-
WHO yawataka walimwengu wazidishe mapambano dhidi ya sigara
Jan 11, 2017 14:05Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa mapambano dhidi ya sigara yanaweza kuokoa mabilioni ya fedha mbali na kuokoa maisha ya mamilioni ya wanadamu.
-
Sayansi na Teknolojia
Jan 04, 2017 07:37Karibuni katika mjumuiko huu mpya wa vipindi ambavyo vinaangazia maendeleo mapya katika sekta za sayansi, teknolojia na tiba duniani na hasa nchini Iran. Karibuni kujiunga nasi ambapo leo tutaangazia mafanikio ya wanasayansi wa Iran katika kutengeneza chombo cha kutibu magonjwa ya ubongo kama vile Parkinson kati ya mengine. Karibu kujiunga nami hadi mwisho.
-
WHO yatoa indhari: Hali ya kiafya ya Yemen ni mbaya sana
Jan 01, 2017 16:35Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa hali ya kiafya nchini Yemen ni mbaya sana na kubainisha kuwa tangu vilipoanza vita vya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo hadi mwezi Novemba mwaka jana, zaidi ya watu 7,300 wameuawa na wengine ya 39,000 wamejeruhiwa.
-
WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100
Dec 23, 2016 07:01Utafiti uliochapishwa katika jarida la Lancet umeonyesha kuwa chanjo ya majaribio ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Ebola kwa jina la rVSV-ZEBOV inaonekana kuwa na athari kwa asilimia 100.
-
WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria
Dec 16, 2016 04:49Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeharibu sehemu kubwa ya vituo vya afya katika eneo la kaskazini mwa Nigeria.
-
Siku ya Kimataifa ya Ukimwi
Dec 01, 2016 05:17Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni katika Makala ya Wiki ambayo juma hili inazungumzia Siku ya Kimataifa ya Ukimwi inayoadhimishwa kila mwaka tarehe Mosi Disemba.
-
WHO: Nusu ya wanaoishi na HIV kote duniani hawajapimwa
Dec 01, 2016 04:09Shirika la Afya Duniani WHO limesema karibu nusu ya watu wanaoishi na virusi vya HIV kote duniani hawana habari wala ufahamu kuwa wameambukizwa virusi hivyo hatari vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi.
-
WHO: Hospitali 600 zimeshambuliwa miaka miwili iliyopita
May 27, 2016 07:08Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani WHO imebaini kuwa mashambulizi takriban 600 yamelenga wauguzi ulimwenguni kote mwaka 2014 na 2015 na kusababisha vifo zaidi ya 900.
-
WHO: Malaria itaangamizwa kabisa Afrika hadi mwaka 2020
Apr 25, 2016 15:06Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kuna uwezekano ugonjwa wa malaria utaangamizwa kabisa ifikapo mwaka 2020.
-
Makumi waaga dunia kutokana na homa ya manjano DRC
Apr 13, 2016 07:08Mripuko wa homa ya manjano umesababisha vifo vya watu wasiopungua 21 katika Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo.