Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti

  • Watu 8 wajeruhiwa katika hujuma msikitini Ufaransa

    Watu 8 wajeruhiwa katika hujuma msikitini Ufaransa

    Jul 03, 2017 08:00

    Watu 8 wamejeruhiwa baada ya kufyatuliwa risasi mbele ya mlango ya msikiti kusini mwa Ufaransa.

  • Azerbaijan yazidi kuwakandamiza Waislamu, yabomoa msikiti mwingine wa kihistoria Baku

    Azerbaijan yazidi kuwakandamiza Waislamu, yabomoa msikiti mwingine wa kihistoria Baku

    Jul 03, 2017 03:44

    Serikali ya Azerbaijan imeendeleza ukandamizaji wake dhidi ya Waislamu ambapo katika tukio la karibuni kabisa imebomoa msikiti mwingine wa kihistoria wa Baku, mji mkuu wa nchi hiyo kwa kisingizio cha kuwalinda waumini wanaoswali ndani yake.

  • Ukarabati wa msikiti mkubwa zaidi wa udongo wakamilika nchini Mali

    Ukarabati wa msikiti mkubwa zaidi wa udongo wakamilika nchini Mali

    May 13, 2017 02:34

    Mamia ya wananchi Waislamu wa Mali wamekamilisha kazi ya matengenezo ya msikiti mkubwa zaidi wa matofali ya udongo duniani ulioko mjini Djenné kusini mwa nchi hiyo.

  • Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria

    Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria

    May 05, 2017 13:37

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) hatimaye imekiri kuwa ndege za kijeshi za US zilitekeleza shambulizi a anga dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria ambapo makumi ya watu waliuawa.

  • Wanasiasa wa chama tawala India kizimbani kwa kuchochea kubomolewa msikiti

    Wanasiasa wa chama tawala India kizimbani kwa kuchochea kubomolewa msikiti

    Apr 19, 2017 15:25

    Mahakama ya Juu nchini India imetoa hukumu kwamba wanasiasa wa chama tawala nchini humo cha Bharatiya Janata Party (BJP) wanapaswa kupandishwa kizimbani kwa kuhusika na kitendo cha kubomolewa msikiti wa kihistoria nchini humo.

  • HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria

    HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria

    Apr 18, 2017 15:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelaani shambulizi la anga la Marekani dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria mwezi uliopita, ambapo makumi ya watu waliuawa.

  • Waislamu nchini Ufaransa waandamana kulalamikia kufungwa misikiti kadhaa

    Waislamu nchini Ufaransa waandamana kulalamikia kufungwa misikiti kadhaa

    Apr 16, 2017 02:51

    Waislamu nchini Ufaransa wameandamana kulalamikia siasa za chuki dhidi ya Uislamu na kufungwa misikiti kadhaa ndani ya nchi hiyo, kunakofanywa na serikali.

  • Makumi ya Waislamu wajeruhiwa  baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria

    Makumi ya Waislamu wajeruhiwa baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria

    Apr 15, 2017 13:44

    Makumi ya Waislamu nchini Algeria wamejeruhiwa kwa moto, baada ya msikiti waliokuwa wakishwali ndani yake kuchomwa moto makusudi.

  • Israel yaamuru kubomolewa Msikiti Ukingo wa Magharibi

    Israel yaamuru kubomolewa Msikiti Ukingo wa Magharibi

    Apr 14, 2017 07:47

    Utawala haramu wa Israel umetoa amri ya kubomolewa msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Quds Mashariki kwa madai kwamba msikiti huo ulijengwa bila ya kupata vibali.

  • Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Mar 17, 2017 03:57

    Vyombo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti habari ya kushambuliwa msikiti mwingine, kusini magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS