-
Kuongezeka kwa mzozo kati ya Russia na Magharibi juu ya Ukraine na upanuzi wa NATO kuelekea Mashariki
Dec 04, 2021 11:06Katika wiki za hivi karibuni, makabiliano kati ya Russia na Magharibi kuhusu Ukraine yamechukua sura mpya, huku pande mbili zikitoa maonyo ya mara kwa mara kuhusu hatua zozote za kijeshi.
-
Israel na Marekani vizuizi vikuu vya kuwepo Mashariki ya Kati isiyo na silaha za maangamizi ya umati
Dec 03, 2021 09:29Fikra ya kuwepo Mashariki ya Kati isiyo na silaha za mauaji ya halaiki ilitolewa miaka kadhaa iliyopita lakini hadi sasa fikra hiyo haijatekelezwa kivitendo.
-
Kamanda wa IRGC: Marekani iondoke karibu na ardhi ya Iran
Dec 03, 2021 01:17Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameitaka Marekani iviondoe vikosi vyake katika maeneo yanayopakana na Jamhuri ya Kiislamu, kabla hawajafikiwa na hatima kama waliyopata huko Afghanistan.
-
Wamarekani wengi wana wasiwasi wa kutokea vita kati ya nchi yao na China
Dec 02, 2021 03:38Uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonyesha kuwa raia wengi wana hofu ya kutokea vita baina ya nchi hiyo na China katika miaka mitano ijayo.
-
Kuunga mkono kundi la 4+1 kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Nov 30, 2021 23:10Sambamba na kuanza duru ya saba ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 huko Vienna Austria, kumeongezeka himaya na uungaji kwa takwa la haki na la kisheria la Iran la kuondolewa vikwazo vya upande mmoja ilivyowekewa kidhalimu na Marekani.
-
Iraq: Tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini haibadilishiki
Nov 27, 2021 23:20Msemaji wa Komandi ya Operesheni za Pamoja ya Iraq amesema kuwa, wakati wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini humo haibadilishiki.
-
Rais Lukashenko: Marekani inataka kuanzisha vita Belarus
Nov 27, 2021 01:07Rais Alexander Lukashenko wa Belarus amesema Marekani inatumia mgogoro wa wakimbizi kutaka kuibua makabiliano baina ya nchi mbili hizo.
-
Marekani yaendeleza njama za umwagaji damu ili kuhakikisha haitimuliwi nchini Iraq
Nov 25, 2021 23:18Makundi ya kisisa nchini Iraq yamesema kuwa, Marekani inaendelea kufanya njama za kuchochea machafuko na umwagaji damu nchini Iraq ili kujiwekea kinga ya kutotimuliwa nchini humo.
-
Indhari ya UN kuhusiana na kushamiri ubaguzi na uenezaji chuki ndani ya jamii ya Marekani
Nov 25, 2021 23:17Fernand de Varennes, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya haki za binadamu za jamii za wachache, ametahadharisha juu ya kuzidi kupanuka ufa wa kukosekana usawa na uenezaji chuki dhidi ya jamii za wachache katika mfumo wa vyombo vya mahakama na vyombo vya habari vya Marekani na kutilia mkazo udharura wa kuanzishwa sheria ya kimataifa ya kukabiliana na uenezaji chuki.
-
Mrithi wa ufalme wa Saudia apendekeza kulinunua shirika la Israel linalojihusisha na ujasusi
Nov 24, 2021 12:31Duru moja katika ofisi ya ufalme wa Saudi Arabia imetangaza kuwa, mrithi wa ufalme wa nchi hiyo Mohammad bin Salman ametoa pendekezo la kulinunua shirika la utawala haramu wa Kizayuni linalojihusisha na ujasusi la NSO ambalo linakaribia kufilisika.