• Mlipuko wa polio waripotiwa Kongo DR, mikoa 2 yaathiriwa

    Mlipuko wa polio waripotiwa Kongo DR, mikoa 2 yaathiriwa

    Jun 14, 2017 03:40

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza habari ya mlipuko wa ugonjwa wa kupooza (polio) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WHO: Watu bilioni 2 duniani wanakunywa maji machafu

    WHO: Watu bilioni 2 duniani wanakunywa maji machafu

    Apr 13, 2017 02:58

    Shirika la Afya Duniani limesema watu bilioni 2 kote duniani wanatumia maji machafu na kusisitiza kwamba kuna haja ya kufanyika juhudi za makusudi kuhakikisha kuwa kila mtu anapata maji safi ya kunywa na anaishi katika mazingira safi yenye mifumo ya kuondoa majitaka.

  • WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo

    WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo

    Mar 01, 2017 00:26

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu uzima na maisha ya zaidi ya Wasomali milioni moja wanaosumbuliwa na baa la njaa.

  • WHO yawataka walimwengu wazidishe mapambano dhidi ya sigara

    WHO yawataka walimwengu wazidishe mapambano dhidi ya sigara

    Jan 11, 2017 10:35

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa mapambano dhidi ya sigara yanaweza kuokoa mabilioni ya fedha mbali na kuokoa maisha ya mamilioni ya wanadamu.

  • Sayansi na Teknolojia

    Sayansi na Teknolojia

    Jan 04, 2017 04:07

    Karibuni katika mjumuiko huu mpya wa vipindi ambavyo vinaangazia maendeleo mapya katika sekta za sayansi, teknolojia na tiba duniani na hasa nchini Iran. Karibuni kujiunga nasi ambapo leo tutaangazia mafanikio ya wanasayansi wa Iran katika kutengeneza chombo cha kutibu magonjwa ya ubongo kama vile Parkinson kati ya mengine. Karibu kujiunga nami hadi mwisho.

  • WHO yatoa indhari: Hali ya kiafya ya Yemen ni mbaya sana

    WHO yatoa indhari: Hali ya kiafya ya Yemen ni mbaya sana

    Jan 01, 2017 13:05

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa hali ya kiafya nchini Yemen ni mbaya sana na kubainisha kuwa tangu vilipoanza vita vya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo hadi mwezi Novemba mwaka jana, zaidi ya watu 7,300 wameuawa na wengine ya 39,000 wamejeruhiwa.

  • WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100

    WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100

    Dec 23, 2016 03:31

    Utafiti uliochapishwa katika jarida la Lancet umeonyesha kuwa chanjo ya majaribio ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Ebola kwa jina la rVSV-ZEBOV inaonekana kuwa na athari kwa asilimia 100.

  • WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    Dec 16, 2016 01:19

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeharibu sehemu kubwa ya vituo vya afya katika eneo la kaskazini mwa Nigeria.

  • Siku ya Kimataifa ya Ukimwi

    Siku ya Kimataifa ya Ukimwi

    Dec 01, 2016 01:47

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni katika Makala ya Wiki ambayo juma hili inazungumzia Siku ya Kimataifa ya Ukimwi inayoadhimishwa kila mwaka tarehe Mosi Disemba.

  • WHO: Nusu ya wanaoishi na HIV kote duniani hawajapimwa

    WHO: Nusu ya wanaoishi na HIV kote duniani hawajapimwa

    Dec 01, 2016 00:39

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema karibu nusu ya watu wanaoishi na virusi vya HIV kote duniani hawana habari wala ufahamu kuwa wameambukizwa virusi hivyo hatari vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi.