-
Vituo viwili vya Kiislamu vyashambuliwa na kundi lenye chuki za kidini Uhispania
Aug 21, 2017 03:46Vituo viwili vya Kiislamu vimeshambuliwa na kundi la watu wenye chuki dhidi ya dini ya Kiislamu nchini Uhispania.
-
Jenerali Qassem Soleimani: Iran ni chemchemu ya uthabiti katika eneo
Aug 20, 2017 22:01Kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Iran haijawahi katu kuzusha mgogoro na kulea utakfiri; na leo hii imekuwa chemchemu ya uthabiti katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Watu 8 wajeruhiwa katika hujuma msikitini Ufaransa
Jul 03, 2017 03:30Watu 8 wamejeruhiwa baada ya kufyatuliwa risasi mbele ya mlango ya msikiti kusini mwa Ufaransa.
-
Azerbaijan yazidi kuwakandamiza Waislamu, yabomoa msikiti mwingine wa kihistoria Baku
Jul 02, 2017 23:14Serikali ya Azerbaijan imeendeleza ukandamizaji wake dhidi ya Waislamu ambapo katika tukio la karibuni kabisa imebomoa msikiti mwingine wa kihistoria wa Baku, mji mkuu wa nchi hiyo kwa kisingizio cha kuwalinda waumini wanaoswali ndani yake.
-
Ukarabati wa msikiti mkubwa zaidi wa udongo wakamilika nchini Mali
May 12, 2017 22:04Mamia ya wananchi Waislamu wa Mali wamekamilisha kazi ya matengenezo ya msikiti mkubwa zaidi wa matofali ya udongo duniani ulioko mjini Djenné kusini mwa nchi hiyo.
-
Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria
May 05, 2017 09:07Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) hatimaye imekiri kuwa ndege za kijeshi za US zilitekeleza shambulizi a anga dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria ambapo makumi ya watu waliuawa.
-
Wanasiasa wa chama tawala India kizimbani kwa kuchochea kubomolewa msikiti
Apr 19, 2017 10:55Mahakama ya Juu nchini India imetoa hukumu kwamba wanasiasa wa chama tawala nchini humo cha Bharatiya Janata Party (BJP) wanapaswa kupandishwa kizimbani kwa kuhusika na kitendo cha kubomolewa msikiti wa kihistoria nchini humo.
-
HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria
Apr 18, 2017 11:03Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelaani shambulizi la anga la Marekani dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria mwezi uliopita, ambapo makumi ya watu waliuawa.
-
Waislamu nchini Ufaransa waandamana kulalamikia kufungwa misikiti kadhaa
Apr 15, 2017 22:21Waislamu nchini Ufaransa wameandamana kulalamikia siasa za chuki dhidi ya Uislamu na kufungwa misikiti kadhaa ndani ya nchi hiyo, kunakofanywa na serikali.
-
Makumi ya Waislamu wajeruhiwa baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria
Apr 15, 2017 09:14Makumi ya Waislamu nchini Algeria wamejeruhiwa kwa moto, baada ya msikiti waliokuwa wakishwali ndani yake kuchomwa moto makusudi.