Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Libya yataka kufutwa uanachama wa utawala wa Israel katika Umoja wa Mataifa

    Libya yataka kufutwa uanachama wa utawala wa Israel katika Umoja wa Mataifa

    Dec 03, 2024 12:15

    Libya imetaka kufutwa uanachama wa utawala wa Kizayuni katika Umoja wa Mataifa na kuhuishwa sura ya saba ya Hati ya Baraza la Usalama dhidi ya utawala huo unaotekeleza mauaji ya kimbari.

  • UN: Milipuko ya mabomu ya kutegwa ardhini imeuwa watu 16 Libya tangu kuanza mwaka huu

    UN: Milipuko ya mabomu ya kutegwa ardhini imeuwa watu 16 Libya tangu kuanza mwaka huu

    Nov 06, 2024 02:18

    Watu 16 wakiwemo watoto wadogo wamepoteza maisha huko Libya tangu kuanza mwaka huu wa 2024 kufuatia milipuko ya mabomu ya kutegwa ardhini na masalia ya zana za vita ambazo hazikulipuka.

  • Mvua kubwa yauwa watu 2 na kujeruhi 40 katika mji wa Sabha, Libya

    Mvua kubwa yauwa watu 2 na kujeruhi 40 katika mji wa Sabha, Libya

    Sep 16, 2024 02:33

    Takriban watu wawili wamepoteza maisha na wengine 40 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha katika mji wa Sabha, kusini mwa Libya jana Jumapili.

  • Jumapili, Mosi Septemba, 2024

    Jumapili, Mosi Septemba, 2024

    Sep 01, 2024 02:19

    Leo ni Jumapili 27 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria mwafaka na Septemba Mosi 2024 Miiladia.

  • Saddam Haftar ateuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Libya

    Saddam Haftar ateuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Libya

    Jun 17, 2024 03:22

    Saddam Haftar mtoto wa Khalifa Haftar mbabe wa kivita nchini Liibya ameteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la nchi hiyo.

  • Ethiopia yapitisha muswada unaoruhusu harakati iliyopigwa marufuku ya TPLF kuwa chama cha siasa

    Ethiopia yapitisha muswada unaoruhusu harakati iliyopigwa marufuku ya TPLF kuwa chama cha siasa

    Jun 05, 2024 07:08

    Bunge la Ethiopia limefanya mabadiliko makubwa ya kisiasa kwa kupitisha muswada wa sheria unaoruhusu Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF), ambayo hapo awali ilipigwa marufuku kwa kuendesha vita dhidi ya serikali ya shirikisho, kujiandikisha upya katika Bodi ya Taifa ya Uchaguzi ya Ethiopia (NEBE) ili kuwa chama cha siasa.

  • Umeme wazimwa, viwanja vya ndege vyafungwa Nigeria baada ya wafanyakazi kugoma

    Umeme wazimwa, viwanja vya ndege vyafungwa Nigeria baada ya wafanyakazi kugoma

    Jun 04, 2024 07:16

    Shughuli muhimu zimesita nchini Ngeria baada ya umeme kukatika na viwanja vya ndege vikubwa kufungwa, kufuatia hatua ya vyama vikubwa zaidi vya wafanyakazi kuanzisha mgomo wa kudai nyongeza ya mishahara kutokana na ughali mkubwa wa maisha kuwahi kushuhudiwa nchini humo kwa miongo kadhaa.

  • Libya yajiunga kwenye kesi ya nchi kadhaa dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Libya yajiunga kwenye kesi ya nchi kadhaa dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Jun 01, 2024 07:49

    Mwakilishi wa Libya katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) amesema kuwa; mahakama hiyo Umoja wa Mataifa (UN) imekubali ombi la Tripoli la kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Maiti 65 za wahajiri zagunduliwa katika kaburi la umati Libya

    Maiti 65 za wahajiri zagunduliwa katika kaburi la umati Libya

    Mar 23, 2024 07:50

    Maafisa wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) wameripoti kuwa wamegundua miili ya watu 65 iliyokuwa imezikwa kwenye kaburi la umati nchini Libya.

  • Makubaliano ya viongozi wa Libya ya kuunda serikali moja mpya

    Makubaliano ya viongozi wa Libya ya kuunda serikali moja mpya

    Mar 13, 2024 07:38

    Kuendelea mgogoro nchini Libya na kuwa vigumu suala la kufanyika uchaguzi nchini humo hatimaye kumepelekea viongozi wa Libya kukubaliana kuunda serikali moja ambayo itakuwa na jukumu la kusimamia uchaguzi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS