Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Marekani yakiri, Iran imetekeleza JCPOA

    Marekani yakiri, Iran imetekeleza JCPOA

    Jul 19, 2016 03:09

    Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amekiri kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi sasa imetekeleza vipengee vyote vya makubaliano ya nyuklia maaufu kwa kifupi JCPOA.

  • Zarif: Marekani ina utendaji dhaifu katika utekelezaji mapatano ya nyuklia na Iran

    Zarif: Marekani ina utendaji dhaifu katika utekelezaji mapatano ya nyuklia na Iran

    Jul 18, 2016 23:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Marekani imekuwa na utendaji dhaifu katika kufungamana na mapatano ya nyuklia yaliyofikiwa mwezi Julai mwaka jana baina ya Iran na madola sita makubwa duniani ya kundi la 5+1.

  • Iran yasema Marekani haitekelezi ipasavyo JCPOA

    Iran yasema Marekani haitekelezi ipasavyo JCPOA

    Jul 17, 2016 23:51

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa ameikosoa Marekani kwa kushindwa kutekeleza ipasavyo makubaliano ya nyuklia ya Vienna, mwaka mmoja tangu yatiwe saini nchini Austria.

  • Rouhani: Ikilazimu, Iran itarejea katika mpango wa awali wa nyuklia

    Rouhani: Ikilazimu, Iran itarejea katika mpango wa awali wa nyuklia

    Jul 13, 2016 10:51

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuheshimu na kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Vienna, lakini ameonya kuwa Tehran haitasita kutoa jibu iwapo upande wa pili utakosa kutekeleza makubaliano hayo ipasavyo.

  • Marekani itajuta ikikiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Marekani itajuta ikikiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Jul 09, 2016 08:47

    Afisa wa ngazi za juu nchini Iran ameionya vikali Marekani kuwa itajuta iwapo itakiuka mapatano ya nyuklia baina ya Iran na madola sita makubwa duniani.

  • Iran yakosoa Kongresi ya Marekani kuzuia uuzwaji ndege za Boeing

    Iran yakosoa Kongresi ya Marekani kuzuia uuzwaji ndege za Boeing

    Jul 08, 2016 08:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani inapaswa kuondoa matatizo yanayoibuka nchini humo kuhusu utekelezwaji mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango wa Pamoja wa Utekelezwaji JCPOA.

  • Zarif: Uhusiano wa Iran na Ufaransa ni kwa maslahi ya dunia

    Zarif: Uhusiano wa Iran na Ufaransa ni kwa maslahi ya dunia

    Jun 23, 2016 03:37

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesisitiza umuhimu wa kuimarishwa uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Ufaransa na kusema kuwa ushirikiano huo utachangia kuleta amani na uthabiti duniani.

  • Kiongozi: Umma ufahamishwe kuhusu hiana ya Marekani katika mapatano ya nyuklia

    Kiongozi: Umma ufahamishwe kuhusu hiana ya Marekani katika mapatano ya nyuklia

    Jun 21, 2016 02:56

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa umma unapaswa kufahamishwa kuhusu hiana inayofanywa na Marekani katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Watakaokiuka mapatano ya nyuklia ya Iran watajuta

    Watakaokiuka mapatano ya nyuklia ya Iran watajuta

    Jun 19, 2016 10:13

    Wabunge wa Iran leo wameonya kuwa watakaokiuka mapatano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Iran na madola sita makubwa duniani watajuta.

  • Iran: Kundi la 5+1 lazima litekeleza makubaliano ya Vienna

    Iran: Kundi la 5+1 lazima litekeleza makubaliano ya Vienna

    Jun 18, 2016 03:37

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelitaka kundi la 5+1 kutekeleza barabara makubaliano ya nyuklia kati ya Tehran na madola 6 yenye nguvu duniani yaliyofikiwa huko Vienna Julai mwaka jana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS