-
Magaidi washambulia tena raia nchini Nigeria, 6 wauawa
Mar 04, 2021 09:50Raia wasiopungua 6 wameuawa katika shambulio jipya la watu wenye silaha katika mji wa Dikwa wa kaskaini mashariki mwa Nigeria
-
Mamia ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiliwa huru
Mar 02, 2021 04:16Mamia ya wanafunzi wa kike waliotekwa nyara huko Nigeria katika jimbo la Zamfara wameachiliwa huru.
-
Kuongezeka ugaidi Nigeria; mamia ya wanafunzi watekwa nyara
Feb 28, 2021 05:22Mashambulio ya kigaidi yangali yanaendelea katika nchi za magharibi mwa Afrika na hasa nchini Nigeria. Katika mashambulio ya karibuni kabisa, mamia ya wanafunzi wametekwa nyara nchini humo kufuatia shambulio lililofanywa na wabeba silaha katika shule moja katika jimbo la Zamfara, kaskazini mwagharibi mwa nchi hiyo.
-
Makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru
Feb 27, 2021 08:35Huku vyombo vya usalama vya Nigeria vikiendelea kuwasaka wanafunzi wasichana zaidi ya 300 waliotekwa nyara na genge la watu waliokuwa na silaha mapema jana, makumi ya wanafunzi wengine waliotekwa wiki iliyopita wameachiwa huru.
-
Mamia ya wanafunzi wa kike watekwa nyara katika jimbo la Zamfara, Nigeria
Feb 26, 2021 09:32Majambazi waliokuwa na silaha leo asubuhi wameivamia shule moja ya sekondari ya wasichana katka jimbo la Zamfara nchini Nigeria na kuwateka nyara mamia ya wanafunzi.
-
Nigeria: Watekajinyara wamewaachia huru watu 53 katika jimbo la Niger
Feb 23, 2021 09:58Kundi la wahalifu lililokuwa limewashikia mateka watu 53 limewaachia huru mateka hao wakiwemo wanawake na watoto waliotekwa kwenye basi nchini Nigeria.
-
Umoja wa Mataifa walaani vikali shambulio na utekaji nyara wanafunzi Nigeria
Feb 19, 2021 10:25Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, kupitia msemaji wake, amelaani vikali shambulio la tarehe 17 Februari mwaka huu 2021 dhidi ya Chuo cha Sayansi cha serikali cha Kagara katika mkoa wa kaskazini kati mwa Nigeria.
-
Mabaharia wa Uturuki waliotekwa nyara Nigeria warejea nyumbani
Feb 14, 2021 09:27Mabaharia 15 wa Uturuki waliotekwa nyara mwezi uliopita katika Ghuba ya Guinea wamerejea nyumbani leo Jumapili huku nahodha wao akisema walikabiliwa na vitisho vya kuuawa wakati waliposhikiliwa kwa muda wa wiki tatu msituni.
-
Makumi wauawa katika hujuma za wabeba silaha Nigeria
Feb 10, 2021 20:04Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi kadhaa ya magenge ya wabeba silaha katika wilaya tano za eneo la kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Amnesty yasema Nigeria inajaribu kuficha mauaji ya raia mjini Lagos
Jan 29, 2021 04:16Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeituhumu serikali ya Nigeria kuwa inafanya jitihada za kuficha mauaji ya kutisha ya wananchi waliokuwa wakiandamana katika mji wa Lagos mwezi Oktoba mwaka uliopita.