Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jela

  • Hania: Ahadi ya kukombolewa mateka wote wa Palestina itatimia karibuni hivi

    Hania: Ahadi ya kukombolewa mateka wote wa Palestina itatimia karibuni hivi

    Apr 21, 2017 23:14

    Naibu Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, ahadi ya kukombolewa mateka wote wa Palestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel itatimia hivi karibuni.

  • Mwanachuoni kipofu wa Misri afia gerezani nchini Marekani

    Mwanachuoni kipofu wa Misri afia gerezani nchini Marekani

    Feb 19, 2017 01:15

    Sheikh Omar Abdu Rahman, mwanachuoni mashuhuri asiye na uwezo wa kuona mzaliwa wa Misri amefariki dunia akiwa gerezani nchini Marekani.

  • Watatu wauawa, 26 wajeruhiwa katika mapigano ndani ya jela nchini Afrika Kusini

    Watatu wauawa, 26 wajeruhiwa katika mapigano ndani ya jela nchini Afrika Kusini

    Dec 27, 2016 04:25

    Watu watatu wameuawa na wengine 26 wamejeruhiwa katika mapigano yaliyotokea kati ya wafungwa na walinzi wa jela ya St. Albans katika bandari ya Elizabeth mkoani Cape ya Mashariki nchini Afrika Kusini.

  • Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa

    Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa

    Nov 23, 2016 04:38

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kupambana na maambukizi ya virusi vya HIV nchini Malawi zimekosoa vikali hukumu ya kufungwa miaka miwili jela, iliyotolewa na mahakama moja nchini humo, dhidi ya mwathirika wa virusi vya HIV aliyewanajisi mabinti wadogo zaidi 100 kwa madai ya kuwasafisha na kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.

  • Rais el-Sisi atoa msamaha kwa wafungwa vijana 82 nchini Misri

    Rais el-Sisi atoa msamaha kwa wafungwa vijana 82 nchini Misri

    Nov 18, 2016 11:22

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ametoa msamaha kwa wafungwa vijana 82 waliokuwa wakitumikia vifungo vyao jela.

  • Wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa Bahrain waivunjia heshima Qur'ani Tukufu

    Wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa Bahrain waivunjia heshima Qur'ani Tukufu

    Nov 18, 2016 10:53

    Wanajeshi wa utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain, wamekivunjia heshima Kitabu cha Mwenyezi Mungu, kwa kukichanachana.

  • Algeria yahimiza  kuachiwa huru raia wake wote walioko jela Guantanamo

    Algeria yahimiza kuachiwa huru raia wake wote walioko jela Guantanamo

    Aug 22, 2016 23:38

    Waziri wa Sheria wa Algeria amesisitiza juu ya udhaura wa kuachiwa huru raia wote wa nchi hiyo waliofungwa katika jela ya Guantanamo nchini Cuba.

  • Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati

    Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati

    Aug 16, 2016 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imewahamisha wafungwa 15 wa jela ya kutisha ya Guantanamo na kuwapeleka katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ukiwa ni uhamisho mkubwa zaidi wa wafungwa hao kufanywa na utawala wa Rais Barack Obama wa Marekani.

  • Askari wa AU nchini Somalia wafungwa jela kwa kufanya ulaghai

    Askari wa AU nchini Somalia wafungwa jela kwa kufanya ulaghai

    Aug 16, 2016 23:27

    Askari tisa wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM wamehukumiwa vifungo jela kwa kuendesha biashara ya ulaghai ya mafuta katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Amnesty yaitaka Israel imuachie huru Mpalestina aliyesusia chakula

    Amnesty yaitaka Israel imuachie huru Mpalestina aliyesusia chakula

    Aug 12, 2016 23:20

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutaka utawala haramu wa Israel umuachie huru mfungwa wa Kipalestina Bilal Kayed ambaye amekuwa katika mgomo wa chakula kwa miezi miwili sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS