Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mfuko wa Fedha wa Kimataifa

  • Jumatatu, Disemba 27, 2021

    Jumatatu, Disemba 27, 2021

    Dec 27, 2021 02:38

    Leo ni Jumatatu tarehe 22 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1443 Hijria sawa na Disemba 27 mwaka 2021 Milaadia.

  • Taathira za vikwazo vya Marekani kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)

    Taathira za vikwazo vya Marekani kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)

    Oct 22, 2020 12:52

    Gavana wa Benki Kuu ya Iran amesema kuwa, Mfuko wa Fedha Kimataifa (IMF) unapaswa kujibu ombi la Iran la kupewa mkopo kutoka kwenye bajeti ya dharura ya IMF kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi ya corona, na usikubali kuathiiwa na lobi za kisiasa na mashinikizo ya Marekani.

  • IMF kuzisaidia nchi 28 maskini kutokana na athari mbaya za corona, nyingi ni za Afrika

    IMF kuzisaidia nchi 28 maskini kutokana na athari mbaya za corona, nyingi ni za Afrika

    Oct 06, 2020 11:20

    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) umeafiki kutoa msaada wa haraka kwa nchi 28 maskini duniani kwa lengo la kupunguza madeni ya nchi hizo na kukabiliana na athari mbaya za maambukizi ya virusi vya corona.

  • Mfuko wa Fedha wa Kimataifa wataka jamii ya kimataifa iisaidie Lebanon

    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa wataka jamii ya kimataifa iisaidie Lebanon

    Aug 07, 2020 08:14

    Mkurugenzi Mwandamizi wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF jana Alkhamisi alitoa taarifa akiitaka jamii ya kimataifa na nchi rafiki za Lebanon ziisaidie nchi hiyo kupunguza hasara iliyotokana na mlipuko mkubwa uliotokea siku ya Jumanne alasiri katika bandari ya Beirut.

  • IMF yatahadharisha kuhusu athari mbaya za kiuchumi za wimbi la pili la corona

    IMF yatahadharisha kuhusu athari mbaya za kiuchumi za wimbi la pili la corona

    Jul 17, 2020 02:41

    Mkuu wa Mfuko wa Fedha Duniani (IMF) ametahadharisha kuhusu hasara za kiuchumi duniani zitakazosababishwa na wimbi la pili la maambukizi ya virusi vya corona.

  • Tahadhari ya Russia kuhusiana na kuutumia kisiasa mgogoro wa corona

    Tahadhari ya Russia kuhusiana na kuutumia kisiasa mgogoro wa corona

    Apr 17, 2020 04:23

    Katika kipindi hiki cha mgogoro wa mlipuko wa virusi vya corona, Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imeendeleza siasa zake zisizo za kibinadamu dhidi ya nchi hasimu na wapinzani wake, hususn katika kuzidisha vikwazo vya kiuchumi na kuzizuia kupata misaada ya kimataifa. Suala hili limekosolewa sana na madola mengine makubwa duniani.

  • Mtihani wa Corona wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa; kwa maslahi au dhidi ya Iran

    Mtihani wa Corona wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa; kwa maslahi au dhidi ya Iran

    Apr 11, 2020 04:21

    Akijibu hatua za kibaguzi za Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) wakati huu mgumu wa maambukizi ya corona, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mfuko huo unapasa kutekeleza majukumu yake.

  • Janga la corona na indhari ya Mfuko wa Fedha wa Kimataifa kuhusu kudorora uchumi wa dunia

    Janga la corona na indhari ya Mfuko wa Fedha wa Kimataifa kuhusu kudorora uchumi wa dunia

    Mar 29, 2020 07:49

    Kuendelea na kuenea mgogoro uliosababishwa na virusi vya corona katika akthari ya nchi duniani kumeibua wasiwasi mkubwa wa kiuchumi kwa kadiri kwamba katika msimamo wake wa hivi karibuni, Bi Kristalina Giorgieva, Mkuu wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ameelezea uwezekano wa dunia kuingia katika mdororo wa uchumi kutokana na maambukizo ya virusi hivyo.

  • IMF: Licha ya vikwazo, Iran itakuwa na akiba ya zaidi ya dola bilioni 100 mwaka huu

    IMF: Licha ya vikwazo, Iran itakuwa na akiba ya zaidi ya dola bilioni 100 mwaka huu

    May 04, 2019 02:52

    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) umetabiri kuwa, akiba ya fedha za kigeni ya Iran mwaka 2019 itapindukia dola bilioni 100 licha ya kuweko vikwazo vya pande zote vya Marekani dhidi ya taifa hilo.

  • Alkhamisi tarehe 27 Disemba 2018

    Alkhamisi tarehe 27 Disemba 2018

    Dec 27, 2018 02:29

    Leo ni Alkhamisi tarehe 19 Rabiuthani 1440 Hijria sawa na 27 Disemba mwaka 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS