Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • Oman: Badala ya kulaani hatua ya Iran, komesheni Israel kuikalia kwa mabavu ardhi ya Palestina

    Oman: Badala ya kulaani hatua ya Iran, komesheni Israel kuikalia kwa mabavu ardhi ya Palestina

    Oct 05, 2024 03:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema, badala ya kulaani hatua ya Iran, ukomeshwe ukaliaji ardhi ya Palestiina kwa mabavu unaofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Mufti wa Oman: Nasrullah alikuwa mwiba kwenye koo ya Wazayuni

    Mufti wa Oman: Nasrullah alikuwa mwiba kwenye koo ya Wazayuni

    Sep 30, 2024 02:26

    Mufti Mkuu wa Oman amesema Sayyid Hassan Nasrullah, kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon aliyeuawa shahidi karibuni na Israel alikuwa mwiba kwenye koo ya Wazayuni kwa zaidi ya miongo mitatu.

  • Jumamosi, 28 Septemba, 2024

    Jumamosi, 28 Septemba, 2024

    Sep 28, 2024 02:15

    Leo ni Jumamosi 24 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hiijria mwafaka na 28 Septemba 2024 Miladia.

  • Naibu Waziri wa Kazi wa Oman: Iran ni mahala salama kwa wawekezaji wa Oman

    Naibu Waziri wa Kazi wa Oman: Iran ni mahala salama kwa wawekezaji wa Oman

    Sep 09, 2024 06:52

    Naibu Waziri wa Kazi wa Oman amesisitiza kuwa Iran ni mahali salama kwa wawekezaji wa Oman kutokana na usalama na miundombinu yake mwafaka.

  • Mufti wa Oman: Kuiunga mkono Yemen ni wajibu wa kila Muislamu

    Mufti wa Oman: Kuiunga mkono Yemen ni wajibu wa kila Muislamu

    Jul 21, 2024 06:49

    Mufti Mkuu wa Oman amelaani vikali hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuushambulia mji wa magharibi mwa Yemen wa al-Hudaydah, huku akiwataka Waislamu kote ulimwenguni kuliunga mkono na kulisaidia kwa hali na mali taifa hilo la Kiarabu linalosumbuliwa na ukata na umaskini mkubwa.

  • Daesh: Tumehusika na shambulio la siku ya Ashura lililoua 6 Oman

    Daesh: Tumehusika na shambulio la siku ya Ashura lililoua 6 Oman

    Jul 17, 2024 13:17

    Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) limekiri kuhusika na shambulizi la kigaidi lililolenga Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika katika msikiti mmoja nchini Oman, kwa ajili ya maombolezo ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (a.s).

  • Mufti wa Oman awataka Waislamu kujitokeza kwa wingi kuwasaidia ndugu zao wa Ghaza

    Mufti wa Oman awataka Waislamu kujitokeza kwa wingi kuwasaidia ndugu zao wa Ghaza

    Jun 10, 2024 11:08

    Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed bin Hamad Al-Khalili amewataka Waislamu kote ulimwenguni kutumia sehemu ya fedha zao kuwapelekea msaada wa chakula na silaha Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza

  • Kaimu Rais wa Iran asisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman

    Kaimu Rais wa Iran asisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman

    May 28, 2024 04:24

    Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja uhusiano wa Iran na Oman kuwa wa kihistoria na wa kidugu na kusema: Iwapo uwezo uliopo utatumika vizuri, maingiliano ya kiuchumi na kibiashara kati ya Iran na Oman yataongezeka hadi mara kadhaa ya kiwango cha sasa.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman: Vita Ukanda wa Gaza visitishwe haraka iwezekanavyo

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman: Vita Ukanda wa Gaza visitishwe haraka iwezekanavyo

    Apr 21, 2024 08:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mwenzake wa Oman wamesisitiza juu ya haja ya kutekelezwa juhudi za kimataifa ili kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni, kufikiwa mapatano ya usitishaji vita na kutumwa haraka misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Gaza.

  • Amir-Abdollahian: Iran haitoruhusu Israel kuhatarisha usalama wa ukanda huu

    Amir-Abdollahian: Iran haitoruhusu Israel kuhatarisha usalama wa ukanda huu

    Apr 16, 2024 10:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaamini kwamba usalama na utulivu wa nchi za eneo hili zima ni muhimu sana kwake, bali ni sawa kabisa na usalama wake yenyewe na haitoruhusu utawala wa Kizayuni kuhatarisha usalama wa eneo hili kwa chokochoko zake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS