Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Iran yalaani miripuko ya mabomu ya nchini Nigeria

    Iran yalaani miripuko ya mabomu ya nchini Nigeria

    Dec 10, 2016 23:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani miripuko ya mabomu iliyotokea nchini Nigeria na kupelekea watu wengi kuuawa bila ya hatia.

  • Waislamu wa Nigeria walaani njama za Israel

    Waislamu wa Nigeria walaani njama za Israel

    Dec 10, 2016 12:08

    Waislamu wa Kishia nchini Nigeria wamelaani njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kukwamisha juhudi za kuachiliwa huru Sheikh Zakzaki, mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

  • Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria

    Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria

    Dec 10, 2016 00:26

    Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • UN: Boko Haram ingali tishio licha ya kupoteza ngome zake

    UN: Boko Haram ingali tishio licha ya kupoteza ngome zake

    Dec 08, 2016 04:02

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram lenye makao yake nchini Nigeria lingali tishio katika eneo la Ziwa Chad licha ya kupoteza udhibiti wa ngome zake nyingi.

  • Viongozi wa Nigeria wang'ang'ania Sheikh Zakzaky afunguliwe mashtaka

    Viongozi wa Nigeria wang'ang'ania Sheikh Zakzaky afunguliwe mashtaka

    Dec 06, 2016 12:22

    Licha ya Mahakama Kuu ya Nigeria kutoa amri ya kuitaka serikali ya shirikisho imwachie huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky, viongozi wa jimbo la Kaduna wangali wanashikilia kiongozi huyo wa kidini ashtakiwe na kuhukumiwa kifungo jela.

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu zatahadharisha kuhusu hali ya wanawake Nigeria

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu zatahadharisha kuhusu hali ya wanawake Nigeria

    Dec 06, 2016 00:07

    Jumuia mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wanawake nchini Nigeria.

  • Nigeria na Morocco kujenga bomba la kusafirishia gesi

    Nigeria na Morocco kujenga bomba la kusafirishia gesi

    Dec 05, 2016 00:26

    Serikali za Nigeria na Morocco zimesaini hati ya makubaliano ya kujenga bomba la kusafirishia gesi ambalo litaziunganisha nchi mbili hizo pamoja na nchi nyingine za Afrika na bara Ulaya.

  • Mahakama ya Nigeria yaamuru Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Mahakama ya Nigeria yaamuru Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Dec 02, 2016 12:26

    Mahakama nchini Nigeria imeiamuru serikali kumuachilia huru Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Mahakama Nigeria yamnyima dhamana mkuu wa Biafra

    Mahakama Nigeria yamnyima dhamana mkuu wa Biafra

    Dec 02, 2016 04:33

    Mahakama Kuu ya Nigeria imekataa kumuachia huru kwa dhamana mkuu wa harakati ya Biafra inayopigania kujitenga na Nigeria.

  • Tahadhari ya UN kuhusu vifo vya watoto Nigeria

    Tahadhari ya UN kuhusu vifo vya watoto Nigeria

    Nov 30, 2016 04:31

    Umoja wa Mataifa umetahadahrisha kuwa, hujuma za kigaidi za Boko Haram ni chanzo cha familia kuwa wakimbizi Nigeria na hivyo kusababisha vifo vya makumi ya maelefu ya watoto nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS