-
Alkhamisi, 09 Oktoba 2025
Oct 09, 2025 12:36Leo ni Alkhamisi 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria sawa na 9 Oktoba 2025 Miladia.
-
Alkhamisi, 09 Oktoba 2025
Oct 09, 2025 02:33Leo ni Alkhamisi 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria sawa na 9 Oktoba 2025 Miladia.
-
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda wa Januari 2026 zaanza rasmi
Sep 29, 2025 11:33Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda zimeanza rasmi leo Jumatatu kabla ya uchaguzi huo wa Januari 206 ambao huenda ukawa mpambano kati ya Rais aliyeko madarakani Yoweri Kaguta Museveni na mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi Ssentamu, almaarufu Bobi Wine, ukitazamwa kama marudio ya uchaguzi wa 2021.
-
Uganda kutoa mafunzo ya kijeshi ya miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati
Sep 06, 2025 03:04Jeshi la Uganda UPDF litatoa mafunzo ya kijeshi ya muda wa miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika Kati katika hatua ya kuisadia nchi hiyo kujenga upya jeshi lake baada ya miaka ya mingi ya kuvurugika kwa amani na utulivu nchini humo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje: Uganda haijakubaliana na Marekani kupokea wahamiaji haramu
Aug 20, 2025 11:57Uganda imesema kuwa haijafikia makubaliano na Marekani kuwapokea nchini humo wahamiaji haramu kwa sababu haina miundomsingi inayohitajika kufanya hivyo.
-
Waziri: Kukubaliwa Uganda kuwa mshirika wa BRICS ni hatua muhimu
May 02, 2025 02:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda, Jeje Odongo amesema kukubaliwa nchi hiyo kuwa taifa mshirika wa BRICS kunaashiria hatua muhimu katika uhusiano wa kigeni, na matarajio ya maendeleo ya nchi hiyo.
-
Mufti wa Uganda ataka kupigwa marufuku TikTok nchini humo
Apr 01, 2025 10:39Mufti wa Uganda, Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje, ametoa mwito kwa serikali kuu kupiga marufuku programu ya mtandao wa kijamii wa TikTok nchini humo, ambayo anasisitiza kuwa inatumiwa na watu wasio na kazi kuwakashifu na kuwapaka matope watu wengine.
-
Jeshi la Uganda: Tumeua waasi zaidi ya 200 mashariki ya DRC
Mar 23, 2025 02:47Jeshi la Uganda limetangaza habari ya kuwaua mamia ya wapiganaji wa kundi la waasi wa CODECO baada ya kushambulia kambi ya jeshi la Uganda katika mpaka wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
WHO: Uganda imeripoti kifo kingine cha Ebola
Mar 02, 2025 12:26Shirika la Afya Duniani WHO likinukuu Wizara ya Afya ya Uganda limesema mgonjwa wa pili wa Ebola amefariki dunia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kuushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo
Feb 16, 2025 09:14Jenerali Muhoozi Kainerugaba Mkuu wa jeshi la Uganda jana aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X kuwa nchi hiyo itaushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo iwapo wapiganaji wote katika eneo hilo hawatasalimisha silaha zao katika muda wa saa 24.