Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran hayatavuruga azma ya taifa la Iran

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran hayatavuruga azma ya taifa la Iran

    Jun 09, 2017 08:21

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa ujumbe wa rambirambi kwa mnasaba wa mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika siku chache zilizopita mjini Tehran akisisitiza kuwa, jinai hiyo haiwezi kutia doa katika irada na azma ya taifa la Iran.

  • Rouhani: Iran itajibu mapigo ya maadui kupitia umoja na mshikamano

    Rouhani: Iran itajibu mapigo ya maadui kupitia umoja na mshikamano

    Jun 08, 2017 06:53

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itasambaratisha njama za maadui kupitia umoja na mshikamano wa wananchi wa taifa hili.

  • Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Jun 08, 2017 06:46

    Katika hali ambayo dunia nzima inaendelea kutoa mkono wa pole na kutuma salamu za rambirambi kufuatia mashambulio pacha ya kigaidi yaliyotokea jana hapa mjini Tehran, Rais Donald Trump wa Marekani ametoa ujumbe unaoonekana kuwalaumu na kuwakejeli mashahidi waliouawa katika hujuma hizo.

  • Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa

    Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa

    Jun 05, 2017 14:09

    Watu watatu wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika shambulizi la guruneti dhidi ya kituo cha polisi nchini Somalia mapema leo Jumatatu.

  • Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya

    Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya

    May 31, 2017 15:00

    Maafisa saba wa polisi ya utawala wameuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa kando ya barabara katika kaunti ya Lamu, kusini mashariki mwa Kenya.

  • Misri: Kuna uwezekano tukashambuliwa tena na magaidi

    Misri: Kuna uwezekano tukashambuliwa tena na magaidi

    May 29, 2017 04:01

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imesema kuwa, kuna uwezekano makundi ya kigaidi yakafanya tena mashambulizi nchini humo, hivyo imevitaka vikosi vya usalama kuchukua hatua kali za kiusalama kukabiliana na jambo hilo.

  • Shambulio la kigaidi nchini Misri

    Shambulio la kigaidi nchini Misri

    May 27, 2017 10:51

    Watu wasiopungua 28 waliuawa nchini Misri na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la jana Ijumaa dhidi ya mabasi mawili yaliyokuwa yamewabeba Wakristo wa Kibti kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Cairo.

  • Askari polisi 5 wa Kenya wauawa katika shambulizi la bomu

    Askari polisi 5 wa Kenya wauawa katika shambulizi la bomu

    May 25, 2017 13:59

    Kwa akali maafisa watano wa polisi nchini Kenya wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea leo Alkhamisi eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Magaidi wa ISIS washambulia kambi ya wakimbizi Syria na kuua 36

    Magaidi wa ISIS washambulia kambi ya wakimbizi Syria na kuua 36

    May 03, 2017 03:45

    Kwa akali watu 36 wameuawa katika shambulizi la kigaidi dhidi ya kambi ya wakimbizi lililofanywa jana Jumanne na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland

    Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland

    Apr 23, 2017 14:03

    Wanajeshi wanane wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS