Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Magaidi wa Daesh watumia mapigano mapya Libya kuendeleza ukatili

    Magaidi wa Daesh watumia mapigano mapya Libya kuendeleza ukatili

    Apr 10, 2019 02:26

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) limetumia ombwe lililosababishwa na mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya, kuanzisha wimbi jipya la mauaji nchini humo.

  • Naibu Waziri Mkuu wa Libya ajiuzulu ili kuonyesha uungaji mkono kwa Jenerali Haftar

    Naibu Waziri Mkuu wa Libya ajiuzulu ili kuonyesha uungaji mkono kwa Jenerali Haftar

    Apr 08, 2019 16:24

    Naibu Waziri Mkuu wa Libya Ali al-Qatraani, amejiuzulu wadhifa wake na kuunga mkono kusonga mbele kuelekea mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, vikosi vinavyojiita Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.

  • Idadi ya waliouawa katika mapigano Libya yafikia watu 32

    Idadi ya waliouawa katika mapigano Libya yafikia watu 32

    Apr 08, 2019 07:58

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya imeongezeka na kufikia watu 32.

  • Watu 21 wauawa katika mapigano yanayoendelea nchini Libya

    Watu 21 wauawa katika mapigano yanayoendelea nchini Libya

    Apr 08, 2019 04:31

    Wizara ya Afya ya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza kuwa, watu wasiopungua 21 wameuawa na wengine 27 kujeruhiwa kufuatia mapigano makali yanayoendelea kando kando ya mji mkuu Tripoli.

  • Waziri Mkuu wa Libya: Haftar ametusaliti kwa kuhujumu Tripoli

    Waziri Mkuu wa Libya: Haftar ametusaliti kwa kuhujumu Tripoli

    Apr 07, 2019 15:00

    Waziri Mkuu wa Libya Fayez al-Sarraj, anayeungwa mkono na Umoja wa Mataifa, amemtuhumu hasimu wake, Jenerali Khalifa Haftar kuwa amemsaliti kwa kuanzisha hujuma dhidi ya mji mkuu, Tripoli, jambo ambalo yamkini likaibua vita vya ndani nchini humo.

  • Duru mpya ya mgogoro wa kisiasa na kijeshi nchini Libya

    Duru mpya ya mgogoro wa kisiasa na kijeshi nchini Libya

    Apr 07, 2019 02:17

    Katika hali ambayo, jamii ya kimataifa ilikuwa imeelekeza macho na masikio yake katika mkutano wa "mazungumzo ya kitaifa ya Libya" kwa ajili ya kufikia utatuzi wa kisiasa na kuvuka kipindi cha mgogoro wa sasa, mashambulio ya vikosi vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar na kusonga mbele kuelekea mji mkuu Tripoli, yameitumbukiza nchi hiyo katika kipindi kipya cha mgogoro.

  • Umoja wa Mataifa wamtaka Khalifa Haftar akomeshe mashambulizi dhidi ya Tripoli, Libya

    Umoja wa Mataifa wamtaka Khalifa Haftar akomeshe mashambulizi dhidi ya Tripoli, Libya

    Apr 06, 2019 14:51

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kundi la G7 limtaka Jenerali Khalifa Haftar akomeshe mashambulizi yake dhidi ya mji mkuu wa Libya, Tripoli na kuelezea wasiwasi wao mkubwa kuhusu hali ya nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika.

  • Katibu Mkuu UN asikitishwa na hali ya mambo Libya

    Katibu Mkuu UN asikitishwa na hali ya mambo Libya

    Apr 06, 2019 04:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametembelea Libya na kusema anaondoka nchini humo akiwa na hofu na moyo mzito.

  • Guterres: Kuna haja ya kuunganishwa taasisi za Libya kabla ya uchaguzi

    Guterres: Kuna haja ya kuunganishwa taasisi za Libya kabla ya uchaguzi

    Apr 04, 2019 07:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitembelea Libya siku chache kabla ya kufanyika kongamano la kitaifa la kuandaa mazingira ya kufanyika uchaguzi nchini humo.

  • Wahajiri haramu zaidi ya 100 watiwa mbaroni nchini Libya

    Wahajiri haramu zaidi ya 100 watiwa mbaroni nchini Libya

    Mar 30, 2019 02:19

    Kambi moja ya jeshi la Libya imetangaza kuwa wahajiri haramu zaidi ya 100 wametiwa mbaroni katika mji wa Tobruk mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS