Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda, Sudan Kusini kupambana na wizi wa mifugo

    Uganda, Sudan Kusini kupambana na wizi wa mifugo

    Jul 04, 2016 03:22

    Serikali za Uganda na Sudan Kusini zimeafikiana kupambana na wizi wa mifugo na haswa ng'ombe unaofanyika mara kwa mara katika vijiji vilivyoko mpakani mwa nchi mbili hizo.

  • Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Jul 01, 2016 03:26

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.

  • UNICEF yatahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda

    UNICEF yatahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda

    Jun 29, 2016 08:46

    Mwakilishi wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF ametahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda.

  • Jeshi la Uganda laamua kuondoa vikosi vyake CAR

    Jeshi la Uganda laamua kuondoa vikosi vyake CAR

    Jun 29, 2016 02:49

    Jeshi la Uganda limechukua uamuzi wa kuondoa wanajeshi wake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ili kusaidia jitihada za kuwaangamiza waasi wa Uganda.

  • Uganda yatangaza tarehe ya kuondoa askari wake Somalia

    Uganda yatangaza tarehe ya kuondoa askari wake Somalia

    Jun 24, 2016 09:56

    Uganda imetangaza kuwa itaondoa askari wake walioko nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM kufikia mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

  • Ombi la Uganda kwa Algeria

    Ombi la Uganda kwa Algeria

    Jun 18, 2016 06:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda ameiomba Algeria iiunge mkono nchi hiyo katika kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utekelezaji ya Umoja wa Afrika.

  • Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR

    Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR

    Jun 17, 2016 03:53

    Mkuu wa mkoa wa mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza kuwa waasi wa kundi la Lord's Resistance Army (LRA) kutoka Uganda wameteka nyara watu 17 na kuwapeleka kusikojulikana.

  • Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Jun 10, 2016 23:48

    Uganda imesema karibuni hivi itawaondoa askari wake wanaoongoza katika operesheni ya kuwasaka waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini

    Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini

    May 30, 2016 00:04

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema karibuni hivi nchi yake itasitisha ushirikiano wa kijeshi na kiusalama na Korea Kaskazini.

  • Iran yafadhili mashindano ya Qur'ani katika Televisheni ya Uganda

    Iran yafadhili mashindano ya Qur'ani katika Televisheni ya Uganda

    May 28, 2016 23:43

    Kitengo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda kimefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo, UBC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS