug 20, 2024 23:28Mtafiti mmoja wa Kizayuni amekiri uwezo wa Katibu Mkuu wa Hakarati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah na kusisitiza kuwa, kiongozi huyo wa Muqawama wa Lebanon amedhoofisha uwezo wa kuzuia mashambulizi wa utawala wa Kizayuni.
-
Mwakilishi wa Israel atoa wito wa kutenguliwa Umoja wa Mataifa
Aug 20, 2024 23:27Katika taarifa ya kushangaza, balozi wa utawala haramu wa Israel katika Umoja wa Mataifa, Gilad Erdan, ametoa wito wa kuvunjwa kikamilifu Umoja wa Mataifa.