Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu waua 50 nchini Nigeria

    Mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu waua 50 nchini Nigeria

    Apr 06, 2021 22:59

    Makumi ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mripuko wa maradhi ya kipindupindu nchini Nigeria.

  • Milio mikubwa ya risasi yasikika karibu na ofisi ya rais nchini Niger

    Milio mikubwa ya risasi yasikika karibu na ofisi ya rais nchini Niger

    Mar 31, 2021 03:13

    Milio mikubwa ya risasi imesikika mapema leo karibu na ofisi ya rais wa Niger katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey, siku mbili kabla ya kuapishwa rais mpya Mohamed Bazoum.

  • Mji wa Maiduguri wasalia bila ya umeme kwa mara nyingine tena baada ya shambulio la Daesh

    Mji wa Maiduguri wasalia bila ya umeme kwa mara nyingine tena baada ya shambulio la Daesh

    Mar 29, 2021 00:01

    Shirika la Taifa la Umeme la Nigeria limetangaza kukatika kwa huduma ya umeme kwa mara nyingine tena katika mji wa Maiduguri makao makuu ya jimbo la Borno huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo baada ya shambulio la kundi la kigaidi la Daesh.

  • Watu 13 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Nigeria

    Watu 13 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Nigeria

    Mar 21, 2021 04:25

    Watu wasiopungua 13 wamepoteza maisha katika mashambulizi ya genge la wabeba silaha katika jimbo la Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.

  • ISIS yadai kuhusika na shambulio lililoua na kujeruhi makumi Nigeria

    ISIS yadai kuhusika na shambulio lililoua na kujeruhi makumi Nigeria

    Mar 14, 2021 00:10

    Kundi la kigaidi la ISIS tawi la Afrika Magharibi limetangaza kuhusika na shambulio dhidi ya msafara wa magari ya kijeshi lililoua na kujeruhi watu zaidi ya 30 huko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Wanafunzi karibu 30 watekwanyara kaskazini magharibi mwa Nigeria

    Wanafunzi karibu 30 watekwanyara kaskazini magharibi mwa Nigeria

    Mar 12, 2021 23:05

    Afisa mmoja wa usalama nchini Nigeria ameripoti kuwa, wanafunzi karibu 30 wametekwanyara katika jimbo la Kaduna huko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Wafuasi wa Sheikh Zakzaky wawaadhimisha mashahidi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Wafuasi wa Sheikh Zakzaky wawaadhimisha mashahidi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Mar 08, 2021 04:13

    Wafuasi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN) wamefanya hafla ya kuwaenzi mashahidi wa harakati hiyo.

  • Magaidi washambulia tena raia nchini Nigeria, 6 wauawa

    Magaidi washambulia tena raia nchini Nigeria, 6 wauawa

    Mar 04, 2021 09:50

    Raia wasiopungua 6 wameuawa katika shambulio jipya la watu wenye silaha katika mji wa Dikwa wa kaskaini mashariki mwa Nigeria

  • Mamia ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiliwa huru

    Mamia ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiliwa huru

    Mar 02, 2021 04:16

    Mamia ya wanafunzi wa kike waliotekwa nyara huko Nigeria katika jimbo la Zamfara wameachiliwa huru.

  • Kuongezeka ugaidi Nigeria; mamia ya wanafunzi watekwa nyara

    Kuongezeka ugaidi Nigeria; mamia ya wanafunzi watekwa nyara

    Feb 28, 2021 05:22

    Mashambulio ya kigaidi yangali yanaendelea katika nchi za magharibi mwa Afrika na hasa nchini Nigeria. Katika mashambulio ya karibuni kabisa, mamia ya wanafunzi wametekwa nyara nchini humo kufuatia shambulio lililofanywa na wabeba silaha katika shule moja katika jimbo la Zamfara, kaskazini mwagharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS