Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Sheikh wa al-Aqsa aonya kuhusu huhamishiwa Quds ubalozi wa US

    Sheikh wa al-Aqsa aonya kuhusu huhamishiwa Quds ubalozi wa US

    Feb 28, 2018 04:28

    Mhubiri mtajika wa Msikiti wa al-Aqsa, Sheikh Ikrima Sabri ametahadharisha kuhusu azma ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds Tukufu kutoka Tel Aviv na kuitaja hatua hiyo kama ya kichokozi na kichochezi.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza atembelea msikiti akiwa amevaa mtandio kichwani

    Waziri Mkuu wa Uingereza atembelea msikiti akiwa amevaa mtandio kichwani

    Feb 19, 2018 12:09

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May ametembelea msikiti mmoja mjini London akiwa amevaa mtandio kichwani ikiwa ni sehemu ya kushiriki katika kampeni maalumu ya Waislamu wa Uingereza inayoendeshwa chini ya kaulimbiu ya "Tembelea Msikiti Wangu."

  • Quds, Kituo cha Dini za Mwenyezi Mungu-2

    Quds, Kituo cha Dini za Mwenyezi Mungu-2

    Dec 26, 2017 13:16

    Hatua ya Rais Donald Tump wa Marekani ya kuitambua Quds (Baitul Muqaddas au Jerusalem) kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine imeuweka mji huo mtakatifu kwa dini zote za Mwenyezi Mungu hususan Uislamu katika kurasa za mbele za magazeti na safu ya kwanza ya habari za vyombo vya mawasiliano ya umma kote duniani.

  • Wapalestina waandamana katika

    Wapalestina waandamana katika "Ijumaa ya Ghadhabu" dhidi ya Trump

    Dec 15, 2017 13:32

    Raia wa Palestina leo Ijumaa wamefanya maandamano katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu chini ya anwani "Ijumaa ya Hasira" ili kulalamikia na kupinga hatua ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuutangaza mji mtakatifu wa Quds kuwa mji mkuu wa Israel.

  • Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu

    Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu

    Nov 02, 2017 00:41

    Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa amri ya kuundwa kikosi kingine maalumu kitakachowakandamiza Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa.

  • Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Oct 22, 2017 11:02

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa na kuvunjia heshima eneo hilo takatifu la Kiislamu.

  • Alkhamisi 28 Septemba 2017

    Alkhamisi 28 Septemba 2017

    Sep 27, 2017 23:38

    Leo ni Alkhamisi 7 Muharram 1439 Hijria sawa na Septemba 28, 2017.

  • Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Aug 28, 2017 23:53

    Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.

  • Wazayuni wandelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni wandelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Aug 28, 2017 10:52

    Walowezi wa Kizayuni wameuvamia kwa mara nyingine tena Msikiti wa al Aqsa na kukivunjia heshima Kibla hicho cha Kwanza cha Waislamu.

  • Nguzo za msikiti mtukufu wa Al-Aqsa zinakaribia kuporomoka

    Nguzo za msikiti mtukufu wa Al-Aqsa zinakaribia kuporomoka

    Aug 22, 2017 11:00

    Taasisi ya Kimataifa ya Quds imetangaza kuwa nguzo za msingi wa msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu zinakaribia kuporomoka kutokana na mashimo na njia za chini ya ardhi zinazochimbwa kiholela na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS