-
Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)
Mar 17, 2025 06:21Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama mvua laini ya msimu wa kuchipua inayonyeshea jangwa kavu na lenye kiu. Hebu na tuyaloweshe majangwa ya roho zetu kwa mvua hii yenye uhai.
-
Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (5)
Mar 13, 2025 07:24Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya tano ya kipindi hiki maalumu tulichokutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhni.
-
Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-4
Mar 12, 2025 09:28Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur´ani, kuwa mwongozo kwa watu, na hoja zilizowazi za uongofu na upambanuzi. Basi atayekuwa katika mji (wake) katika mwezi huu aufunge....
-
Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)
Mar 12, 2025 09:13Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza kipindi kingine maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-2
Mar 11, 2025 10:17Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur´ani, kuwa mwongozo kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi atayekuwa katika mji (wake) katika mwezi huu aufunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amewangoza ili mpate kushukuru. (Baqarah:185)
-
Ramadhani; Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (1)
Mar 10, 2025 07:10Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji. Tumo katika siku tukufu za ibada ya funga ya mwezi wa Ramadhani na sote tumealikwa kuwa wageni wa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
-
Mwezi wa Ramadhani Gaza: Wapalestina wataabika kuandaa futari na daku
Mar 04, 2025 12:06Vita haribifu vya utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya wananchi madhulumu wa Ukanda wa Gaza vimekuwa na taathira nyingi kwa wakazi wa eneo hilo katika siku za nyuma hususan katika kiipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani
Mar 01, 2025 03:55Baadhi ya mataifa ya Kiarabu na Kiislamu Jumamosi ya leo yameanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Umewahi Kusoma Hotuba ya Sha'baniyyah ya Mtume Muhammad (saw)?
Feb 27, 2025 13:22Kwa mujibu wa kitabu cha “Kanzul-Maram fi A'mal Shahr al-Siyam”, Sheikh al-Saduq anamnukuu Imam Ridha (AS) akisema kwamba, katika moja ya siku za mwisho za mwezi wa Shaaban, kabla ya kuingia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mtume Muhammad (SAW) alitoa hotuba inayojulikana kama al Khutbatu Al-Sha'baniyyah.
-
Watu kadhaa wakamatwa kwa kula mchana wa Ramadhani Zanzibar
Mar 29, 2024 11:58Jeshi la polisi visiwani Zanzibar nchini Tanzania limewatia mbaroni watu 12 kwa tuhuma za kukiuka utaratibu wa dini ya Kiislamu kwa kula mchana hadharani katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.