Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Rais William Ruto ameiomba Mahakama ya Milimani kutupilia mbali kesi za Gachagua

    Rais William Ruto ameiomba Mahakama ya Milimani kutupilia mbali kesi za Gachagua

    Oct 22, 2024 11:55

    Rais William Ruto wa Kenya ameiomba Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi kadhaa za kupinga kuondolewa madarakani Rigathi Gachagua kama Naibu Rais, akisema kuwa masuala yaliyoibuliwa katika kesi hizo yametengewa Mahakama ya Juu pekee.

  • Naibu Rais wa Kenya aliyetimuliwa adai kulikuwa na njama ya kutaka kumuuwa

    Naibu Rais wa Kenya aliyetimuliwa adai kulikuwa na njama ya kutaka kumuuwa

    Oct 20, 2024 23:19

    Naibu Rais wa Kenya aliyetimuliwa, Rigathi Gachagua amedai kujiri majaribio mawili yaliyofeli ya kutaka kumuua mwezi Agosti na Septemba mwaka huu.

  • Mahakama Kuu Kenya yasimamisha uamuzi wa Bunge wa kumuidhinisha Kindiki kuwa Naibu Rais

    Mahakama Kuu Kenya yasimamisha uamuzi wa Bunge wa kumuidhinisha Kindiki kuwa Naibu Rais

    Oct 18, 2024 10:23

    Mahakama Kuu nchini Kenya leo imetoa amri ya muda ya kusimamisha kubadilishwa kwa Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua.

  • Wizara ya Mazingira Kenya kuwafurusha waishio pembezoni mwa mito

    Wizara ya Mazingira Kenya kuwafurusha waishio pembezoni mwa mito

    Oct 16, 2024 23:24

    Waziri wa mazingira na maliasili wa Kenya, Aden Duale amesema kuwa serikali itaendeleza mpango wake wa kuwahamisha watu wanaoishi kando kando ya mito nchini humo.

  • Bunge la Kenya lamtimua Naibu Rais, Rigathi Gachagua

    Bunge la Kenya lamtimua Naibu Rais, Rigathi Gachagua

    Oct 09, 2024 00:13

    Bunge la Kitaifa la Kenya limepasisha kwa wingi wa kura hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua.

  • Wachimba dhahabu Kenya wapoteza maisha baada ya mgodi kuporomoka

    Wachimba dhahabu Kenya wapoteza maisha baada ya mgodi kuporomoka

    Sep 16, 2024 23:34

    Watu wasiopungua tisa wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa wakati mgodi usio rasmi wa dhahabu ulipoporomoka na kuwaangukia wachimba dhahabu hao huko kaskazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Ethiopia.

  • Kaimu Mkuu wa Polisi nchini Kenya ahukumiwa kifungo cha miezi sita jela

    Kaimu Mkuu wa Polisi nchini Kenya ahukumiwa kifungo cha miezi sita jela

    Sep 14, 2024 00:58

    Kaimu Mkuu wa Polisi nchini Kenya Ijumaa ya jana alihukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kukaidi mara kwa mara amri ya kutoa ushahidi kuhusu mahali walipo watu watatu ambao wametoweka baada ya kudaiwa kukamatwa na maafisa wa polisi.

  • Mshukiwa wa mauaji ya makumi ya wanawake Kenya atoroka gerezani

    Mshukiwa wa mauaji ya makumi ya wanawake Kenya atoroka gerezani

    Aug 20, 2024 08:31

    Raia wa Kenya aliyekiri kuhusika na mauaji ya wanawake 42 ambao baadhi yao miili yao ilipatikana imetupwa katika eneo la kutupa taka jijini Nairobi, ametoroka gerezani.

  • Rais Ruto wa Kenya ateuwa wapinzani katika safu ya baraza lake la mawaziri

    Rais Ruto wa Kenya ateuwa wapinzani katika safu ya baraza lake la mawaziri

    Jul 24, 2024 09:23

    Rais William Ruto wa Kenya amewateuwa katika baraza lakek jipya la mawaziri shakhsia wa upinzani huku akiwarejesha nyadhifani mawaziri kadhaa aliokuwa amewafuta kazi.

  • Ruto: Watu wasiofahamika wanaoibua ghasia wanatishia demokrasia ya Kenya

    Ruto: Watu wasiofahamika wanaoibua ghasia wanatishia demokrasia ya Kenya

    Jul 21, 2024 23:01

    Rais William Ruto wa Kenya amewatuhumu watu wasiojulikana wanaoibua machafuko kuwa wanatishia demkrasia ya nchi hiyo kufuatia maandamano yanayoikumba nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS