Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wapinzani Guinea Bissau waandamana wakitaka serikali ya Rais Vaz ijiuzulu

    Wapinzani Guinea Bissau waandamana wakitaka serikali ya Rais Vaz ijiuzulu

    Oct 28, 2017 04:32

    Mamia ya wafuasi wa vyama vya upinzani nchini Guinea Bissau wamefanya maandamano katika mji mkuu Bissau kushinikiza kujiuzulu serikali ya Rais Jose Mario Vaz wa nchi hiyo.

  • Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Oct 23, 2017 10:31

    Waislamu nchini Nigeria wameendeleza maandamano wakitaka Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Ghasia zashtadi Uganda, Besigye na Wabunge wa upinzani wakamatwa

    Ghasia zashtadi Uganda, Besigye na Wabunge wa upinzani wakamatwa

    Oct 20, 2017 04:00

    Mtu mmoja ameuawa huku wengine sita wakiachwa na majeraha ya risasi na kulazwa hospitalini katika wilaya ya Rukungiri, kufuatia ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga mpango wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini Uganda.

  • Upinzani Kenya wasimamisha maandamano, Ruto amtaka Odinga ashiriki uchaguzi

    Upinzani Kenya wasimamisha maandamano, Ruto amtaka Odinga ashiriki uchaguzi

    Oct 17, 2017 11:57

    Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA umetangaza kusimamisha maandamano ya kushinikiza marekebisho kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    Oct 16, 2017 04:47

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch na Amnesty International yamesema polisi ya Kenya imeua watu wasiopungua 50 katika maandamano ya upinzani ya kushinikiza mabadiliko kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC, kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • Wapinzani Kenya waendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi

    Wapinzani Kenya waendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi

    Oct 15, 2017 11:32

    Muungano mkuu wa upinzani Kenya, NASA, leo umeendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi IEBC.

  • Mamia waandamana Morocco kutaka kuachiwa huru wanaharakati

    Mamia waandamana Morocco kutaka kuachiwa huru wanaharakati

    Oct 09, 2017 04:43

    Mamia ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji mkuu wa kibiashara wa nchi hiyo Casablanca, kushinikiza kuachiwa huru wanaharati wa nchi hiyo waliokamatwa katika maandamano mengine mwaka mmoja uliopita katika mji mmoja ulioko kaskazini mwa nchi, ambao wakazi wake wanadai kutengwa na kubaguliwa.

  • Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu

    Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu

    Oct 08, 2017 04:20

    Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu utawala wa Kizayuni wameandamana huko Tel Aviv wakitaka kushughulikiwa kesi ya ufisadi inayomkabili Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu.

  • Maelfu ya Watogo waandamana dhidi ya rais wa nchi hiyo

    Maelfu ya Watogo waandamana dhidi ya rais wa nchi hiyo

    Oct 06, 2017 01:11

    Maelfu ya raia wa Togo wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Lome dhidi ya Rais Faure Gnassingbé wa nchi hiyo.

  • Wanawake waandamana Mali kupinga kuwepo majeshi ya kigeni nchini humo

    Wanawake waandamana Mali kupinga kuwepo majeshi ya kigeni nchini humo

    Oct 03, 2017 22:52

    Wanawake wa mji wa Kidal ulioko kaskazini mwa Mali wameandamana kulalamikia na kupinga kuwepo majeshi ya kigeni hususan ya Ufaransa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS