• Mgombea urais Uganda: Nilipigwa na askari usalama

    Mgombea urais Uganda: Nilipigwa na askari usalama

    Dec 07, 2025 12:19

    Bob Wine au Robert Kyagulanya mgombea kiti cha urais nchini Uganda kwa tiketi ya chama cha upinzani cha NUP amesema kuwa askari usalama wa nchi hiyo wampiga yeye na wafuasi wake wakati walipokuwa katika kampeni za uchaguzi kaskazini mwa nchi hiyo katika kile kinachotajwa kuwa muendelezo wa ghasia na utumiaji mabavu unaoshuhudiwa Uganda kabla ya uchaguzi wa Rais Januari 15 mwakani.

  • Uchaguzi Uganda: UN yalaani ukandamizaji dhidi ya mgombea urais wa upinzani

    Uchaguzi Uganda: UN yalaani ukandamizaji dhidi ya mgombea urais wa upinzani

    Dec 04, 2025 03:47

    Umoja wa Mataifa jana Jumatano ulikosoa kuongezeka ukandamizaji dhidi ya upinzani na vyombo vya habari nchini Uganda kabla ya uchaguzi mkuu wa mwezi ujao, na kutaka uchunguzi ufanyike bila upendeleo kuhusu madai ya kukamatwa raia kiholela, kutoweka na "mateso".

  • Jumanne, tarehe 11 Novemba, 2025

    Jumanne, tarehe 11 Novemba, 2025

    Nov 11, 2025 02:30

    Leo ni Jumanne tarehe 20 Jamadil Awwal 1447 Hijria mwafaka na tarehe 11 Disemba 2025.

  • Mahakama ya ICC yathibitisha mashtaka dhidi ya Joseph Kony

    Mahakama ya ICC yathibitisha mashtaka dhidi ya Joseph Kony

    Nov 08, 2025 04:10

    Majaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC yenye makao yake mjini Hague, Uholanzi wamethibitisha kuwa kiongozi wa waasi wa Uganda Joseph Kony anakabiliwa na mashtaka ya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu na hivyo kufungua njia kwa ajili kuanza kesi yake iwapo tu atatiwa nguvuni.

  • Watu 46 wamefariki dunia katika ajali mbaya ya barabarani  Uganda

    Watu 46 wamefariki dunia katika ajali mbaya ya barabarani Uganda

    Oct 22, 2025 12:57

    Polisi ya Uganda imeripoti kuwa watu 46 wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili katika barabara kuu ya Kampala kuelekea Gulu nchini humo mapema leo Jumatano.

  • Araghchi kuhudhuria mkutano wa NAM nchini Uganda

    Araghchi kuhudhuria mkutano wa NAM nchini Uganda

    Oct 15, 2025 02:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu, Abbas Araghchi atazuru Uganda karibuni hivi kushiriki Mkutano wa 19 wa Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM).

  • Alkhamisi, 09 Oktoba 2025

    Alkhamisi, 09 Oktoba 2025

    Oct 09, 2025 12:36

    Leo ni Alkhamisi 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria sawa na 9 Oktoba 2025 Miladia.

  • Alkhamisi, 09 Oktoba 2025

    Alkhamisi, 09 Oktoba 2025

    Oct 09, 2025 02:33

    Leo ni Alkhamisi 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria sawa na 9 Oktoba 2025 Miladia.

  • Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda wa Januari 2026 zaanza rasmi

    Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda wa Januari 2026 zaanza rasmi

    Sep 29, 2025 11:33

    Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda zimeanza rasmi leo Jumatatu kabla ya uchaguzi huo wa Januari 206 ambao huenda ukawa mpambano kati ya Rais aliyeko madarakani Yoweri Kaguta Museveni na mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi Ssentamu, almaarufu Bobi Wine, ukitazamwa kama marudio ya uchaguzi wa 2021.

  • Uganda kutoa mafunzo ya kijeshi ya miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Uganda kutoa mafunzo ya kijeshi ya miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sep 06, 2025 03:04

    Jeshi la Uganda UPDF litatoa mafunzo ya kijeshi ya muda wa miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika Kati katika hatua ya kuisadia nchi hiyo kujenga upya jeshi lake baada ya miaka ya mingi ya kuvurugika kwa amani na utulivu nchini humo.