-
Waziri Mkuu wa Italia achunguzwa kwa kumuachia huru mshukiwa wa ICC
Jan 29, 2025 10:30Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amewekwa chini ya uchunguzi wa mahakama kufuatia uamuzi wa serikali yake wa kumwachilia huru afisa wa polisi wa Libya anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.
-
OPEC: Mchango wa nishati ya Libya ni muhimu kwa masoko ya kimataifa
Jan 20, 2025 11:10Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi Zinazouza Nje Mafuta kwa Wingi (OPEC) amezungumzia nafasi muhimu ya Libya katika soko la nishati duniani, na kusisitiza kuwa maendeleo nchini humo yana mfungamano muhimu na sekta ya kimataifa ya mafuta.
-
Jumanne, 24 Disemba, 2024
Dec 24, 2024 02:46Leo ni Jumanne tarehe 22 Mfunguo Tisa Jamadithani 1446 Hijria mwafaka na tarehe 24 Disemba 2024.
-
Libya yataka kufutwa uanachama wa utawala wa Israel katika Umoja wa Mataifa
Dec 03, 2024 12:15Libya imetaka kufutwa uanachama wa utawala wa Kizayuni katika Umoja wa Mataifa na kuhuishwa sura ya saba ya Hati ya Baraza la Usalama dhidi ya utawala huo unaotekeleza mauaji ya kimbari.
-
UN: Milipuko ya mabomu ya kutegwa ardhini imeuwa watu 16 Libya tangu kuanza mwaka huu
Nov 06, 2024 02:18Watu 16 wakiwemo watoto wadogo wamepoteza maisha huko Libya tangu kuanza mwaka huu wa 2024 kufuatia milipuko ya mabomu ya kutegwa ardhini na masalia ya zana za vita ambazo hazikulipuka.
-
Mvua kubwa yauwa watu 2 na kujeruhi 40 katika mji wa Sabha, Libya
Sep 16, 2024 02:33Takriban watu wawili wamepoteza maisha na wengine 40 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha katika mji wa Sabha, kusini mwa Libya jana Jumapili.
-
Jumapili, Mosi Septemba, 2024
Sep 01, 2024 02:19Leo ni Jumapili 27 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria mwafaka na Septemba Mosi 2024 Miiladia.
-
Saddam Haftar ateuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Libya
Jun 17, 2024 03:22Saddam Haftar mtoto wa Khalifa Haftar mbabe wa kivita nchini Liibya ameteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la nchi hiyo.
-
Ethiopia yapitisha muswada unaoruhusu harakati iliyopigwa marufuku ya TPLF kuwa chama cha siasa
Jun 05, 2024 07:08Bunge la Ethiopia limefanya mabadiliko makubwa ya kisiasa kwa kupitisha muswada wa sheria unaoruhusu Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF), ambayo hapo awali ilipigwa marufuku kwa kuendesha vita dhidi ya serikali ya shirikisho, kujiandikisha upya katika Bodi ya Taifa ya Uchaguzi ya Ethiopia (NEBE) ili kuwa chama cha siasa.
-
Umeme wazimwa, viwanja vya ndege vyafungwa Nigeria baada ya wafanyakazi kugoma
Jun 04, 2024 07:16Shughuli muhimu zimesita nchini Ngeria baada ya umeme kukatika na viwanja vya ndege vikubwa kufungwa, kufuatia hatua ya vyama vikubwa zaidi vya wafanyakazi kuanzisha mgomo wa kudai nyongeza ya mishahara kutokana na ughali mkubwa wa maisha kuwahi kushuhudiwa nchini humo kwa miongo kadhaa.