Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Mahakama Kenya yailaumu polisi kwa kifo cha mwandishi habari wa Pakistan

    Mahakama Kenya yailaumu polisi kwa kifo cha mwandishi habari wa Pakistan

    Jul 09, 2024 07:42

    Mahakama nchini Kenya jana ilitoa uamuzi ikisema kuwa kitendo cha polisi wa nchi hiyo cha kumpiga risasi mwandishi wa habari wa Pakistan mjini Nairobi mwaka 2022 kilikuwa kinyume cha sheria na kinyume na katiba.

  • Ruto achukua hatua za kubana matumizi kufuatia maandamano ya vijana

    Ruto achukua hatua za kubana matumizi kufuatia maandamano ya vijana

    Jul 06, 2024 02:39

    Katika hatua za kubana matumizi, Rais William Ruto wa Kenya ametangaza kwamba atapunguza idadi ya washauri wa serikali kwa asilimia 50, huku watumishi wa umma waliofikisha umri wa kustaafu (miaka 60) wakitakiwa kuondoka kazini mara moja.

  • Rais Ruto aagiza kutazamwa upya nyongeza ya mishahara ya serikali

    Rais Ruto aagiza kutazamwa upya nyongeza ya mishahara ya serikali

    Jul 04, 2024 06:37

    Mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kwa maafisa wa Serikali na wawakilishi wa Bunge la Kenya hayatatekelezwa baada ya Rais William Ruto wa nchi hiyo kuagiza kuangaliwa upya kwa mipango hiyo kufuatia malalamiko ya umma.

  • Maandamano ya vijana Kenya yaendelea, waandamanaji wamtaka Rais Ruto aondoke madarakani

    Maandamano ya vijana Kenya yaendelea, waandamanaji wamtaka Rais Ruto aondoke madarakani

    Jul 02, 2024 14:53

    Vijana wa Kenya, wengi wao wakiwa Generation Z, wamerejea barabarani katika maandamano yaliyopewa jina la #OccupyEverywhere dhidi ya utawala wa Rais William Ruto.

  • UN: Tumeshtushwa na mauaji dhidi ya waandamanaji Kenya

    UN: Tumeshtushwa na mauaji dhidi ya waandamanaji Kenya

    Jun 28, 2024 03:20

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na maandamano ya ghasia ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 nchini Kenya, yaliyopelekea makumi ya watu kuuawa.

  • Waandamanaji Kenya wamtaka Rais Ruto ajiuzulu licha ya kuurejesha muswada wa fedha bungeni

    Waandamanaji Kenya wamtaka Rais Ruto ajiuzulu licha ya kuurejesha muswada wa fedha bungeni

    Jun 27, 2024 12:42

    Waandamanaji Kenya wanamtaka Rais wa nchi hiyo William Ruto ajiuzulu licha ya uamuzi wake wa kuuondoa muswada tata wa fedha wa 2024 uliokuwa umedhamiria kuongeza ushuru ili kusaidia kupunguza mzigo wa madeni nchini humo.

  • Maandamano ya vijana yamlazimisha Ruto kuweka kando Muswada wa Fedha 2024

    Maandamano ya vijana yamlazimisha Ruto kuweka kando Muswada wa Fedha 2024

    Jun 26, 2024 15:05

    Rais William Ruto wa Kenya amesema kwamba hatatia saini Muswada wa Fedha 2024 kuwa sheria. Ni baada ya maandamano makubwa ya siku kadhaa yaliyofuatiwa na mauaji ya waandamanaji mjini Nairobi jumanne ya jana.

  • Watu 10 wameuawa Nairobi wakati polisi ilipowafyatulia risasi waandamanaji waliovamia bunge

    Watu 10 wameuawa Nairobi wakati polisi ilipowafyatulia risasi waandamanaji waliovamia bunge

    Jun 26, 2024 02:51

    Watu 10 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa jana Jumanne wakati polisi walipowafyatulia risasi mamia ya waandamanaji waliovamia majengo ya bunge jijini Nairobi, mji mkuu wa Kenya, kupinga sheria ya iliyopitishwa na wabunge ya kuongeza ushuru.

  • Mamia ya askari polisi wa Kenya watumwa Haiti licha ya ukosoaji

    Mamia ya askari polisi wa Kenya watumwa Haiti licha ya ukosoaji

    Jun 25, 2024 10:42

    Askari polisi 400 wa Kenya wameelekea nchini Haiti leo Jumanne kwa ajili ya kwenda kulinda usalama na kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Caribbean.

  • Kenya yaruhusu kufanyika maandamano kwa masharti

    Kenya yaruhusu kufanyika maandamano kwa masharti

    Jun 25, 2024 07:44

    Kithure Kindiki Waziri wa Usalama wa Ndani wa Kenya amewataka vijana wanaoandamana kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 kuimarisha amani na usalama, kutobeba aina yoyote ya silaha kutakiwa kuondoka katika maeneo ya mikusanyiko ifikapo saa kumi na mbili jioni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS