Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Jul 26, 2016 12:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa, Uganda ndiyo inayoongoza kwa visa vya uhalifu wa kutumia silaha za moto katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Uganda: Hatubabaishwi na matamshi ya vitisho ya Marekani

    Uganda: Hatubabaishwi na matamshi ya vitisho ya Marekani

    Jul 24, 2016 03:37

    Katika kile kinaachoonekana ni kuzidi kuingia doa uhusiano wa Uganda na Marekani, Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki amesema serikali ya Kampala haibabaishwi na matamshi ya vitisho yaliyotolewa hivi karibuni na Washington.

  • Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda

    Jul 23, 2016 02:48

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetangaza kuwa, maelfu ya raia wa Sudan Kusini wamekimbilia katika nchi jirani ya Uganda.

  • Jeshi la Uganda: Tumefanikiwa kuwaondoa raia elfu 38 kutoka Sudan Kusini

    Jeshi la Uganda: Tumefanikiwa kuwaondoa raia elfu 38 kutoka Sudan Kusini

    Jul 21, 2016 00:02

    Jeshi la Uganda limetangaza kuwa, limefanikiwa kuwaondoa raia 38 elfu wa nchi kadhaa kutoka Sudan Kusini kutokana na machafuko yanayoendelea ndani ya nchi hiyo.

  • Rais wa Uganda apinga vikwazo vya silaha dhidi ya Sudan Kusini

    Rais wa Uganda apinga vikwazo vya silaha dhidi ya Sudan Kusini

    Jul 18, 2016 09:37

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepinga mpango wa Umoja wa Mataifa wa kuiwekea Sudan Kusini vikwazo vya silaha na kusema hatua hiyo italidhoofisha jeshi la nchi hiyo ambalo linakabiliana machafuko mapya.

  • Jeshi la Uganda laanza kuondoa raia wake Sudan Kusini

    Jeshi la Uganda laanza kuondoa raia wake Sudan Kusini

    Jul 14, 2016 11:23

    Msafara wa magari ya jeshi la Uganda umeingia Sudan Kusini na kuanza kuwaondoa maelfu ya raia wa nchi hiyo waliokwama mjini Juba kutokana na mapigano mapya yaliyoikumba nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Raia wa Uganda wazuiwa kutembelea Sudan Kusini

    Raia wa Uganda wazuiwa kutembelea Sudan Kusini

    Jul 11, 2016 23:16

    Jeshi la polisi la Uganda jana liliwapiga marufuku raia wa nchi hiyo kutembelea Sudan Kusini baada ya kuzuka mapigano mapya katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba na kupelekea watu wasiopungua 300 kuuawa.

  • Mbunge Uganda ataka katiba ibadilishwe ili Museveni aendelee kutawala

    Mbunge Uganda ataka katiba ibadilishwe ili Museveni aendelee kutawala

    Jul 08, 2016 09:03

    Kuna uwezekano Rais Yoweri Museveni wa Uganda akaendelea kutawala hata baada ya muhula wake kumalizika kisheria baada mbunge mmoja kupendekeza katiba ibadilishwe ili kuondoa kizingiti cha umri ambacho kinamzuia Museveni kugombea tena urais.

  • Wanajeshi wa Uganda watuhumiwa kutumia mabavu dhidi ya raia CAR

    Wanajeshi wa Uganda watuhumiwa kutumia mabavu dhidi ya raia CAR

    Jul 06, 2016 09:34

    Msemaji wa Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewatuhumu wanajeshi wa Uganda walioko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwamba, wamekuwa wakitumia mabavu dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Wanachuo wa Kiislamu wa Uganda watakiwa kuwa na umoja

    Wanachuo wa Kiislamu wa Uganda watakiwa kuwa na umoja

    Jul 06, 2016 02:19

    Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Uganda lililosimamiwa na ofisi ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lilimaliza kazi zake jana mjini Kampaka kwa kusisitiza udharura wa kuimarishwa umoja baina ya Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS