-
Misri: Kuna uwezekano tukashambuliwa tena na magaidi
May 28, 2017 23:31Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imesema kuwa, kuna uwezekano makundi ya kigaidi yakafanya tena mashambulizi nchini humo, hivyo imevitaka vikosi vya usalama kuchukua hatua kali za kiusalama kukabiliana na jambo hilo.
-
Shambulio la kigaidi nchini Misri
May 27, 2017 06:21Watu wasiopungua 28 waliuawa nchini Misri na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la jana Ijumaa dhidi ya mabasi mawili yaliyokuwa yamewabeba Wakristo wa Kibti kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Cairo.
-
Ndege za Misri zashambulia maficho ya magaidi nchini Libya
May 27, 2017 02:12Jeshi la Anga la Misri limefanya mashambulizi katika maficho ya magaidi ndani ya ardhi ya Libya baada ya watu wenye silaha kushambulia mabasi mawili yaliyokuwa na Wakristo mkoani al Minya.
-
Watu 28 wauawa katika shambulizi dhidi ya basi lililobeba Wakristo Misri
May 26, 2017 09:35Kwa akali watu 28 wameuawa katika shambulizi linaloaminika kuwa la kigaidi lililolenga basi ambalo lililikuwa limewabeba Wakrsito wa Kikhufti kusini mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan
May 24, 2017 23:57Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amekanusha madai kwamba Cairo inaingilia masuala ya ndani ya Sudan.
-
Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi
May 24, 2017 03:21Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.
-
Kuendelea kutolewa hukumu za ajabu na idara ya mahakama ya Misri
May 22, 2017 02:16Katika hali ambayo idara ya mahakama ya Misri imemtoa hatiani dikteta Hosni Mubarak, rais wa zamani wa nchi hiyo kwa makosa yote aliyofanya yakiwemo hata mashtaka ya kuua watu wakati wa mapinduzi ya wananchi mwaka 2011, Mahakama Kuu ya Misri imemuweka kwenye orodha ya magaidi Muhammad Morsi, rais wa kwanza wa nchi hiyo aliyechaguliwa na wananchi na baadaye kupinduliwa na jeshi.
-
9 wauawa katika mapigano kaskazini mwa Misri
May 21, 2017 03:05Watu tisa wameuawa katika mapigano yaliyotokea jana kwenye Rasi ya Sinai, kaskazini mwa Misri.
-
Kuchukuliwa hatua kali zaidi za usalama Misri; udharura wa kiusalama wenye malengo ya kisiasa
May 12, 2017 08:40Serikali ya Misri imechukua hatua kali zaidi za usalama katika eneo linalozunguka bunge kufuatia kuongezeka vitisho dhidi ya wabunge wa nchi hiyo.
-
Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin ya Misri ahukumiwa kifungo cha maisha jela
May 09, 2017 03:42Mahakama ya Misiri imemhukumu kifungo cha maisha jela Mohamed Badie, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo pamoja na wanachama wengine wawili wa harakati hiyo iliyopigwa marufuku.