Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Hatari ya ugaidi, changamoto kubwa zaidi ya Misri

    Hatari ya ugaidi, changamoto kubwa zaidi ya Misri

    May 01, 2017 23:55

    Rais Abdulfattah as-Sisi, wa Misri amesema kwamba hatari ya ugaidi ni changamoto kubwa zaidi kati ya changamoto zinazoikabili nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Putin asisitiza udharura wa kuwepo msimamo mmoja katika kupambana na ugaidi

    Putin asisitiza udharura wa kuwepo msimamo mmoja katika kupambana na ugaidi

    Apr 27, 2017 21:58

    Rais Vladmi Putin wa Russia amesema katika ujumbe uliosomwa kwenye Mkutano wa Sita wa Usalama wa Kimataifa mjini Moscow kwamba, mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika yanahitaji kuwa na mtazamo na msimamo mmoja na unaooana.

  • Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi

    Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi

    Apr 27, 2017 23:14

    Watalaamu kutoka nchi 10 za magharibi mwa Afrika wamekutana katika mji mkuu wa Togo, Lome na kujadili namna ya kupambana na tatizo la ugaidi pamoja na njia za kuboresha usalama na amani katika ndege za abiria.

  • Zarif atoa wito wa kupambana na ugaidi na misimamo ya kuchupa mipaka

    Zarif atoa wito wa kupambana na ugaidi na misimamo ya kuchupa mipaka

    Apr 27, 2017 03:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jitihada za pamoja za kimataifa zinahitajika ili kung'oa mizizi ya ugaidi na kuenea wimbi la misimamo mikali ya kufurutu ada.

  • Ushirikiano na uelewa wa pamoja, dawa ya kuangamiza ugaidi

    Ushirikiano na uelewa wa pamoja, dawa ya kuangamiza ugaidi

    Apr 24, 2017 03:27

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika makala iliyochapishwa kwenye gazeti la al Rai la Kuwait kwamba, njia pekee ya kupambana ipasavyo na ugaidi na misimamo ya kuchupa mipakai ni jamii ya kimataifa kufikia uelewa na ufahamu wa pamoja kwa ajili ya kuondoa tatizo hilo la dunia kote.

  • Shamkhani: Baadhi ya nchi zinapanga kumimina magaidi Afghanistan

    Shamkhani: Baadhi ya nchi zinapanga kumimina magaidi Afghanistan

    Apr 23, 2017 03:26

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, kuna baadhi ya nchi za eneo hili zinafanya njama za kuharibu hali ya amani na kudhoofisha muundo wa kiusalama wa Aghanistan kama njia ya kuandaa mazingira ya kuwahamishia nchini humo magaidi walioshindwa katika nchi za Iraq na Syria.

  • Assad: Magaidi wanapata himaya ya Marekani, wanatumia kila mbinu vitani Syria

    Assad: Magaidi wanapata himaya ya Marekani, wanatumia kila mbinu vitani Syria

    Apr 22, 2017 23:24

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesema maadui wa taifa la Syria hasa magaidi wakufurishaji wanaopata himaya ya Marekani wanatumia kila mbinu katika vita vyao dhidi ya watu wa Syria.

  • Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani

    Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani

    Apr 11, 2017 10:52

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya makanisa mawili nchini Misri siku ya Jumapili iliyopita ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa huku akisisitiza kuwa, lengo la magaidi ni kuzusha mifarakano ya kidini duniani.

  • Kupambana na ugaidi, lengo la kongamano la usalama barani Afrika

    Kupambana na ugaidi, lengo la kongamano la usalama barani Afrika

    Apr 04, 2017 08:05

    Viongozi wa masuala ya intelijensia na usalama kutoka nchi 30 za Kiafrika wanakutana mjini Khartoum, Sudan katika kikao cha siku tatu kwa lengo la kuchunguza mikakati ya kupambana na vitisho vipya na ongezeko la ugaidi barani humo.

  • Russia: Iran ni mshirika wa aina yake katika vita dhidi ya ugaidi

    Russia: Iran ni mshirika wa aina yake katika vita dhidi ya ugaidi

    Mar 31, 2017 10:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amepuuzilia mbali madai bandia kuwa Iran inaunga mkono ugaidi na kusisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ni mshirika mkubwa katika vita dhidi ya magenge ya kigaidi nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS