Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa

    Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa

    Jul 14, 2023 12:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu amesisitiza haja ya kukuza uhusiano na mataifa ya Afrika, akilielezea bara hilo kama ardhi ya fursa na kwamba uwezo wake haupasi kupuuzwa.

  • Safari ya Rais wa Iran nchini Uganda+VIDEO

    Safari ya Rais wa Iran nchini Uganda+VIDEO

    Jul 13, 2023 11:09

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa dini mbalimbali nchini Uganda akiwemo Mufti Mkuu Sheikh Shaaban Ramadhan Mubaje

  • Safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uganda

    Safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uganda

    Jul 13, 2023 10:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano jioni aliwasili Kampala katika safari rasmi ya siku mbili nchini Uganda ikiwa ni katika duru pili ya safari yake ya kikanda katika bara la Afrika. Safari hiyo imefanyika kwa mwaliko rasmi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda.

  • Rais wa Iran awashambulia Wamagharibi kwa kutetea vitendo vichafu vya ushoga

    Rais wa Iran awashambulia Wamagharibi kwa kutetea vitendo vichafu vya ushoga

    Jul 13, 2023 09:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyashambulia madola ya Maagharibi kutokana na hatua yao ya kutetea vitendo vichafu vya ushoga na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.

  • Raisi aondoka Kampala kuelekea ziarani Harare

    Raisi aondoka Kampala kuelekea ziarani Harare

    Jul 13, 2023 08:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Alhamisi ameondoka Kampala na kuelekea Harake mji mkuu wa Zimbabwe baada ya kukamilisha ziara huko Uganda.

  • Raisi: Iran  iko tayari kuhamisha uzoefu wake na kubadilishana mafanikio na Uganda

    Raisi: Iran iko tayari kuhamisha uzoefu wake na kubadilishana mafanikio na Uganda

    Jul 13, 2023 08:05

    Rais wa Iran ameashiria kuanza kazi ofisi ya uvumbuzi na teknolojia ya Iran huko Uganda na uwezo mkubwa mzuri wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran khususan katika nyanja za tiba, sayansi, teknolojia na kilimo, na kueleza kuwa Iran ipo tayari kuhamisha uzoefu wake katika nyanja hizo na katika kalibu ya kustawisha ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati yake na Uganda.

  • Hati 4 za ushirikiano zatiwa saini mbele ya Marais wa Iran na Uganda

    Hati 4 za ushirikiano zatiwa saini mbele ya Marais wa Iran na Uganda

    Jul 13, 2023 04:33

    Viongozi wa ngazi ya juu wa Iran na Uganda wamesaini hati nne za ushirikiano mbele ya Marais wa nchi mbili hizo.

  • Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe

    Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe

    Jul 12, 2023 15:38

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Uganda akiendelea na ziara yake ya kieneo barani Afrika ambapo amelakiwa na kukaribishwa rasmi na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa nchi hiyo katika Ikulu ya Entebe.

  • Naibu Mufti wa Uganda: Qur'ani ni muujiza mkubwa  wa Uislamu

    Naibu Mufti wa Uganda: Qur'ani ni muujiza mkubwa wa Uislamu

    Jul 10, 2023 02:44

    Naibu Mufti na ambye pia ni mjumbe wa Baraza Kuu la Waislamu la Uganda amelaani kuchomwa moto Qur'ani Tukufu huko Sweden na kuitaja hujuma hiyo kuwa ni kitendo cha kinyama cha uchochezi dhidi ya dini yenye wafuasi zaidi ya bilioni mbili.

  • Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Jul 04, 2023 07:51

    Baraza Kuu la Waislamu nchini Uganda (UMSC) limelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden, huku uhalifu huo mkubwa wa kukichoma moto kitabu hicho kitakatifu katika nchi hiyo ya Magharibi ukiendelea kulaaniwa vikali na Waislamu kote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS