Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Israel iliteka nyara Wapalestina 500 mwezi Machi

    Israel iliteka nyara Wapalestina 500 mwezi Machi

    Apr 11, 2017 02:01

    Utawala wa Kizayuni wa Israel uliwateka nyara Wapalestina 509 katika Ukanda wa Ghaza, Ukingo wa Magharibi na Quds Tukufu mwezi uliopita wa Machi.

  • Jumuiya ya Wafanyakazi Norway yataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina

    Jumuiya ya Wafanyakazi Norway yataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina

    Apr 08, 2017 22:10

    Jumuiya ya Wafanyakazi nchini Norway imetoa wito wa katambulwia rasmi nchi huru ya Palestina.

  • Brazil yalaani ujenzi mpya wa nyumba za Mayahudi Ukingo wa Magharibi

    Brazil yalaani ujenzi mpya wa nyumba za Mayahudi Ukingo wa Magharibi

    Apr 05, 2017 03:17

    Brazil imelaani uamuzi uliopasishwa hivi karibuni na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • EU: Hatutohamishia balozi zetu Quds tukufu kutoka Tel Aviv

    EU: Hatutohamishia balozi zetu Quds tukufu kutoka Tel Aviv

    Apr 04, 2017 11:21

    Katika hali ambayo Marekani imezungumzia mpango wa kuhamishia ubalozi wake ulioko Israel kutoka Tel Aviv na kuupeleka katika mji wa Quds tukufu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Umoja wa Ulaya umesema nchi wanachama wake hazitofuata sera hizo za Washington.

  • UN: Jamii ya kimataifa ichukue hatua za dhati kukomesha kukaliwa kwa mabavu Palestina

    UN: Jamii ya kimataifa ichukue hatua za dhati kukomesha kukaliwa kwa mabavu Palestina

    Apr 03, 2017 09:33

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu huko Palestina amesema kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua nyingi zaidi mbali ya maazimio na kutoa taarifa tu ili kukomesha kukaliwa kwa mabavu Palestina na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Hati mpya ya Kisiasa ya HAMAS: Wakimbizi wa Kipalestina warejee kwenye ardhi zao za asili

    Hati mpya ya Kisiasa ya HAMAS: Wakimbizi wa Kipalestina warejee kwenye ardhi zao za asili

    Apr 03, 2017 03:14

    Baadhi ya vifungu vya hati mpya ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS vimetangazwa vikisisitizia haki ya wakimbizi wote wa Kipalestina walioko maeneo tofauti duniani kurejea kwenye ardhi zao za asili.

  • Mayahudi waandamana Quds kulaani ukaliaji wa mabavu wa Palestina

    Mayahudi waandamana Quds kulaani ukaliaji wa mabavu wa Palestina

    Apr 02, 2017 03:36

    Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano katika eneo la Quds tukufu kulaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Israel inakalia kwa mabavu asilimia 85 ya ardhi za Palestina

    Israel inakalia kwa mabavu asilimia 85 ya ardhi za Palestina

    Mar 30, 2017 02:21

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unakalia kwa mabavu asilimia 85 ya ardhi zote za Wapalestina.

  • Wamarekani waandamana Washington dhidi ya lobi ya Kizayuni

    Wamarekani waandamana Washington dhidi ya lobi ya Kizayuni

    Mar 27, 2017 03:16

    Wanaharakati wanaounga mkono Palestina wamefanya maandamano nje ya ukumbi kunakofanyika kongamano la lobi ya Kizayuni ya Kamati ya Marekani na Israel ya Masuala ya Umma (AIPAC) mjini Washington.

  • Askari wa Israel wamuua shahidi kijana mwengine Mpalestina, ujenzi wa vitongoji waongezeka kwa asilimia 40

    Askari wa Israel wamuua shahidi kijana mwengine Mpalestina, ujenzi wa vitongoji waongezeka kwa asilimia 40

    Mar 24, 2017 00:00

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameishambulia kwa risasi gari moja kaskazini mwa Ramallah katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan na kupelekea kuuawa shahidi kijana mmoja Mpalestina na kujeruhiwa wengine watatu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS