-
Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa
Jul 14, 2023 12:00Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu amesisitiza haja ya kukuza uhusiano na mataifa ya Afrika, akilielezea bara hilo kama ardhi ya fursa na kwamba uwezo wake haupasi kupuuzwa.
-
Safari ya Rais wa Iran nchini Uganda+VIDEO
Jul 13, 2023 11:09Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa dini mbalimbali nchini Uganda akiwemo Mufti Mkuu Sheikh Shaaban Ramadhan Mubaje
-
Safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uganda
Jul 13, 2023 10:40Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano jioni aliwasili Kampala katika safari rasmi ya siku mbili nchini Uganda ikiwa ni katika duru pili ya safari yake ya kikanda katika bara la Afrika. Safari hiyo imefanyika kwa mwaliko rasmi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda.
-
Rais wa Iran awashambulia Wamagharibi kwa kutetea vitendo vichafu vya ushoga
Jul 13, 2023 09:40Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyashambulia madola ya Maagharibi kutokana na hatua yao ya kutetea vitendo vichafu vya ushoga na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.
-
Raisi aondoka Kampala kuelekea ziarani Harare
Jul 13, 2023 08:10Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Alhamisi ameondoka Kampala na kuelekea Harake mji mkuu wa Zimbabwe baada ya kukamilisha ziara huko Uganda.
-
Raisi: Iran iko tayari kuhamisha uzoefu wake na kubadilishana mafanikio na Uganda
Jul 13, 2023 08:05Rais wa Iran ameashiria kuanza kazi ofisi ya uvumbuzi na teknolojia ya Iran huko Uganda na uwezo mkubwa mzuri wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran khususan katika nyanja za tiba, sayansi, teknolojia na kilimo, na kueleza kuwa Iran ipo tayari kuhamisha uzoefu wake katika nyanja hizo na katika kalibu ya kustawisha ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati yake na Uganda.
-
Hati 4 za ushirikiano zatiwa saini mbele ya Marais wa Iran na Uganda
Jul 13, 2023 04:33Viongozi wa ngazi ya juu wa Iran na Uganda wamesaini hati nne za ushirikiano mbele ya Marais wa nchi mbili hizo.
-
Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe
Jul 12, 2023 15:38Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Uganda akiendelea na ziara yake ya kieneo barani Afrika ambapo amelakiwa na kukaribishwa rasmi na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa nchi hiyo katika Ikulu ya Entebe.
-
Naibu Mufti wa Uganda: Qur'ani ni muujiza mkubwa wa Uislamu
Jul 10, 2023 02:44Naibu Mufti na ambye pia ni mjumbe wa Baraza Kuu la Waislamu la Uganda amelaani kuchomwa moto Qur'ani Tukufu huko Sweden na kuitaja hujuma hiyo kuwa ni kitendo cha kinyama cha uchochezi dhidi ya dini yenye wafuasi zaidi ya bilioni mbili.
-
Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden
Jul 04, 2023 07:51Baraza Kuu la Waislamu nchini Uganda (UMSC) limelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden, huku uhalifu huo mkubwa wa kukichoma moto kitabu hicho kitakatifu katika nchi hiyo ya Magharibi ukiendelea kulaaniwa vikali na Waislamu kote duniani.