-
Maafisa usalama wa Afrika watahadharisha kuhusu hatari ya makundi ya kigaidi
Apr 06, 2017 10:04Maafisa wa upelelezi na vyombo vya usalama wa nchi 30 za Afrika walioshiriki katika mkutano wa amani nchini Sudan wametahadharisha kuhusu vitisho vya makundi ya kigaidi barani humo.
-
Watu wenye silaha wawafyatulia risasi raia wakiwa sokoni nchini Sudan, saba wauawa
Apr 03, 2017 00:12Watu wenye silaha wasiojulikana wametekeleza shambulizi katika soko nchini Sudan na kuua watu saba na wengine kadhaa kujeruhiwa.
-
Kamisheni ya Haki za Binadamu yaikosoa Jordan kwa kumkaribisha al Bashir
Mar 31, 2017 23:17Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeikemea serikali ya Jordan kwa kumkaribisha nchini humo Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Uhusiano wa Saudia na Sudan, hakika au maslahi ya muda?
Mar 31, 2017 22:02Saudi Arabia inafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Sudan yajulikanayo kama 'Ngao ya Samawati -1' huku nchi hizo mbili zikijaribu kuimarisha uhusiano wao kutokana na vizingiti vya ndani ya nchi na kieneo.
-
Sudan yaafiki kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya misaada ya kibinadamu Sudan Kusini
Mar 27, 2017 00:09Serikali ya Sudan imeafiki suala la kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu walioathiriwa na ukame na njaa katika nchi jirani ya Sudan Kusini.
-
HRW yataka Rais wa Sudan azuiwe kuingia Jordan au akamatwe
Mar 26, 2017 22:13Shirika la kimataifa la Haki za Binadamu HRW limetaka Rais Omar al Bashir wa Sudan azuiwe kuingia nchini Jordan.
-
Safari ya Waziri Mkuu wa Libya nchini Sudan yaakhirishwa
Mar 15, 2017 13:00Ziara ya Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya nchini Sudan imeakhirishwa kutokana na matukio ya kiusalama nchini humo.
-
Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Sudan
Mar 13, 2017 03:28Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wamekimbilia Sudan kutokana na matatizo mengi yanayoikabili nchi yao ukiwemo ukame.
-
Afrika Kusini yatakiwa ifike ICC kujieleza kwa kutomkamata rais Bashir wa Sudan
Mar 08, 2017 12:24Afrika Kusini imetakiwa kufika katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC mwezi Aprili kujieleza baada ya kukataa kumkamata Rais Omar al Bashir wa Sudan alipotembelea nchi hiyo miaka miwili iliyopita.
-
AI: Kufanyike uchunguzi wa mashambulizi ya silaha za kemikali Darfur
Mar 07, 2017 12:11Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali yaliyofanywa na serikali ya Sudan dhidi ya raia katika eneo la Darful lililoko magharibi mwa nchi hiyo.