Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tehran

  • Amir wa Qatar safarini Iran

    Amir wa Qatar safarini Iran

    Jan 12, 2020 12:05

    Amir wa Qatar leo amewasili Tehran kwa lengo la kufanya mazungumzo an viongozi wa ngazi za juu wa Iran.

  • Mamilioni ya Wairani wauaga mwili wa Jenerali Qassem Soleimani na mashahidi wenzake

    Mamilioni ya Wairani wauaga mwili wa Jenerali Qassem Soleimani na mashahidi wenzake

    Jan 06, 2020 13:22

    Marasimu ya kuuaga mwili wa shahidi Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC, yamefanyika kwa kuhudhuriwa na mamilioni ya watu mjini Tehran.

  • Sheikh Siddiqi: Kujihami kutakatifu taifa la Iran kumeacha athari katika historia ya leo

    Sheikh Siddiqi: Kujihami kutakatifu taifa la Iran kumeacha athari katika historia ya leo

    Sep 27, 2019 12:37

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, miaka minane ya kujihami kutakatifu taifa la Iran mbele ya uchokozi wa utawala wa dikteta Saddam wa Iraq kumeacha athari katika historia ya leo.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Pakistan mjini Tehran; ukurasa mpya wa ushirikiano wa pande mbili

    Safari ya Waziri Mkuu wa Pakistan mjini Tehran; ukurasa mpya wa ushirikiano wa pande mbili

    Apr 21, 2019 13:42

    Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan leo Jumapili ameanza safari ya siku mbili humu nchini kwa mwaliko rasmi wa Rais Hassan Rouhani wa Iran.

  • Ayatullah Kermani: Marekani ni mama wa ugaidi, Trump ni mpumbavu kwa kuinasibisha IRGC na ugaidi

    Ayatullah Kermani: Marekani ni mama wa ugaidi, Trump ni mpumbavu kwa kuinasibisha IRGC na ugaidi

    Apr 12, 2019 15:18

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, hatua ya Washington ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC katika orodha yake ya makundi ya kigaidi ni ya kipumbavu na kwamba Marekani ndiye mama wa ugaidi duniani.

  • Wairani waandamana kote nchini kuliunga mkono Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH)

    Wairani waandamana kote nchini kuliunga mkono Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH)

    Apr 12, 2019 15:15

    Wananchi wa Iran katika kila kona ya nchi wamemiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.

  • Ayatullah Kashani: Taifa la Iran halitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya maadui

    Ayatullah Kashani: Taifa la Iran halitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya maadui

    Mar 15, 2019 15:47

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema maadui wamekuwa wakitumia njama mbalimbali kama za kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiutamaduni ili kutoa pigo kwa mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran, lakini amesisitiza kuwa, katu taifa kubwa la Iran haliwezi kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya maadui.

  • Jumanne, Januari 29, 2019

    Jumanne, Januari 29, 2019

    Jan 29, 2019 02:46

    Leo ni Jumanne tarehe 22 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na 29 Januari mwaka 2019 Milaadia.

  • Mkutano wa Umoja wa Kiislamu, Iran iko mstari wa mbele katika kambi ya kupigania uhuru

    Mkutano wa Umoja wa Kiislamu, Iran iko mstari wa mbele katika kambi ya kupigania uhuru

    Nov 25, 2018 16:13

    Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu unaendelea hapa mjini Tehran kwa kaulimbiu ya "Quds, Nguzo ya Umoja wa Umma". Mkutano huo wa siku tatu unahudhuriwa na shakhsia 300 wa kisiasa na kidini kutoka nchi mbalimbali duniani na unajadili njia za kutatua matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu.

  • Haniya: Malengo ya Palestina ni suala la umma wote wa Kiislamu

    Haniya: Malengo ya Palestina ni suala la umma wote wa Kiislamu

    Nov 24, 2018 13:43

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amehutubu katika Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu mjini Tehran na kusema: "Utawala wa Kizayuni ni adui mkuu wa Umma wa Kiislamu."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS