Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

machafuko

  • Salva Kiir awaonya wafanyao fujo Sudan Kusini

    Salva Kiir awaonya wafanyao fujo Sudan Kusini

    Oct 24, 2016 03:59

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewaonya wafanyao fujo na wanaozusha machafuko ya kikabila nchini humo.

  • Kiongozi wa waasi Sudan Kusini aelekea Afrika Kusini

    Kiongozi wa waasi Sudan Kusini aelekea Afrika Kusini

    Oct 12, 2016 15:54

    Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini ambaye alikimbilia Khartoum baada ya mapigano makali yaliyotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba, Julai mwaka huu baina ya wafuasi wake na jeshi la serikali ya Rais Salva Kiir, ameondoka Sudan na kuelekea Afrika Kusini.

  • Mjumbe wa Machar: IGAD inachochea machafuko S/Kusini

    Mjumbe wa Machar: IGAD inachochea machafuko S/Kusini

    Oct 04, 2016 08:06

    Mpambe wa karibu wa Riek Machar, makamu wa zamani wa rais wa Sudan Kusini ameielekezea kidole cha lawala Jumuiya ya Ushirikiano wa Kieneo ya Mashariki mwa Afrika IGAD kutokana na machafuko na mapigano yanayoshudiwa katika nchi hiyo changa zaidi duniani.

  • Sudan Kusini yailaumu Marekani kwa kuendelea kuiwekea vikwazo

    Sudan Kusini yailaumu Marekani kwa kuendelea kuiwekea vikwazo

    Sep 24, 2016 04:49

    Serikali ya Sudan Kusini imeilaumu Marekani kwa siasa zake zisizo sahihi kuhusiana na nchi hiyo na kusema, Juba inahitajia misaada mbalimbali ikiwemo ya silaha na si vikwazo.

  • Assad akosoa waungaji mkono wa makundi ya kigaidi

    Assad akosoa waungaji mkono wa makundi ya kigaidi

    Aug 05, 2016 04:20

    Rais wa Syria amesema kuwa uungaji mkono wa baadhi ya nchi kwa suala la ugaidi ndiyo sababu ya machafuko na kuwepo ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla.

  • Kiir: Nafasi ya Machar ilijazwa na SPLM yenyewe, sio mimi

    Kiir: Nafasi ya Machar ilijazwa na SPLM yenyewe, sio mimi

    Jul 28, 2016 15:31

    Serikali ya Sudan Kusini imepuuzlilia mbali onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu uteuzi wa viongozi wa kisiasa nchini humo na haswa uteuzi wa Makamu wa Rais mpya aliyechukua nafasi ya Riek Machar.

  • 25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jul 28, 2016 15:30

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Machar apuuza makataa ya masaa 48 ya Kiir kumtaka arejee Juba

    Machar apuuza makataa ya masaa 48 ya Kiir kumtaka arejee Juba

    Jul 23, 2016 04:09

    Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar amekataa kuheshimu makataa ya masaa 48 aliyopewa na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo awe amerejea katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba.

  • Maoni: Ukosefu wa usalama umeongezeka Marekani

    Maoni: Ukosefu wa usalama umeongezeka Marekani

    Jun 27, 2016 15:59

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yameonesha kuwa, Wamarekani wengi wanaamini kuwa, nchi hiyo inakabiliwa na ukosefu wa amani mkubwa zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS