Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Apr 20, 2017 09:35

    Kwa akali magaidi 19 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa genge hilo wameuawa katika shambulizi la anga la jeshi la Misri katika Peninsula ya Sinai.

  • Safari ya Al-Hakim mjini Cairo; ustawishaji wa kimalengo wa uhusiano wa Misri na Iraq

    Safari ya Al-Hakim mjini Cairo; ustawishaji wa kimalengo wa uhusiano wa Misri na Iraq

    Apr 19, 2017 02:40

    Sayyid Ammar Al-Hakim, kiongozi wa Muungano wa Kitaifa, ambao ni mrengo mkubwa zaidi wa kisiasa nchini Iraq jana Jumanne ya tarehe 18 Aprili alielekea nchini Misri kwa mwaliko rasmi wa viongozi wa nchi hiyo.

  • Jumatano, 19 Aprili, 2017

    Jumatano, 19 Aprili, 2017

    Apr 18, 2017 22:05

    Leo ni Jumatano tarehe 21 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 19, 2017.

  • Jumanne, 18 Aprili, 2017

    Jumanne, 18 Aprili, 2017

    Apr 18, 2017 02:28

    Leo ni Jumanne tarehe 20 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 18, 2017

  • Misri: Hatujatuma askari wetu nchini Yemen

    Misri: Hatujatuma askari wetu nchini Yemen

    Apr 17, 2017 03:45

    Serikali ya Misri imekadhibisha madai yaliyotolewa na Msemaji wa Muungano wa Kichokozi wa Saudia dhidi ya Yemen kwamba Cairo imetuma askari wake nchini Yemen.

  • Aboul Gheit: Ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia

    Aboul Gheit: Ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia

    Apr 14, 2017 11:42

    Katibu Mkuu wa Arab League Ahmed Aboul Gheit amesema kuwa, ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia kuhusiana na tofauti za nchi mbili juu ya ujenzi wa bwawa la al-Nahdha (Renaissance) katika mto Nile.

  • Misri yakosoa hatua ya baadhi ya nchi katika kuunga mkono ugaidi

    Misri yakosoa hatua ya baadhi ya nchi katika kuunga mkono ugaidi

    Apr 12, 2017 09:41

    Waziri Mkuu wa Misri amezituhumu baadhi ya nchi waungaji mkono wakubwa wa makundi ya kigaidi.

  • Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani

    Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani

    Apr 11, 2017 10:52

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya makanisa mawili nchini Misri siku ya Jumapili iliyopita ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa huku akisisitiza kuwa, lengo la magaidi ni kuzusha mifarakano ya kidini duniani.

  • Siku ya Umwagaji Damu nchini Misri

    Siku ya Umwagaji Damu nchini Misri

    Apr 10, 2017 08:33

    Jumapili ya jana Misri ilikumbwa na hujuma za kigaidi zilizojumuisha milipuko minne ambapo watu karibu 47waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya Makanisa Misri

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya Makanisa Misri

    Apr 10, 2017 03:06

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya makanisa mawili nchini Misri hapo jana, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS